SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI
![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*X48WsmNc23pmAB6oPcDv5ITM4Ut6B81jkUWsZQnbW89vUcnUyeltPn5O34Ge4z1GYQDZKo3PdFtKSkDX--vxEg/article25841331C69423300000578784_634x422.jpg?width=650)
Wanawake wawili (mmoja hayupo pichani) wakiondolewa kwa nguvu kwenye mkutano wa waandishi wa habari ambao ulipangwa kufanyika leo mjini Kuala Lumpur. Wanawake hao ni baadhi ya ndugu ‘waliopotea’ katika ndege aina ya Boeing 777 namba MH370 iliyopotea zaidi ya siku 10 zilizopita ambao wameilaumu serikali ya Malaysia kwa kutowaambia ukweli na kuwazungusha kuhusu juhudi za kweli kuhusiana na ndugu zao.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGFMwh5Ceg7BXEC662X9vMFXEnx1z9OTx*7cfJZorojLiN4FpgOdi*Lmfz-hdnOtWfQ4ZoBEkxbiQdjbhCS99Mb2/NDEGEKUPOTEA1.jpg?width=650)
SIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Malaysia kuitafuta ndege iliyopotea tena
11 years ago
Michuzi12 Mar
Ndege ya MH370 ya Malaysia iliyopotea,ilibadili mkondo
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/s2natLbtLo9l14P_cj3M-1RHeW7kzKsYFqBeMKP7Hsdv0fFTg2SuhF8Any6SZV5aovbeJ0ayb54gtZMIVEmo8t_YH6UTbYyzLpDaSli_IIgErog-3hN7iFKfK8b87egnLlpQMmkjikY1J9lPxrqB0urYyLYhX5-sbmR5XgaQgWpMUnONmHS7vTVNZ024dA=s0-d-e1-ft#http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/03/11/140311065819_malaysia_missing_plane_304x171_ap_nocredit.jpg)
Ndege ya Malaysia iliyotoweka Mkuu wa jeshi la anga la Malaysia, amekanusha madai kuwa ndege ya Malaysia iliyotoweka, ilionekana mara ya mwisho Magharibi ya rasi ya nchi hiyo, eneo ambalo ni mbali zaidi na njia iliyostahili kupita.
Generali Rodzali Daud, amesema kuwa hawawezi kupuuza uwezekano huo, lakini amesema madai kuwa mawasiliano ya ndege hiyo yalinaswa na mtambo wa radar katika eneo hilo sio kweli.
Amesema mawasiliano ya mwisho ya ndege hiyo iliyokuwa ikitoka Kuala Lumpur kuelekea...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bDmjSM9kXXb-NwFEIy5CmXD2soG40hbz8xohqj-EG1mpJnh433bwmq88sd7FUNLdGc52fzXuNCEYHe5VNmQwn97cfPV6M1Q4/MALASYA_267eb.jpg)
MAMBO SITA USIYOYAFAHAMU KUHUSU NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQJztPvYEO8BtIHnOD347wEbr7SSq1*mkURHWebGooYSR2Wlx-MBqGDBqs6TxvgbuyVoQQ3ADdpTN6BAn6kQgAHj/malaysiaairlinesmh370.jpg?width=650)
UTATA WAZIDI KUPOTEA KWA NDEGE YA MALAYSIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovBLFL3dB9vXgRDziohTBtc2sA9rbvs0zsXHOenR*jKQsvIk9YjnTQ85V5HQz0d4kQXpnyIcwS9uMVNxbvj4B7UX/ndege4.jpg?width=650)
CHINA YASEMA IMEONA KITU KATIKA BAHARI YA HINDI KINACHODHANI NI MABAKI YA NDEGE ILIYOPOTEA YA MALAYSIA
10 years ago
Vijimambo30 Sep
MTANZANIA NI MOJA KATI YA ABIRIA WALIOKUWEMO KWENYE NDEGE YA AMERICAN ILIYOTUA KWA DHARURA BAADA YA GURUDUMU LA MBELE KUPATA PANCHA
Ndege ya shirika la ndege la American iliyokua ikisafiri kutoka Houston Texas kuelekea Baltimore siku ya Jumatatu Sept 29, 2014 mida ya jioni na iliyokua imebeba abiria 140 akiwemo Mtanzania Baraka Daudi ilibidi itue kwa dharura kwenye uwanja huo wa Houston baada ya rubani wa ndege hiyo kugundua gurudumu la mbele (norse gear) kutokua na upepo. Baada ya rubani kudua hitilafu hiyo aliwasiliana na mnara wa kuongozea ndege wa uwanja huo wa Houston wajaribu kuingalia ndege hiyo kwa ukaribu zaidi...
11 years ago
BBCSwahili08 Mar
Ndege ya Malaysia yapotea na abiria 239
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116