WATU ZAIDI YA 800 WAPOTEZA MAISHA KWA JOTO KALI PAKISTAN
Mmoja wa majeruhi wa joto nchini Pakistan akipatiwa huduma ya kwanza. WATU zaidi ya 800 wamefariki dunia mpaka sasa kutokana na hali ya joto kali kwenye Mkoa wa Sindh uliopo kusini mwa nchi ya Pakistan. Zaidi ya watu 780 wamefariki huko Karachi huku 30 wakiripotiwa kufariki kutoka sehemu nyingine mkoani humo. Taarifa kutoka katika hospitali kadhaa mkoani humo zimeripoti kuelemewa baada ya mochwari zake kujaa miili hivyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Joto kali lawaua watu 800 Pakistan
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Joto kali lawaua watu 700 Pakistan
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Zaidi ya Watu 60 wapoteza maisha Nigeria
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
Zaidi ya Watu 20 wapoteza maisha Misri
10 years ago
VijimamboIDADI YA VIFO VINAVYOTOKANA NA JOTO KALI NCHINI INDIA VIMEPITA ZAIDI WATU 1,000
9 years ago
Bongo512 Sep
Video: Watu zaidi ya 100 wapoteza maisha baada ya kuangukiwa na crane kwenye msitiki wa Mecca
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Coronavirus China : Watu 97 wapoteza maisha yao katika siku iliotajwa kuwa mbaya zaidi
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 40 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MAFINGA, IRINGA, RAIS KIKWETE AOMBOLEZA
Picha na mdau Baraka wa Chibiriti
Watu zaidi ya 30 wanasadikiwa kupoteza na maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya sana katika ajali mbaya iliyotokea mapema leo asubuhi,maeneo ya Changarawe,Mafinga Mkoani Iringa,iliyohusisha Lori la Mizigo na Basi la abiria la Kampuni ya Majinja lililokuwa likitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar es salaam.
Ajali hiyo imetokea baada ya Lori hilo la Mizigo lililokuwa...
11 years ago
GPL42 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI PAKISTAN