Ndege ya Algeria yapoteza mawasiliano
Ndege ya Shirika la ndege la nchini Algeria imepoteza mawasiliano
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7keVi3SGc-Y/U9DotclVkAI/AAAAAAAF5sE/vcBVH38epfM/s72-c/a1.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ........: NDEGE YA ALGERIA YAPOTEZA MAWASILIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7keVi3SGc-Y/U9DotclVkAI/AAAAAAAF5sE/vcBVH38epfM/s1600/a1.jpg)
Globu ya Jamii inaendelea kufuatilia tukio hilo na taarifa kamili tutaendelea kupeana kupitia hapa hapa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfA-ZOdajs*3eEwsoOs2ZTmX2oh8h*cX4B9pqnmdlnzR*3VEOh41n9cV1RiIInvz8WArDnDjMDQ9B85cvhhDhZWf/NDEGEE.jpg)
NDEGE YA ALGERIA YAPOTEZA MAWASILIANO IKIWA NA WATU 116
Ndege iliyopoteza mawasiliano inafanana na hii pichani juu. SHIRIKA la ndege la Taifa la Algeria, limesema limepoteza mawasiliano na moja kati ya ndege zake iliyokuwa ikitoka Burkinafaso kwenda Algiers kupita Sahara. Mawasiliano yalipotea dakika 50 baada ya ndege hiyo kupaa kutoka mji wa Ouagadougou, Burkinafaso shirika hilo limeeleza. Ndege namba AH 5017 ilikuwa na abiria 110 na wafanyakazi sita wa ndege hiyo. Chanzo cha habari...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria (Air Algerie) iliyopoteza mawasiliano ya Rada katika anga la Mali mapema leo ikiwa na abiria 116 na watumishi sita imeanguka, Shirika la Habari la Reuters linaripoti.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Ndege ya Algeria yaanguka
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria iliyokuwa ikiruka kutoka Uwanja wa Ndege wa Ouagadougou, Burkina Faso kwenda Algiers ikiwa na abiria 116, imeanguka.
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Mabaki ya ndege Algeria yaonekana
Mabaki ya ndege iliyopotea ikiwa na watu 116 njiani kutoka Burkanafaso kwenda Algers yamepatikana nchini Mali.
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Ajali ya ndege yawaua 100 Algeria
Ndege ya jeshi imeanguka ikiwa imebeba zaidi ya watu 100 nchini Algeria
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Ndege ya Algeria yatoweka na watu 116
Maafisa wa Serikali mjini Algiers wamedhibitisha kuwa wamepoteza mawasiliano na ndege ya abiria ikitoka Burkina Faso.
11 years ago
Bongo524 Jul
Just In: Ndege ya Algeria iliyokuwa na watu 116 yaanguka
Ndege ya shirika la Air Algerie la Algeria iliyokuwa ikitoka nchini Burkina Faso kwenda Algiers na kuripotiwa kupotea kwenye radar mapema leo, imethibitishwa kuwa imeanguka. Msako wa kutafuta mabaki ya ndege hiyo unaendelea na ilikuwa na abiria zaidi ya 100 na wafanyakazi 6. Awali mamlaka inayohusika na uchunguzi wa anga ilisema ilipoteza mawasiliano na ndege […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YskAtqroQaApeA5J9tVofL4lDJsqNzOsLy74bXeWtuLibV66KRtqvf1h-xSxcZr4Mar3rAedc0gyCvwx8KnQrnH/1.jpg?width=650)
ALGERIA YATANGAZA SIKU 3 ZA MAOMBOLEZO BAADA YA AJALI YA NDEGE
Ndege aina ya Hercules C-130 baada ya kupata ajali. Algeria imeanza siku tatu za maombolezi ya kitaifa kufuatia ajali ya ndege iliyowaua watu 77 Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo. Abiria mmoja alinusurika ajali hiyo iliyohusisha ndege aina ya Hercules C-130 iliyoanguka katika eneo la milima ya Oum al-Bouaghi, ikiwa njiani kuelekea mji wa Constantine. Kikosi cha uokoaji kikiwa eneo la tukio. Ripoti… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania