AJALI YAUA 100 ALGERIA
![](http://api.ning.com:80/files/z7xKGPrSF9CeB1*rHVx5DX7XeRPeGaugDV2ox2*O*8p78wjGlCt1ESJc-Tcz7qMDUIVI2w8LD1O0Ugscm1bOcpmkjpYFu283/ndege.jpg?width=650)
Ndege hii ni sawa na ile iliyopata ajali na kuua watu 100. WATU 100 wamepoteza maisha katika ajali ya ndege iliyotokea eneo la milima ya jimbo la Oum El Bouaghi nchini Algeria. Ndege hiyo ya jeshi imeanguka ikiwa imebeba watu zaidi ya 100 wakiwemo wafanyakazi wa ndege hiyo. Ndege hiyo ya wanajeshi inaripotiwa kuanguka katika eneo lililo na milima mingi mashariki mwa mji mkuu wa Algiers. Inasemekana ndege hiyo ilikuwa ikibeba...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Ajali ya ndege yawaua 100 Algeria
11 years ago
Mwananchi23 Jun
BRAZIL 2014: Algeria yaua, Ubelgiji yafuzu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-07REiHKi67U/XncEEtMbS7I/AAAAAAALkrE/XtfsGEV5kLEfkKVb_exWsRKZAbBVp-fAACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7759865d0131m38g_800C450.jpg)
Corona yaua DRC na Mauritius, Algeria yafuta maandamano
![](https://1.bp.blogspot.com/-07REiHKi67U/XncEEtMbS7I/AAAAAAALkrE/XtfsGEV5kLEfkKVb_exWsRKZAbBVp-fAACLcBGAsYHQ/s400/4bv7759865d0131m38g_800C450.jpg)
Waziri wa Afya wa DRC, Eteni Longondo amethibitisha hayo katika ujumbe wake kwenye ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Twitter jana Jumamosi, sanjari na kutangaza kesi tano mpya za wagonjwa wa Covid-19 nchini humo.
Aidha jana Jumamosi, Mauritius ilisajili kifo cha kwanza...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72901000/jpg/_72901369_bn-448x252.jpg)
Algeria plane crash 'kills 100'
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Gesi yaua 100 Nigeria
10 years ago
BBCSwahili30 Jun
Ndege ya kijeshi yaua ''100'' Indonesia
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Cameroon 'yaua' wapiganaji 100 wa Boko Haram
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Ajali yaua 21
WATU 21 wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Mkupuka, Kibiti, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani. Watu...