Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UPDATES: LEMBELI NA MUKYA WANUSURIKA KIFO MARA BAADA YA GARI LAO KUPINDUKA

 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kahama kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mh James Lembeli na Joyce Mukya wanusurika kifo mara baada ya gari waliokuwa wakitumia kusafiria kutoka Simanjiro kuelekea Arusha kupata ajali na kupinduka.Taarifa za awali zinasema kuwa hakuna hawakuumia lakini tutaendelea kuwajuza kadri habari inavyotufikia.Picha na Mdau Massawe

CHANZO: LUKAZA BLOG

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Lembeli, Mukya wanusurika ajalini, wagombea watatu mbaroni

Mgombea ubunge wa Jimbo la Kahama (Chadema), James Lembeli na aliyekuwa mbunge wa Viti Maalumu wa chama hicho, Joyce Mukya wamenusurika katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Terart wilayani Simanjiro.

 

10 years ago

Michuzi

DEREVA AFARIKI DUNIA BAADA YA GARI ALILOKUWA AKISAFIRIA KUACHA NJIA NA KUPINDUKA WILAYANI MBOZI,MBEYA

Dereva aliyekuwa akiendesha gari lenye namba za usajili T.910 CYF aina ya Toyota Noah aliyetambulika kwa jina la Stanford Luenje (30) mkazi wa mbozi alifariki dunia baada ya gari hilo kuacha njia na kupinduka huko eneo la Mlowo Wilayani Mbozi.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo majira ya saa 01:30 huko eneo la mlowo, kata ya mlowo, tarafa ya vwawa, wilaya ya mbozi, mkoa wa mbeya katika barabara kuu ya mbeya/tunduma.
Aidha katika ajali hiyo watu wawili waliofahamika kwa majina ya  1....

 

10 years ago

Vijimambo

WATOTO 4 WANUSURIKA KIFO BAADA YA KULIPUKIWA NA MLIPUKO


Mtoto Emmanuel Mwingira (7) mkazi wa mtaa wa Kiwandani Mbinga mjini,
akiwa amelazwa katika Hospitali ya wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma,baada ya kulipukiwa na Vilipushi[detonator] ambavyo vimesadikiwa kuwahutumika kulipulia miamba, wakati alipokuwa akicheza nawenzake nakusababisha kuumia mkono wake wa kulia na sehemu mbalimbali zamwiliwake. Huyo ni mmoja kati ya watoto sita ambao walio patwa na mkasa huo.Picha NA AMON MTEGANA AMON MTEGA wa DemashonewsWATOTO wanne kati ya sita wamenusurika...

 

9 years ago

Michuzi

WAHAMIAJI HARAMU 62 KUTOKA ETHIOPIA WADAKWA LINDI BAADA YA AJALI YA GARI LAO

Wahamiaji haramu wawili kutoka Ethiopia  wafariki na wengine 60 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Lindi baada ya kubainika mara tu Gari ambalo walikuwa wakisafiria kugongwa na Basi la Jailan Jana Mjini Lindi.Gari ambalo walikuwa wakisafiria wahamiaji haramu kutoka Ethiopia baada ya kugongwa na Basi la Jailan jana Mjini Lindi.Wahamiaji haramu kutoka Ethiopia wakiwa chini ya Ulinzi kwenye makao makuu ya Uhamiaji mkoani Lindi.Wahamiaji haramu kutoka Ethiopia wakiwa chini ya Ulinzi kwenye...

 

10 years ago

GPL

WATANO WANUSURIKA KIFO BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI JIJINI MWANZA

Rashid Mkumba Hamis ambaye ni mmoja wa majeruhi aliyevunjika mguu. Majeruhi katika tukio hilo wakihojiwa na wanahabari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Vijimambo

BIBI NA BWANA HARUSI WANUSURIKA KIFO BAADA YA MTUMBWI WALIOPANDA KUZAMA ZIWA TANGANYIKA

Ndugu jamaa na wapambe wa bwana na bibi harusi walionusurika kifo baada ya ajali ya mtumbwi kutokea katika kijiji cha kalalangabo wakiwa wanaendelea na matibabu katika hospita ya Mkoa wa KigomaBibi harusi Mariamu mduwa aliyenusurika kifo katika ajali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo akiwa naendelea na matibabu katika hospital ya mkoa wa KigomaWaokoaji mbalimbali wakijindaa kwenda katika eneo ilipotokea ajali ya mitumbwi iliyobeba harusi kutoka kigoma mjini kwenda katika kijiji cha...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ: MAHARUSI WANUSURIKA KIFO BAADA YA MTUMBWI WALIOPANDA KUZAMA ZIWA TANGANYIKA

Waokoaji wakijindaa kwenda katika eneo ilipotokea ajali ya mitumbwi iliyobeba harusi kutoka Kigoma mjini kwenda katika kijiji cha Kigalya kutafuta miili ya marehemu ambayo bado haijapatikana

 Waokoaji toka vikosi mbalimbali wakiwemo wanajeshi wa JWTZ wakijiandaa kwenda kutafuta miili ambayo bado haijapatikana kutokana na jali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo Bibi harusi Mariamu Mduwa aliyenusurika  katika ajali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo akiwa anaendelea na matibabu...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Abiria 300 wanusurika kifo baada ya meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba kuungua moto

20151216043112

Abiria waliokuwa wamependa meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba wamenusurika kifo baada ya meli hiyo kuungua moto.

20151216043112
Abiria waliokuwa kwenye meli ya Royal wakijiokoa

Tukio hilo limetokea asubuhi Jumatano hii.

20151216043106

Hata hivyo meli ya Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda Unguja iliikuta meli hiyo njia na kusaidia shughuli za uzimaji moto na uokozi wa abiria waliokuwa kwenye meli hiyo.

Meli hiyo ilikuwa na abiria 300 wakiwemo watoto 70.

20151216043059
Meli ya Serengeti ikiivuta MV Royal

20151216043010

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani