Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116

Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria (Air Algerie) iliyopoteza mawasiliano ya Rada katika anga la Mali mapema leo ikiwa na abiria 116 na watumishi sita imeanguka, Shirika la Habari la Reuters linaripoti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

Just In: Ndege ya Algeria yenye watu 116 yapotea angani, haionekani kwenye radar

Ndege ya shirika la Air Algerie la Algeria iliyokuwa ikitoka nchini Burkina Faso kwenda Algiers imepotea kwenye radar mapema leo.

Mamlaka inayohusika na uchunguzi wa anga imesema imepoteza mawasiliano na ndege hiyo saa 0155 GMT, au dakika 50 baada ya kupaa. Hiyo ina maana kuwa ndege hiyo imepotea kwa saa kadhaa kabla ya habari hiyo kujulikana.

Ndege hiyo ilikuwa ikitoka Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso.

 

11 years ago

Bongo5

Just In: Ndege ya Algeria iliyokuwa na watu 116 yaanguka

Ndege ya shirika la Air Algerie la Algeria iliyokuwa ikitoka nchini Burkina Faso kwenda Algiers na kuripotiwa kupotea kwenye radar mapema leo, imethibitishwa kuwa imeanguka. Msako wa kutafuta mabaki ya ndege hiyo unaendelea na ilikuwa na abiria zaidi ya 100 na wafanyakazi 6. Awali mamlaka inayohusika na uchunguzi wa anga ilisema ilipoteza mawasiliano na ndege […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya AirAsia yapotea na abiria 160

Shirika la ndege la AirAsia linasema kuwa limeanzisha shughuli ya kuitafuta ndege yake iliyopoteza mawasiliano

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Malaysia yapotea na abiria 239

Juhudi za kimataifa zinaendelea kutafuta ndege ya shirika la ndege la Malaysia iyokuwa na abiria 239 ambayo imepotelea baharini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Algeria yatoweka na watu 116

Maafisa wa Serikali mjini Algiers wamedhibitisha kuwa wamepoteza mawasiliano na ndege ya abiria ikitoka Burkina Faso.

 

11 years ago

GPL

NDEGE YA ALGERIA YAPOTEZA MAWASILIANO IKIWA NA WATU 116

Ndege iliyopoteza mawasiliano inafanana na hii pichani juu. SHIRIKA la ndege la Taifa la Algeria, limesema limepoteza mawasiliano na moja kati ya ndege zake iliyokuwa ikitoka Burkinafaso kwenda Algiers kupita Sahara. Mawasiliano yalipotea dakika 50 baada ya ndege hiyo kupaa kutoka mji wa Ouagadougou, Burkinafaso shirika hilo limeeleza. Ndege namba AH 5017 ilikuwa na abiria 110 na wafanyakazi sita wa ndege hiyo. Chanzo cha habari...

 

10 years ago

Bongo5

Ndege ya shirika la AirAsia yapotea, ilikuwa na watu 162

Ndege ya shirika la AirAsia Indonesia iliyokuwa ikisafiri kutoka Indonesia kwenda Singapore ikiwa na watu 162 ndani yake imepotea. Ndege hiyo aina ya Airbus A320-200, ilipotea katikati ya safari yake zaidi ya masaa mawili kutoka mji wa Surabaya. Hali mbaya ya hewa iliripotiwa kutoka kwenye eneo hilo na shughuli za uokozi zimesitishwa hadi Jumatatu asubuhi. […]

 

11 years ago

Mwananchi

Ndege ya Algeria yaanguka

Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria iliyokuwa ikiruka kutoka Uwanja wa Ndege wa Ouagadougou, Burkina Faso kwenda Algiers ikiwa na abiria 116, imeanguka.

 

11 years ago

CloudsFM

Ripoti: Ndege ya Algeria iliyobeba watu 116 imethibitishwa kuwa imeanguka

Ndege ya shirika la Algeria iliyokuwa imebeba abiria 116 ambayo awali iliripotiwa kuwa imepoteza mawasiliano kwa zaidi ya dakika 50 imethibitishwa kuwa imeanguka.

Kwa mujibu wa Aljazeera, maafisa wa Algeria wamethibitisha kuwa ndege hiyo iliyokuwa ikisafiri kutoka Burkina Faso kwenda katika mji mkuu wa Algeria, Algiers imeanguka Kusini mwa Mali.

Maafisa wa serikali ya Ufaransa wameeleza kuwa ndege hiyo AH5017 ilipotea kwenye radar katika eneo la Mali baada ya mvua kubwa kunyesha na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani