NDEGE YA ALGERIA YAPOTEZA MAWASILIANO IKIWA NA WATU 116
![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfA-ZOdajs*3eEwsoOs2ZTmX2oh8h*cX4B9pqnmdlnzR*3VEOh41n9cV1RiIInvz8WArDnDjMDQ9B85cvhhDhZWf/NDEGEE.jpg)
Ndege iliyopoteza mawasiliano inafanana na hii pichani juu. SHIRIKA la ndege la Taifa la Algeria, limesema limepoteza mawasiliano na moja kati ya ndege zake iliyokuwa ikitoka Burkinafaso kwenda Algiers kupita Sahara. Mawasiliano yalipotea dakika 50 baada ya ndege hiyo kupaa kutoka mji wa Ouagadougou, Burkinafaso shirika hilo limeeleza. Ndege namba AH 5017 ilikuwa na abiria 110 na wafanyakazi sita wa ndege hiyo. Chanzo cha habari...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Ndege ya Algeria yapoteza mawasiliano
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7keVi3SGc-Y/U9DotclVkAI/AAAAAAAF5sE/vcBVH38epfM/s72-c/a1.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ........: NDEGE YA ALGERIA YAPOTEZA MAWASILIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7keVi3SGc-Y/U9DotclVkAI/AAAAAAAF5sE/vcBVH38epfM/s1600/a1.jpg)
Globu ya Jamii inaendelea kufuatilia tukio hilo na taarifa kamili tutaendelea kupeana kupitia hapa hapa.
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Ndege ya Algeria yatoweka na watu 116
11 years ago
Bongo524 Jul
Just In: Ndege ya Algeria iliyokuwa na watu 116 yaanguka
11 years ago
CloudsFM24 Jul
Ripoti: Ndege ya Algeria iliyobeba watu 116 imethibitishwa kuwa imeanguka
Ndege ya shirika la Algeria iliyokuwa imebeba abiria 116 ambayo awali iliripotiwa kuwa imepoteza mawasiliano kwa zaidi ya dakika 50 imethibitishwa kuwa imeanguka.
Kwa mujibu wa Aljazeera, maafisa wa Algeria wamethibitisha kuwa ndege hiyo iliyokuwa ikisafiri kutoka Burkina Faso kwenda katika mji mkuu wa Algeria, Algiers imeanguka Kusini mwa Mali.
Maafisa wa serikali ya Ufaransa wameeleza kuwa ndege hiyo AH5017 ilipotea kwenye radar katika eneo la Mali baada ya mvua kubwa kunyesha na...
11 years ago
CloudsFM24 Jul
Just In: Ndege ya Algeria yenye watu 116 yapotea angani, haionekani kwenye radar
Ndege ya shirika la Air Algerie la Algeria iliyokuwa ikitoka nchini Burkina Faso kwenda Algiers imepotea kwenye radar mapema leo.
Mamlaka inayohusika na uchunguzi wa anga imesema imepoteza mawasiliano na ndege hiyo saa 0155 GMT, au dakika 50 baada ya kupaa. Hiyo ina maana kuwa ndege hiyo imepotea kwa saa kadhaa kabla ya habari hiyo kujulikana.
Ndege hiyo ilikuwa ikitoka Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBuYd3JLPfVeR*rwCX*QWNccWNxS*sryCMGCxEYnuV7f9eKLRmGs8jRx6HN9Dz6DXH6vzootDsLQPYkh4eVh1vCA/GermanWings1.jpg?width=650)
NDEGE YA UJERUMANI YAANGUKA IKIWA NA WATU 150
10 years ago
CloudsFM29 Dec
NDEGE YA AIRASIA QZ8501 YAPOTEA IKIWA NA WATU 162
Ndege ya AirAsia, QZ8501iliyopoteza mawasiliano ikiwa na watu 162 ikitokea Indonesia kwenda Singapore.
![](http://api.ning.com/files/Zv0e1bgizgKyLyHMEnAw5sxpvmvrb-51O8Pc05ryy4G9nCSUQAp1GxNZc0trdWjg9w1QlPbz5IgG8wmq*QiDpxKvVItXGBWs/familia3.jpg)
![](http://api.ning.com/files/Zv0e1bgizgLhaaGCixn1wILP54PlfjmyLRuXadsTMdC7t0yKb65*bMeug-BMGCLskGR6ucPEVK3v9lwJSWK-jQP3HVeu0QMq/familia4.jpg)
Kati ya watu hao 162, abiria walikuwa 155, marubani 2 na wafanyakazi wa ndege hiyo 5. Watu 157 ni raia wa Indonesia, 3 raia wa Korea Kusini, 1 kutoka Malaysia na 1 raia wa Singapore.
Imeelezwa kuwa kabla ya ndege hiyo kupoteza mawasiliano, rubani aliomba kubadili uelekeo wa...