Ajali ya ndege yawaua 100 Algeria
Ndege ya jeshi imeanguka ikiwa imebeba zaidi ya watu 100 nchini Algeria
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAJALI YAUA 100 ALGERIA
Ndege hii ni sawa na ile iliyopata ajali na kuua watu 100. WATU 100 wamepoteza maisha katika ajali ya ndege iliyotokea eneo la milima ya jimbo la Oum El Bouaghi nchini Algeria. Ndege hiyo ya jeshi imeanguka ikiwa imebeba watu zaidi ya 100 wakiwemo wafanyakazi wa ndege hiyo. Ndege hiyo ya wanajeshi inaripotiwa kuanguka katika eneo lililo na milima mingi mashariki mwa mji mkuu wa Algiers. Inasemekana ndege hiyo ilikuwa ikibeba...
11 years ago
GPLALGERIA YATANGAZA SIKU 3 ZA MAOMBOLEZO BAADA YA AJALI YA NDEGE
Ndege aina ya Hercules C-130 baada ya kupata ajali. Algeria imeanza siku tatu za maombolezi ya kitaifa kufuatia ajali ya ndege iliyowaua watu 77 Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo. Abiria mmoja alinusurika ajali hiyo iliyohusisha ndege aina ya Hercules C-130 iliyoanguka katika eneo la milima ya Oum al-Bouaghi, ikiwa njiani kuelekea mji wa Constantine. Kikosi cha uokoaji kikiwa eneo la tukio. Ripoti… ...
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria (Air Algerie) iliyopoteza mawasiliano ya Rada katika anga la Mali mapema leo ikiwa na abiria 116 na watumishi sita imeanguka, Shirika la Habari la Reuters linaripoti.
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Ajali yawaua watu 31 nchini Morocco
Ajali ya ana kwa ana kati ya basi na lori nchini Morocco imewaua watu 31 wengi wao wakiwa wanariadha vijana
11 years ago
BBCAlgeria plane crash 'kills 100'
An Algerian military transport plane crashes in the east of the country, killing more than 100 people, Algerian TV says.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Ndege ya Algeria yaanguka
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria iliyokuwa ikiruka kutoka Uwanja wa Ndege wa Ouagadougou, Burkina Faso kwenda Algiers ikiwa na abiria 116, imeanguka.
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Ndege ya Algeria yapoteza mawasiliano
Ndege ya Shirika la ndege la nchini Algeria imepoteza mawasiliano
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Mabaki ya ndege Algeria yaonekana
Mabaki ya ndege iliyopotea ikiwa na watu 116 njiani kutoka Burkanafaso kwenda Algers yamepatikana nchini Mali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania