Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ajabu na kweli: baba na binti waendesha ndege ya abiria ya Kenya Airways pamoja

Captain Mwangi na binti yake wakiendesha ndege ya Kenya Airways pamoja

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TASWIRA KUTOKA JNIA BAADA YA NDEGE YA KENYA AIRWAYS KUACHA NJIA

Mmoja wa abiria katika ndege ya Shirika la Ndege la Kenya akitoka kwenye ndege hiyo. HALI ya hofu ilitanda miongoni mwa abiria walikuwa katika ndege ya Shirika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) baada ya ndege hiyo kudaiwa kuteleza na kunasa njia kuu na kufanya ndege nyingine kushindwa kutua uwanjani hapo. Chanzo cha ajali hiyo ni mvua kubwa inayoendelea kunyesha iliyoanza leo asubuhi mpaka muda huu ikiwa bado inanyesha. Abiria...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waendesha pikipiki, abiria wafa ajalini

WATU watatu wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi kwenye matukio tofauti, likiwemo la dereva wa pikipiki, Ramadhani Bakari (22), mkazi wa Yombo kumgonga mtembea kwa miguu. Kamanda wa Polisi...

 

11 years ago

Mwananchi

Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116

Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria (Air Algerie) iliyopoteza mawasiliano ya Rada katika anga la Mali mapema leo ikiwa na abiria 116 na watumishi sita imeanguka, Shirika la Habari la Reuters linaripoti.

 

11 years ago

GPL

SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI

Wanawake wawili (mmoja hayupo pichani) wakiondolewa kwa nguvu kwenye mkutano wa waandishi wa habari ambao ulipangwa kufanyika leo mjini Kuala Lumpur.  Wanawake hao ni baadhi ya ndugu ‘waliopotea’ katika ndege aina ya Boeing 777 namba MH370 iliyopotea zaidi ya siku 10 zilizopita ambao wameilaumu serikali ya Malaysia kwa kutowaambia ukweli na kuwazungusha kuhusu juhudi za kweli kuhusiana na ndugu zao.… ...

 

10 years ago

Michuzi

WATAALAM KUTOKA WIZARA YA UCHUKUZI WATEMBEMBELEA KAMPUNI YA KUHUDUMIA MIZIGO, NDEGE NA ABIRIA YA SWISSPORT INAYOTOA HUDUMA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA)

Meneja wa Huduma za Mizigo, ndege na Abiria wa Swissport, Stella Kitali, akiwaonyesha wataalam kutoka Wizara ya Uchukuzi, karatasi inayotumika kuonyesha aina za mizigo inayopakiwa kwenye ndege wakati wataalam hao walipotembelea Kampuni hiyo, mwishoni mwa wiki kuona huduma mbalimbali zinazotolewa na kampuni hiyo katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).Meneja wa Huduma za Mizigo, ndege na Abiria wa Swissport, Stella Kitali, akiwaonyesha wataalam kutoka Wizara ya Uchukuzi, ngazi...

 

11 years ago

Mwananchi

Ndege wa ajabu wavamia makazi Kagera

Ndege wa ajabu wanaosadikiwa kutoa kinyesi chenye sumu kali, wamevamia Kisiwa cha Musira kilichopo Manispaa ya Bukoba na kusababisha vifo vya mifugo na ndege wafugwao, huku ukali wa sumu hiyo ukisababisha kutoboka mabati ya nyumba zilizopo kisiwani humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ndege wa ajabu waanza kuteketezwa Bukoba

Wananchi katika Kisiwa cha Musira mkoani Kagera wameanza kuteketeza ndege waliodaiwa kutoa kinyesi chenye sumu, huku Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii ikiendelea kukalia majibu ya utafiti kuhusu ukweli wa madai hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani