DEREVA AFARIKI DUNIA BAADA YA GARI ALILOKUWA AKISAFIRIA KUACHA NJIA NA KUPINDUKA WILAYANI MBOZI,MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-5-4Pj-WwXsE/VLykx-LRsmI/AAAAAAAG-S8/sGedhbaILt0/s72-c/image061.jpg)
Dereva aliyekuwa akiendesha gari lenye namba za usajili T.910 CYF aina ya Toyota Noah aliyetambulika kwa jina la Stanford Luenje (30) mkazi wa mbozi alifariki dunia baada ya gari hilo kuacha njia na kupinduka huko eneo la Mlowo Wilayani Mbozi.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo majira ya saa 01:30 huko eneo la mlowo, kata ya mlowo, tarafa ya vwawa, wilaya ya mbozi, mkoa wa mbeya katika barabara kuu ya mbeya/tunduma.
Aidha katika ajali hiyo watu wawili waliofahamika kwa majina ya 1....
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXw2yC3sq0IIR00Ad6ZnkHlC8PYv5WLR*gP2FpZbyQ09GfZG3PBDgZrEZjIQDzcCFjjicRy45ERx3cSNg0w6-GUT/kamandadiwanathuman.jpg)
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MBARALI
11 years ago
Michuzi16 Jul
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MOMBA.
TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 15.07.2014MAJIRA YA SAA 22:00 USIKU HUKO KATIKA MTAA WA MWAKA, KATA NA TARAFA YA TUNDUMA, WILAYA YA MOMBA, MKOA WA MBEYA. CHANZO CHA AJALI BADO KINACHUNGUZWA. MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA KITUO CHA...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SjVAbPf4aQE/VJgUmQzhHOI/AAAAAAAAyJE/s9ELocmsDhM/s72-c/10849955_762723843796739_395811204800001497_n.jpg)
WATU TISA WAFARIKI DUNIA BAADA YA GARI WALILOKUWA WAKISAFIRIA KUGONGANA WILAYANI MOMBA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-SjVAbPf4aQE/VJgUmQzhHOI/AAAAAAAAyJE/s9ELocmsDhM/s640/10849955_762723843796739_395811204800001497_n.jpg)
WATU TISA [09] KATI YAO WANAUME SABA [07] NA WANAWAKEWAWILI [02] WAMEFARIKI DUNIA BAADA YA GARI WALIOKUWA WAKISAFIRIA LENYE NAMBA ZA USAJILI T.203 ARZ AINA YA TOYOTA COASTER LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA DEREVA AITWAYE JOHN EMANUEL (36) MKAZI WA MLOWO-MBOZI LIKIWA LINATOKEA MBEYA KWENDA TUNDUMA WAKATI AKIJARIBU KULIPITA GARI T.789 AZL/T.123 AXV AINA YA TATA TRUCK ENEO AMBALO KUNA MLIMA NA...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ld5S8ZwJb8E/Vh0B9G_-ySI/AAAAAAABXPg/jMyUEzfVHCo/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
UPDATES: LEMBELI NA MUKYA WANUSURIKA KIFO MARA BAADA YA GARI LAO KUPINDUKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ld5S8ZwJb8E/Vh0B9G_-ySI/AAAAAAABXPg/jMyUEzfVHCo/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-U-dC84pqRic/Vh0BsnAzPJI/AAAAAAABXPU/3J-yk9xIeBU/s640/2.jpg)
CHANZO: LUKAZA BLOG
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Mtoto wa mwaka mmoja afariki dunia baada ya kutumbukia Kisimani Mbeya
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.
Na Emanuel Madafa, Mbeya
Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba Promis Dank mkazi wa bwawani wilaya ya Chunya amefariki dunia njiani akiwa anapelekwa hospitali baada ya kutumbukia kisimani.
Tukio hilo limetokea Novemba 112 majira ya saa 12 asubuhi huko kitongoji cha Railway, kata ya Bwawani, wilaya ya Chunya, mkoa wa Mbeya.
Inadaiwa kuwa, mtoto huyo baada ya kutumbukia kwenye kisima hicho ambacho kilikuwa wazi, aliokolewa akiwa hai...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Wafariki baada ya basi kuacha njia
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Wachezaji wawili wapoteza maisha, ni baada ya gari waliyotumia kuacha barabara
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya ajali ya gari aina ya Noah T.987 CQN iliyokuwa imepakia abiria 24, kuacha barabara na kisha kugonga mti na kuuawa wachezaji wawili wa timu ya soka ya kijiji cha Kinambeu akiwemo mwanafunzi wa kidato cha tatu shule ya sekondari Tumaini kata ya Kinampanda wilaya ya Iramba.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
WACHEZAJI wawili wa timu ya soka ya kijiji cha Kinambeu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04avKIP1gitXBLveV0diDRIZ0CpyVNqUvAssEr4e3-d6v5DckQKa072u2QTLYCvLSwmiMAqULBZ14mYy7W8xkViRJ/1ndege.jpg?width=650)
TASWIRA KUTOKA JNIA BAADA YA NDEGE YA KENYA AIRWAYS KUACHA NJIA
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Afariki baada ya kukanyagwa na gari la mamake