Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJALI YAUA 100 ALGERIA

Ndege hii ni sawa na ile iliyopata ajali na kuua watu 100. WATU 100 wamepoteza maisha katika ajali ya ndege iliyotokea eneo la milima ya jimbo la Oum El Bouaghi nchini Algeria. Ndege hiyo ya jeshi imeanguka ikiwa imebeba watu zaidi ya 100 wakiwemo wafanyakazi wa ndege hiyo. Ndege hiyo ya wanajeshi inaripotiwa kuanguka katika eneo lililo na milima mingi mashariki mwa mji mkuu wa Algiers. Inasemekana ndege hiyo ilikuwa ikibeba...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ajali ya ndege yawaua 100 Algeria

Ndege ya jeshi imeanguka ikiwa imebeba zaidi ya watu 100 nchini Algeria

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Algeria yaua, Ubelgiji yafuzu

>Algeria imeiangushia kipigo Korea Kusini baada ya kuichapa mabao 4-2 katika mechi ya Fainali za Kombe la Dunia iliyochezwa kwenye Uwanja wa Beira-Rio mjini Porto Alegre, Brazil.

 

5 years ago

Michuzi

Corona yaua DRC na Mauritius, Algeria yafuta maandamano

Mgonjwa wa corona ameaga dunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hicho kikiwa ni kifo cha kwanza kilichosababishwa na ugonjwa huo nchini humo, huku kesi za maambukizi ya kirusi hicho barani Afrika zikiendelea kuongezeka.

Waziri wa Afya wa DRC, Eteni Longondo amethibitisha hayo katika ujumbe wake kwenye ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Twitter jana Jumamosi, sanjari na kutangaza kesi tano mpya za wagonjwa wa Covid-19 nchini humo.

Aidha jana Jumamosi, Mauritius ilisajili kifo cha kwanza...

 

11 years ago

BBC

Algeria plane crash 'kills 100'

An Algerian military transport plane crashes in the east of the country, killing more than 100 people, Algerian TV says.

 

9 years ago

BBCSwahili

Gesi yaua 100 Nigeria

Zaidi ya watu 100 wamekufa katika mlipuko kwenye kiwanda cha gesi huko Kusini Mashariki mwa mji wa Nnewi huko jimbo la Anamra.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya kijeshi yaua ''100'' Indonesia

Maafisa wa kijeshi Indonesia, wanasema takriban watu 100 wameuawa katika ajali mbaya ya ndege ya uchukuzi ya kijeshi huko Sumatra

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameroon 'yaua' wapiganaji 100 wa Boko Haram

Wizara ya ulinzi nchini Cameroon imesema majeshi ya serikali yameua takriban wafuasi 100 wa kundi la wanamgambo wa kiislamu la Nigeria Boko Haram.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali yaua 21

WATU 21 wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Mkupuka, Kibiti, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani. Watu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani