Watu 10 wapoteza maisha baada ya helikopta mbili kugongana hewani wakati wakishoot reality show
Watu 10 wakiwemo wanamichezo wa olimpiki wa Ufaransa walioshindana kwenye mashindano hayo ya London 2012 wamekufa baada ya helikopta mbili kugongana hewani nchini Argentina jana. Watu hao walikuwa kwenye mchakato wa kutengeza kipindi cha TV. Washindi wa Olimpiki Camille Muffat, katikati, Florence Arthaud, wa pili kutoka kulia na Alexis Vastine wa mwisho kulia wakiwa pamoja […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo523 Feb
Couple ya Pokello na Elikem kuja na Reality Tv show ya maisha yao baada ya BBA ‘Our World After’
Reality show ya Big Brother Africa imekuwa ikiwafungulia milango washiriki ambao wengi wao baada ya kutoka hupata fursa mbalimbali za kuwatoa kimaisha, kutokana na kuonekana katika nchi nyingi za Afrika hivyo kujenga majina yao kwa miezi mitatu wanayokaa mjengoni. Couple ya Elikem Kumordzi (Ghana) na Pokello Nare (Zimbabwe) iliyozaliwa kwenye BBA, ambao November mwaka jana […]
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aFPJwxwIGQk/U4nbdJC3EmI/AAAAAAAFmuI/w4uL-DwXyYI/s72-c/unnamed+(94).jpg)
WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA WENGINE TISA MAJERUHI KATIKA AJALI MBILI TOFAUTI MOJA IKIHUSISHA GARI LILILOBEBA WANAHABARI WA MBONI SHOW MKOANI DODOMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-aFPJwxwIGQk/U4nbdJC3EmI/AAAAAAAFmuI/w4uL-DwXyYI/s1600/unnamed+(94).jpg)
Watu wawili wamepoteza maisha kutokana na ajali mbili zilizotokea katika maeneo mawili tofauti na nyakati tofauti Mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP (pichani) ameeleza kuwa, ajali ya kwanza ilitokea tarehe 30/05/2014 majira ya saa 18:30hrs katika kijiji cha Ipala Wilaya ya Dodoma ambapo gari lenye namba za usajili DFP 614 Toyota Land Cruiser mali ya chuo cha Serikali...
9 years ago
Bongo512 Sep
Video: Watu zaidi ya 100 wapoteza maisha baada ya kuangukiwa na crane kwenye msitiki wa Mecca
Takribam watu 107 wamepoteza maisha na wengine 238 kuumia baada ya crane kuanguka kwenye msikiti mkuu wa Mecca, Saudi Arabia. Kwa mujibu wa mashuhuda walioiambia Al Jazeera, crane huyo ilianguka jana mida ya jioni. Mamia ya watu waliojeruhiwa wakipewa huduma ya kwanza Msikiti huo ulikuwa umejaa watu pamoja na kuwa tukio hilo lilotokea kabla ya […]
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39cGWAhwTCD5R58q6JwWKkBLHOg*tl6GSCaTUV038fQJvyoMG0TINzpN9UNd7kZH7P*LeuydgLO4jIEHOXrD7AGi/VURUGU.jpg)
VURUGU UWANJANI: 15 WAPOTEZA MAISHA WAKATI WA MECHI DRC
Mojawapo ya vurugu zilizowahi kutokea uwanjani. Watu 15 wamepoteza maisha wakati 21 wakijeruhiwa baada ya vurugu kuibuka uwanjani mjini Kinshasa, DRC baada ya polisi kulipua mabomu ya machozi kwa mashabiki. Vurugu hizo ziliibuka wakati wa mechi kati ya ASV Club na Tout Puissant Mazembe.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SjVAbPf4aQE/VJgUmQzhHOI/AAAAAAAAyJE/s9ELocmsDhM/s72-c/10849955_762723843796739_395811204800001497_n.jpg)
WATU TISA WAFARIKI DUNIA BAADA YA GARI WALILOKUWA WAKISAFIRIA KUGONGANA WILAYANI MOMBA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-SjVAbPf4aQE/VJgUmQzhHOI/AAAAAAAAyJE/s9ELocmsDhM/s640/10849955_762723843796739_395811204800001497_n.jpg)
WATU TISA [09] KATI YAO WANAUME SABA [07] NA WANAWAKEWAWILI [02] WAMEFARIKI DUNIA BAADA YA GARI WALIOKUWA WAKISAFIRIA LENYE NAMBA ZA USAJILI T.203 ARZ AINA YA TOYOTA COASTER LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA DEREVA AITWAYE JOHN EMANUEL (36) MKAZI WA MLOWO-MBOZI LIKIWA LINATOKEA MBEYA KWENDA TUNDUMA WAKATI AKIJARIBU KULIPITA GARI T.789 AZL/T.123 AXV AINA YA TATA TRUCK ENEO AMBALO KUNA MLIMA NA...
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
Zaidi ya Watu 20 wapoteza maisha Misri
Zaidi ya Watu 20,Mashabiki wa timu ya Zamalek ya nchini Misri wapoteza maisha nje ya Uwanja jijini Cairo
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Ndege yaanguka, watu 11 wapoteza maisha
Watu 11 wamefariki dunia baada ya ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya Hercules kuanguka katika uwanja mmoja wa ndege nchini Afghanistan.
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Zaidi ya Watu 60 wapoteza maisha Nigeria
Zaidi ya Watu 60 wapoteza maisha kutokana na mashambulizi yanayodaiwa kutekelezwa na wanamgambo wa Boko Haram
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania