Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Takriban watu 20 wapoteza maisha India

Treni mbili zimekosea njia huko nchini India na kutumbukia katika mto nchini India

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Takriban watu 1000 wamekufa kutokana na wimbi la joto linalovuma nchini India.

1270976373314773061

Watafiti wamesajili kiwango cha juu mno cha nyuzijoto 48’C katika maeneo mengi nchini humo ambapo vifo vingi zaidi vimeripotiwa katika majimbo ya kusini ya Telangana na Andhra Pradesh, ambapo watu 140 wamepoteza maisha yao kuanzia jumamosi wimbi hilo la joto lilipotokea hata hivyo hadi kufia leo Mei 27, tayari zaidi ya watu 1,000, wamelipotiwa kupoteza maisha yao.

Mji wa Allahabad ulioko Uttar Pradesh ulisajili vipimo vya nyuzijoto 48C huku wakaazi wa mji mkuu wa India New Delhi...

 

9 years ago

Mwananchi

Ndege yaanguka, watu 11 wapoteza maisha

Watu 11 wamefariki dunia baada ya ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya Hercules kuanguka katika uwanja mmoja wa ndege nchini Afghanistan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya Watu 20 wapoteza maisha Misri

Zaidi ya Watu 20,Mashabiki wa timu ya Zamalek ya nchini Misri wapoteza maisha nje ya Uwanja jijini Cairo

 

11 years ago

BBCSwahili

Mafuriko Dar: Watu 13 wapoteza maisha

Watu 13 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na mafuriko makubwa mkoani Dar es Salaam, Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya Watu 60 wapoteza maisha Nigeria

Zaidi ya Watu 60 wapoteza maisha kutokana na mashambulizi yanayodaiwa kutekelezwa na wanamgambo wa Boko Haram

 

5 years ago

Michuzi

WATU WATATU WAPOTEZA MAISHA KARATU, 25 WAJERUHIWA


Na.Vero Ignatus 
Wito umetolewa kwa medereva kuwa makini na kuchukua tahadhari ya usalama barabarani pindi wanapotumia vyombo vya moto ili kuepusha madhara makubwa ambayo yanaweza kutokea,kwani jeshi la polisi litaendelea kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote ambao wataenda kinyume na taratibu za usalama barabarani
Akitoa taarifa ya ajali  kwa waandishi wa habari Kaimu kamanda mkoa wa Arusha ACP.Ramadhani Kingai alisema ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa 16:30hrs ,huko maeneo ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mafuriko Dar:Watu kumi wapoteza maisha

Watu kumi wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Dar es Salaam

 

11 years ago

Mwananchi

Watu saba wapoteza maisha katika ajali

Watu saba wamefariki dunia papo hapo katika ajali ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia Januari 5 mwaka huu katika eneo la Mti mmoja, wilayani Monduli.

 

9 years ago

Dewji Blog

Watu sita wapoteza maisha mkoani Singida

RPC

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, ACP. Thobias Sedoyeka akiongea na waandishi wa habari  Mkoani Singida alipokuwa akitoa taarifa za matukio ya mauaji ya watu sita Mkoani hapa.

SAM_0038

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mukhola, kata ya Mgori wakiwa katika safari ya kumtafuta mtu aliyewauwa wanawake wawili akiwemo mtalaka wake kwa kugombea mashamba.

Na,Jumbe Ismailly, Singida      

WATU sita wamefariki dunia na mtu mmoja kujeruhiwa katika matukio manne tofauti yaliyotokea Mkoani Singida kati ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani