TASWIRA KUTOKA JNIA BAADA YA NDEGE YA KENYA AIRWAYS KUACHA NJIA
![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04avKIP1gitXBLveV0diDRIZ0CpyVNqUvAssEr4e3-d6v5DckQKa072u2QTLYCvLSwmiMAqULBZ14mYy7W8xkViRJ/1ndege.jpg?width=650)
Mmoja wa abiria katika ndege ya Shirika la Ndege la Kenya akitoka kwenye ndege hiyo. HALI ya hofu ilitanda miongoni mwa abiria walikuwa katika ndege ya Shirika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) baada ya ndege hiyo kudaiwa kuteleza na kunasa njia kuu na kufanya ndege nyingine kushindwa kutua uwanjani hapo. Chanzo cha ajali hiyo ni mvua kubwa inayoendelea kunyesha iliyoanza leo asubuhi mpaka muda huu ikiwa bado inanyesha. Abiria...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzitimu ya wataalam kutoka wizara ya uchukuzi watembelea kituo cha uongozaji ndege Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere (JNIA)
10 years ago
MichuziWATAALAM KUTOKA WIZARA YA UCHUKUZI WATEMBEMBELEA KAMPUNI YA KUHUDUMIA MIZIGO, NDEGE NA ABIRIA YA SWISSPORT INAYOTOA HUDUMA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA)
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Wafariki baada ya basi kuacha njia
11 years ago
Michuzi31 May
ajabu na kweli: baba na binti waendesha ndege ya abiria ya Kenya Airways pamoja
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5-4Pj-WwXsE/VLykx-LRsmI/AAAAAAAG-S8/sGedhbaILt0/s72-c/image061.jpg)
DEREVA AFARIKI DUNIA BAADA YA GARI ALILOKUWA AKISAFIRIA KUACHA NJIA NA KUPINDUKA WILAYANI MBOZI,MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-5-4Pj-WwXsE/VLykx-LRsmI/AAAAAAAG-S8/sGedhbaILt0/s1600/image061.jpg)
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo majira ya saa 01:30 huko eneo la mlowo, kata ya mlowo, tarafa ya vwawa, wilaya ya mbozi, mkoa wa mbeya katika barabara kuu ya mbeya/tunduma.
Aidha katika ajali hiyo watu wawili waliofahamika kwa majina ya 1....
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vo9EGgQ9N6Y/VkNWCJb_8OI/AAAAAAAIFVc/QWrpnS8WHd0/s72-c/MMGL0012.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-M7HN3YIR9Qc/VgAztqUVfkI/AAAAAAAH6kk/r43f0eWWpSM/s72-c/unnamed%2B%252897%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UXfJhnELW4o/VLoCjb0i0gI/AAAAAAAG96s/YT5J6tq9E8c/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
TIMU YA WAATAALAM KUTOKA WIZARA YA UCHUKUZI WATEMBELEA KITUO CHA HALI YA HEWA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA) NA UJENZI WA JENGO LA TATU LA ABIRIA (TERMINAL III)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UXfJhnELW4o/VLoCjb0i0gI/AAAAAAAG96s/YT5J6tq9E8c/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AQ41RnqHmgw/VLoCjnVqVBI/AAAAAAAG96w/XI9ySLGKRJI/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)