Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu sita wapoteza maisha mkoani Singida

RPC

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, ACP. Thobias Sedoyeka akiongea na waandishi wa habari  Mkoani Singida alipokuwa akitoa taarifa za matukio ya mauaji ya watu sita Mkoani hapa.

SAM_0038

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mukhola, kata ya Mgori wakiwa katika safari ya kumtafuta mtu aliyewauwa wanawake wawili akiwemo mtalaka wake kwa kugombea mashamba.

Na,Jumbe Ismailly, Singida      

WATU sita wamefariki dunia na mtu mmoja kujeruhiwa katika matukio manne tofauti yaliyotokea Mkoani Singida kati ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: VIJANA SITA WA JKT BULOMBORA MKOANI KIGOMA WAPOTEZA MAISHA 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI JIONI HII

Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii, Kigoma VIJANA sita  waliokuwa  katika mafunzo ya kijeshi ya kujitolea katika kikosi cha 821 JKT Bulombora mkoani Kigoma wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya gari iliyotokea jioni hii. Mganga Mfawidhi wa hospital ya mkoa wa Kigoma Dkt. Fadhil Kibaya amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.  "Ni kweli leo majira ya saa moja jioni tumepokea miili minne ya vijana wa JKT ambao waliketwa hapa tayari wamefariki na majeruhi 21....

 

10 years ago

Dewji Blog

Wawili wapoteza maisha na 52 wajeruhiwa ajali ya basi Singida

DSC00457

Askari wa usalama barabarani wilaya ya Ikungi, akikagua basi la kampuni ya KISBO, T.534 CHX baada ya kupinduka katika eneo la kijiji cha Kambi ya mkaa kata ya Issuna wilaya ya Ikungi na kusababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi wengine 52.

Na Nathaniel Limu, Singida

ABIRIA wawili wamefariki dunia na wengine 52 kujeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasuka tairi la mbele kulia na kuacha barabara na kisha kupinduka.

Basi lililohusika na ajali hiyo ni T.534 CHX aina ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Askari wanne na raia 14 wapoteza maisha katika ajali ya gari Singida

Untitled

Baadhi ya miili ya wakazi wa kijiji cha Utaho wilaya ya Ikungi, waliogongwa na basi la Summry ikiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa wa Singida mjini humo.

DSC08054

Baadhi ya ndugu na jamaa wakiwa wanatafakari juu ya ndugu zao kugongwa na basi la summry la kufariki dunia usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Utaho wilaya ya Ikungi.

DSC08077

Baadhi ya ndugu wakiwa nje ya chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa mjini Singida,wakisubiri kuchukua miili ya ndugu zao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya Watu 20 wapoteza maisha Misri

Zaidi ya Watu 20,Mashabiki wa timu ya Zamalek ya nchini Misri wapoteza maisha nje ya Uwanja jijini Cairo

 

11 years ago

BBCSwahili

Mafuriko Dar: Watu 13 wapoteza maisha

Watu 13 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na mafuriko makubwa mkoani Dar es Salaam, Tanzania.

 

9 years ago

Mwananchi

Ndege yaanguka, watu 11 wapoteza maisha

Watu 11 wamefariki dunia baada ya ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya Hercules kuanguka katika uwanja mmoja wa ndege nchini Afghanistan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Takriban watu 20 wapoteza maisha India

Treni mbili zimekosea njia huko nchini India na kutumbukia katika mto nchini India

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya Watu 60 wapoteza maisha Nigeria

Zaidi ya Watu 60 wapoteza maisha kutokana na mashambulizi yanayodaiwa kutekelezwa na wanamgambo wa Boko Haram

 

11 years ago

Mwananchi

Watu saba wapoteza maisha katika ajali

Watu saba wamefariki dunia papo hapo katika ajali ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia Januari 5 mwaka huu katika eneo la Mti mmoja, wilayani Monduli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani