Ndege ya kijeshi yaua ''100'' Indonesia
Maafisa wa kijeshi Indonesia, wanasema takriban watu 100 wameuawa katika ajali mbaya ya ndege ya uchukuzi ya kijeshi huko Sumatra
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Ndege ya kijeshi ya Ukraine yadunguliwa
Waziri wa Ulinzi nchini Ukraine amesema kuwa mojawapo ya ndege zake za kijeshi za kubeba mizigo imedunguliwa.
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Ndege ya kijeshi yaanguka Nigeria
Helikopta ya kijeshi ya Nigeria imeanguka katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo
9 years ago
BBCSwahili16 Aug
Ndege ya Indonesia yatoweka na abiria 54
Mamlaka nchini Indonessia inasema kuwa ndege moja ya abiria iliowabeba watu 54 wakiwemo watoto watano imepoteza mawasiliano na idara ya kituo cha udhibiti safari za ndege.
11 years ago
BBCSwahili15 Feb
Viwanja vya ndege vyafunguliwa indonesia
Viwanja kadhaa vya ndege vyafunguliwa katika kisiwa cha Indonesia baada ya kufungwa na wingu kubwa la jivu la volkano.
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Indonesia yafunga viwanja 5 vya ndege
Indonesia imefunga viwanja vitano vya ndege kikiwemo kile cha Bali kufuatia kulipuka kwa volcano katika mlima wa Raung, mashariki mwa mji wa Java.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmP3hn9UepMwsodSEO*NXYcHtB0d4jaMWIvCKGAIDXjIlgeW0D11jLXmA6IPDOp8*TQDoRpoYWxOm3M9ug1zpOfs/NDEGE1.jpg)
37 WAUAWA KWA AJALI YA NDEGE INDONESIA
Umati wa watu wakishuhudia ajali hiyo ilivyotokea. Kikosi cha Usalama wakiondoa taili la ndege hiyo eneo la tukio. Kikosi cha uokoaji wakitathimini namna ambavyo ajali hiyo ilivyotokea na kuharibu majengo. Shughuli…
11 years ago
Michuzi25 Apr
news alert: ndege ya shirika la virgin yatekwa nyara indonesia asubuhi hii
Ndege ya shirika la Virgin iliyokuwa inaruka toka Australia inasemekana imetekwa nyara katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Bali nchini Indonesia muda mchache uliopita, wamesema maafisa wa usalama wa nchi hiyo. Tunafuatilia na habari zaidi tutaleta kadri zitavyopatikana.
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Gesi yaua 100 Nigeria
Zaidi ya watu 100 wamekufa katika mlipuko kwenye kiwanda cha gesi huko Kusini Mashariki mwa mji wa Nnewi huko jimbo la Anamra.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania