42 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI PAKISTAN
![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2MYWvITk*2W38eghaQzwgelnNB3JBvep*JB6M62IOH6pAbenFNG1Bl*sGV5YUXFgSY1vG*wErrKOG9hGMHY8guR/ajali.jpg?width=650)
Tela la trekta likiondolewa eneo la ajali. Ramani ikionyesha eneo ilipotekea ajali. WATU 42 wamepoteza maisha wakati 17 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria lililokuwa likielekea Karachi nchini Pakistan kugongana na trekta lililokuwa na tela. Miongoni mwa waliopoteza maisha ni watoto 14 na wanawake 13. Ajali hiyo imetokea leo katika mji wa Sukkur, umbali wa kilomita 425 kutoka Karachi. Dereva wa basi amefariki papo hapo wakati...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Watu saba wapoteza maisha katika ajali
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8L_1vwC76ec/U58ojgglJJI/AAAAAAAFrHo/yDNlFz_AkHE/s72-c/0.jpg)
askari wawili wapoteza maisha katika ajali chalinze leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-8L_1vwC76ec/U58ojgglJJI/AAAAAAAFrHo/yDNlFz_AkHE/s1600/0.jpg)
Na John Gagarini, Kibaha
WATU wawili wamefariki dunia huku mmoja akijeruhiwa baada ya magari waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani, kamishna Msaidizi mwandamizi wa polisi (SACP) Ulrich Matei (pichani) amesema kuwa ajali hiyo ilihusisha lori na gari dogo. Kamanda Matei alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Juni 16 mwaka huu majira saa 1:15 usiku eneo la Chamakweza kata ya Pera tarafa ya Chalinze wilayani...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eAs32y6M0bU/U9kzuOOIuEI/AAAAAAAF76E/IS2iYZVMgdc/s72-c/unnamed+(8).jpg)
17 wapoteza maisha na 56 wajeruhiwa katika ajali ya basi la morobest dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-eAs32y6M0bU/U9kzuOOIuEI/AAAAAAAF76E/IS2iYZVMgdc/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Askari wanne na raia 14 wapoteza maisha katika ajali ya gari Singida
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled65.jpg)
Baadhi ya miili ya wakazi wa kijiji cha Utaho wilaya ya Ikungi, waliogongwa na basi la Summry ikiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa wa Singida mjini humo.
![DSC08054](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/DSC08054.jpg)
Baadhi ya ndugu na jamaa wakiwa wanatafakari juu ya ndugu zao kugongwa na basi la summry la kufariki dunia usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Utaho wilaya ya Ikungi.
![DSC08077](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/DSC08077.jpg)
Baadhi ya ndugu wakiwa nje ya chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa mjini Singida,wakisubiri kuchukua miili ya ndugu zao...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3SQhmbAYeew/VWHoUA4ZSwI/AAAAAAAHZiI/MXNk5TR5zXQ/s72-c/unnamed26.jpg)
watatu wapoteza maisha katika ajali ya basi mkoani mbeya leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-3SQhmbAYeew/VWHoUA4ZSwI/AAAAAAAHZiI/MXNk5TR5zXQ/s640/unnamed26.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wxvgi3NTzMk/U5gsh3OGlXI/AAAAAAAFpwA/AGX3nseXeZI/s72-c/azjh+(435).jpg)
Watu watatu wapoteza maisha na wengine kujeruhiwa katika ajali ya magari mawili
![](http://1.bp.blogspot.com/-wxvgi3NTzMk/U5gsh3OGlXI/AAAAAAAFpwA/AGX3nseXeZI/s1600/azjh+(435).jpg)
Watu watatu wamefariki Dunia baada ya Magari mawili yenye tela kila moja kuacha njia na kupinduka na kufasabisha vifo vya watu hao na kujeruhi wengine wawili katika ajali iliyotokea Jana Huko Tarafa ya Rondo wilaya ya Lindi Mkoani Lindi.
Ajali hiyo Iliyohusisha gari aina ya HOWO lenye Usajili T270BZU na Tela na T260AZU Pamoja na Lori aina HOWO T871 BTH Tela T 626 BTT yote yaliacha njia
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi kamishna msaidizi Renatha Mzinga amethibitsha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CiUBFgls2Lo/VHx1pClGyeI/AAAAAAAG0nA/ZwBk1LP_Sxg/s72-c/unnamed%2B(79).jpg)
WAWILI WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA GARI AKIWEMO MMILIKI WA MATEI LOUNGE
Mnamo tarehe 30/12/2014 majira ya 18:30hrs huko njia panda ya NARCO barabara kuu ya Morogoro – Dodoma Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma gari lenye namba za usajili T. 213 DAR Toyota Mark X, likiendeshwa na HASSAN s/o HUSSEIN, mwenye umri wa miaka 42, mzigua, Mkazi wa Dodoma likiwa na abiria wanne wakitokea Morogoro wakielekea Dodoma liligonga kwa nyuma gari lenye namba za usajili T. 963 BRC Leyland Daf lililokuwa na tela lenye namba T. 708 ASP...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Bz5XAf4OQ3M/UynVcAmZwwI/AAAAAAAFVDw/LqK4lnroSY8/s72-c/6c860f6e21505f03e949e445344bc6c8.jpg)
WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA SABA WAMEJERUHIWWA KATIKA AJALI YA BASI NA BODABODA MKOANI LINDI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bz5XAf4OQ3M/UynVcAmZwwI/AAAAAAAFVDw/LqK4lnroSY8/s1600/6c860f6e21505f03e949e445344bc6c8.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 40 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MAFINGA, IRINGA, RAIS KIKWETE AOMBOLEZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f4SVo-xPn9g/VQBkO7mZt4I/AAAAAAAHJow/NYFiULZVIqQ/s1600/unnamed%2B(90).jpg)
Picha na mdau Baraka wa Chibiriti
Watu zaidi ya 30 wanasadikiwa kupoteza na maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya sana katika ajali mbaya iliyotokea mapema leo asubuhi,maeneo ya Changarawe,Mafinga Mkoani Iringa,iliyohusisha Lori la Mizigo na Basi la abiria la Kampuni ya Majinja lililokuwa likitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar es salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)