Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria (Air Algerie) iliyopoteza mawasiliano ya Rada katika anga la Mali mapema leo ikiwa na abiria 116 na watumishi sita imeanguka, Shirika la Habari la Reuters linaripoti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM24 Jul
Just In: Ndege ya Algeria yenye watu 116 yapotea angani, haionekani kwenye radar
Ndege ya shirika la Air Algerie la Algeria iliyokuwa ikitoka nchini Burkina Faso kwenda Algiers imepotea kwenye radar mapema leo.
Mamlaka inayohusika na uchunguzi wa anga imesema imepoteza mawasiliano na ndege hiyo saa 0155 GMT, au dakika 50 baada ya kupaa. Hiyo ina maana kuwa ndege hiyo imepotea kwa saa kadhaa kabla ya habari hiyo kujulikana.
Ndege hiyo ilikuwa ikitoka Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso.
11 years ago
Bongo524 Jul
Just In: Ndege ya Algeria iliyokuwa na watu 116 yaanguka
10 years ago
BBCSwahili28 Dec
Ndege ya AirAsia yapotea na abiria 160
11 years ago
BBCSwahili08 Mar
Ndege ya Malaysia yapotea na abiria 239
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Ndege ya Algeria yatoweka na watu 116
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfA-ZOdajs*3eEwsoOs2ZTmX2oh8h*cX4B9pqnmdlnzR*3VEOh41n9cV1RiIInvz8WArDnDjMDQ9B85cvhhDhZWf/NDEGEE.jpg)
NDEGE YA ALGERIA YAPOTEZA MAWASILIANO IKIWA NA WATU 116
10 years ago
Bongo528 Dec
Ndege ya shirika la AirAsia yapotea, ilikuwa na watu 162
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Ndege ya Algeria yaanguka
11 years ago
CloudsFM24 Jul
Ripoti: Ndege ya Algeria iliyobeba watu 116 imethibitishwa kuwa imeanguka
Ndege ya shirika la Algeria iliyokuwa imebeba abiria 116 ambayo awali iliripotiwa kuwa imepoteza mawasiliano kwa zaidi ya dakika 50 imethibitishwa kuwa imeanguka.
Kwa mujibu wa Aljazeera, maafisa wa Algeria wamethibitisha kuwa ndege hiyo iliyokuwa ikisafiri kutoka Burkina Faso kwenda katika mji mkuu wa Algeria, Algiers imeanguka Kusini mwa Mali.
Maafisa wa serikali ya Ufaransa wameeleza kuwa ndege hiyo AH5017 ilipotea kwenye radar katika eneo la Mali baada ya mvua kubwa kunyesha na...