Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndege ya Indonesia yatoweka na abiria 54

Mamlaka nchini Indonessia inasema kuwa ndege moja ya abiria iliowabeba watu 54 wakiwemo watoto watano imepoteza mawasiliano na idara ya kituo cha udhibiti safari za ndege.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Algeria yatoweka na watu 116

Maafisa wa Serikali mjini Algiers wamedhibitisha kuwa wamepoteza mawasiliano na ndege ya abiria ikitoka Burkina Faso.

 

11 years ago

Mwananchi

Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116

Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria (Air Algerie) iliyopoteza mawasiliano ya Rada katika anga la Mali mapema leo ikiwa na abiria 116 na watumishi sita imeanguka, Shirika la Habari la Reuters linaripoti.

 

11 years ago

GPL

SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI

Wanawake wawili (mmoja hayupo pichani) wakiondolewa kwa nguvu kwenye mkutano wa waandishi wa habari ambao ulipangwa kufanyika leo mjini Kuala Lumpur.  Wanawake hao ni baadhi ya ndugu ‘waliopotea’ katika ndege aina ya Boeing 777 namba MH370 iliyopotea zaidi ya siku 10 zilizopita ambao wameilaumu serikali ya Malaysia kwa kutowaambia ukweli na kuwazungusha kuhusu juhudi za kweli kuhusiana na ndugu zao.… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya kijeshi yaua ''100'' Indonesia

Maafisa wa kijeshi Indonesia, wanasema takriban watu 100 wameuawa katika ajali mbaya ya ndege ya uchukuzi ya kijeshi huko Sumatra

 

11 years ago

BBCSwahili

Viwanja vya ndege vyafunguliwa indonesia

Viwanja kadhaa vya ndege vyafunguliwa katika kisiwa cha Indonesia baada ya kufungwa na wingu kubwa la jivu la volkano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Indonesia yafunga viwanja 5 vya ndege

Indonesia imefunga viwanja vitano vya ndege kikiwemo kile cha Bali kufuatia kulipuka kwa volcano katika mlima wa Raung, mashariki mwa mji wa Java.

 

10 years ago

GPL

37 WAUAWA KWA AJALI YA NDEGE INDONESIA

Umati wa watu wakishuhudia ajali hiyo ilivyotokea. Kikosi cha Usalama wakiondoa taili la ndege hiyo eneo la tukio. Kikosi cha uokoaji wakitathimini namna ambavyo ajali hiyo ilivyotokea na kuharibu majengo. Shughuli…

 

10 years ago

Michuzi

WATAALAM KUTOKA WIZARA YA UCHUKUZI WATEMBEMBELEA KAMPUNI YA KUHUDUMIA MIZIGO, NDEGE NA ABIRIA YA SWISSPORT INAYOTOA HUDUMA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA)

Meneja wa Huduma za Mizigo, ndege na Abiria wa Swissport, Stella Kitali, akiwaonyesha wataalam kutoka Wizara ya Uchukuzi, karatasi inayotumika kuonyesha aina za mizigo inayopakiwa kwenye ndege wakati wataalam hao walipotembelea Kampuni hiyo, mwishoni mwa wiki kuona huduma mbalimbali zinazotolewa na kampuni hiyo katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).Meneja wa Huduma za Mizigo, ndege na Abiria wa Swissport, Stella Kitali, akiwaonyesha wataalam kutoka Wizara ya Uchukuzi, ngazi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani