UPDATES: LEMBELI NA MUKYA WANUSURIKA KIFO MARA BAADA YA GARI LAO KUPINDUKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ld5S8ZwJb8E/Vh0B9G_-ySI/AAAAAAABXPg/jMyUEzfVHCo/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kahama kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mh James Lembeli na Joyce Mukya wanusurika kifo mara baada ya gari waliokuwa wakitumia kusafiria kutoka Simanjiro kuelekea Arusha kupata ajali na kupinduka.Taarifa za awali zinasema kuwa hakuna hawakuumia lakini tutaendelea kuwajuza kadri habari inavyotufikia.Picha na Mdau Massawe
CHANZO: LUKAZA BLOG
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Lembeli, Mukya wanusurika ajalini, wagombea watatu mbaroni
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5-4Pj-WwXsE/VLykx-LRsmI/AAAAAAAG-S8/sGedhbaILt0/s72-c/image061.jpg)
DEREVA AFARIKI DUNIA BAADA YA GARI ALILOKUWA AKISAFIRIA KUACHA NJIA NA KUPINDUKA WILAYANI MBOZI,MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-5-4Pj-WwXsE/VLykx-LRsmI/AAAAAAAG-S8/sGedhbaILt0/s1600/image061.jpg)
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo majira ya saa 01:30 huko eneo la mlowo, kata ya mlowo, tarafa ya vwawa, wilaya ya mbozi, mkoa wa mbeya katika barabara kuu ya mbeya/tunduma.
Aidha katika ajali hiyo watu wawili waliofahamika kwa majina ya 1....
10 years ago
VijimamboWATOTO 4 WANUSURIKA KIFO BAADA YA KULIPUKIWA NA MLIPUKO
akiwa amelazwa katika Hospitali ya wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma,baada ya kulipukiwa na Vilipushi[detonator] ambavyo vimesadikiwa kuwahutumika kulipulia miamba, wakati alipokuwa akicheza nawenzake nakusababisha kuumia mkono wake wa kulia na sehemu mbalimbali zamwiliwake. Huyo ni mmoja kati ya watoto sita ambao walio patwa na mkasa huo.Picha NA AMON MTEGANA AMON MTEGA wa DemashonewsWATOTO wanne kati ya sita wamenusurika...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LvIHg5Py2Hk/VjEQnvYexPI/AAAAAAAIDRc/OT5Kz3DycWQ/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU 62 KUTOKA ETHIOPIA WADAKWA LINDI BAADA YA AJALI YA GARI LAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-LvIHg5Py2Hk/VjEQnvYexPI/AAAAAAAIDRc/OT5Kz3DycWQ/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b0NvQ6lMJYU/VjEQn_wjYXI/AAAAAAAIDRg/gbD3yTPWNEo/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0zHYbSIGCC8/VjEQoMug7HI/AAAAAAAIDRo/klyJKPm_PqQ/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
10 years ago
GPLWATANO WANUSURIKA KIFO BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI JIJINI MWANZA
10 years ago
Vijimambo13 Oct
BIBI NA BWANA HARUSI WANUSURIKA KIFO BAADA YA MTUMBWI WALIOPANDA KUZAMA ZIWA TANGANYIKA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/wahanga.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/bibi-harusi.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/UOKOJI.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-It62ef937OQ/VDryLedLHXI/AAAAAAAGpnw/E6bt5SG02ok/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: MAHARUSI WANUSURIKA KIFO BAADA YA MTUMBWI WALIOPANDA KUZAMA ZIWA TANGANYIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-It62ef937OQ/VDryLedLHXI/AAAAAAAGpnw/E6bt5SG02ok/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kJd6t2M18tU/VDryLinzMPI/AAAAAAAGpoI/Ccq040y8umk/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YGn1XzY7Ao4/VDryLmf08yI/AAAAAAAGpn0/iy9cWyetbDU/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
9 years ago
Bongo516 Dec
Picha: Abiria 300 wanusurika kifo baada ya meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba kuungua moto
![20151216043112](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151216043112-300x194.jpg)
Abiria waliokuwa wamependa meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba wamenusurika kifo baada ya meli hiyo kuungua moto.
Abiria waliokuwa kwenye meli ya Royal wakijiokoa
Tukio hilo limetokea asubuhi Jumatano hii.
Hata hivyo meli ya Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda Unguja iliikuta meli hiyo njia na kusaidia shughuli za uzimaji moto na uokozi wa abiria waliokuwa kwenye meli hiyo.
Meli hiyo ilikuwa na abiria 300 wakiwemo watoto 70.
Meli ya Serengeti ikiivuta MV Royal