Zaidi ya Watu 20 wapoteza maisha Misri
Zaidi ya Watu 20,Mashabiki wa timu ya Zamalek ya nchini Misri wapoteza maisha nje ya Uwanja jijini Cairo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Zaidi ya Watu 60 wapoteza maisha Nigeria
Zaidi ya Watu 60 wapoteza maisha kutokana na mashambulizi yanayodaiwa kutekelezwa na wanamgambo wa Boko Haram
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83vy-hoh1svmlmn03Jdm57kN5tAUIrCndoqh-PRMhnBaZvADW9DROcyy4OtmQi-b5dzo1xx6yHAygDzO-03XJGDr/JOTO3.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 800 WAPOTEZA MAISHA KWA JOTO KALI PAKISTAN
Mmoja wa majeruhi wa joto nchini Pakistan akipatiwa huduma ya kwanza. WATU zaidi ya 800 wamefariki dunia mpaka sasa kutokana na hali ya joto kali kwenye Mkoa wa Sindh uliopo kusini mwa nchi ya Pakistan. Zaidi ya watu 780 wamefariki huko Karachi huku 30 wakiripotiwa kufariki kutoka sehemu nyingine mkoani humo. Taarifa kutoka katika hospitali kadhaa mkoani humo zimeripoti kuelemewa baada ya mochwari zake kujaa miili hivyo...
9 years ago
Bongo512 Sep
Video: Watu zaidi ya 100 wapoteza maisha baada ya kuangukiwa na crane kwenye msitiki wa Mecca
Takribam watu 107 wamepoteza maisha na wengine 238 kuumia baada ya crane kuanguka kwenye msikiti mkuu wa Mecca, Saudi Arabia. Kwa mujibu wa mashuhuda walioiambia Al Jazeera, crane huyo ilianguka jana mida ya jioni. Mamia ya watu waliojeruhiwa wakipewa huduma ya kwanza Msikiti huo ulikuwa umejaa watu pamoja na kuwa tukio hilo lilotokea kabla ya […]
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Coronavirus China : Watu 97 wapoteza maisha yao katika siku iliotajwa kuwa mbaya zaidi
Takriban watu 908 wamefariki nchini China - licha ya idadi mpya ya maambukizi kupungua
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 40 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MAFINGA, IRINGA, RAIS KIKWETE AOMBOLEZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f4SVo-xPn9g/VQBkO7mZt4I/AAAAAAAHJow/NYFiULZVIqQ/s1600/unnamed%2B(90).jpg)
Picha na mdau Baraka wa Chibiriti
Watu zaidi ya 30 wanasadikiwa kupoteza na maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya sana katika ajali mbaya iliyotokea mapema leo asubuhi,maeneo ya Changarawe,Mafinga Mkoani Iringa,iliyohusisha Lori la Mizigo na Basi la abiria la Kampuni ya Majinja lililokuwa likitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar es salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a048EoHiuh8/U6WEY01pEUI/AAAAAAAFsFY/_q3hHo6QSaE/s72-c/IMG-20140621-WA0003.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ....: WATU ZAIDI YA 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOTOKEA ENEO LA MAKONGO,JIJINI DAR MCHANA HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-a048EoHiuh8/U6WEY01pEUI/AAAAAAAFsFY/_q3hHo6QSaE/s1600/IMG-20140621-WA0003.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lSLBy6XN-xw/U6WEZ0hXeMI/AAAAAAAFsFg/WDq6Nq5ofzo/s1600/IMG-20140621-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2mL638TC79I/U6WEbG-kYdI/AAAAAAAFsFo/_rI2H-fO7Gs/s1600/IMG-20140621-WA0004.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Takriban watu 20 wapoteza maisha India
Treni mbili zimekosea njia huko nchini India na kutumbukia katika mto nchini India
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Ndege yaanguka, watu 11 wapoteza maisha
Watu 11 wamefariki dunia baada ya ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya Hercules kuanguka katika uwanja mmoja wa ndege nchini Afghanistan.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania