Ndege ya Indonesia yatoweka na abiria 54
Mamlaka nchini Indonessia inasema kuwa ndege moja ya abiria iliowabeba watu 54 wakiwemo watoto watano imepoteza mawasiliano na idara ya kituo cha udhibiti safari za ndege.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Ndege ya Algeria yatoweka na watu 116
Maafisa wa Serikali mjini Algiers wamedhibitisha kuwa wamepoteza mawasiliano na ndege ya abiria ikitoka Burkina Faso.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria (Air Algerie) iliyopoteza mawasiliano ya Rada katika anga la Mali mapema leo ikiwa na abiria 116 na watumishi sita imeanguka, Shirika la Habari la Reuters linaripoti.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*X48WsmNc23pmAB6oPcDv5ITM4Ut6B81jkUWsZQnbW89vUcnUyeltPn5O34Ge4z1GYQDZKo3PdFtKSkDX--vxEg/article25841331C69423300000578784_634x422.jpg?width=650)
SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI
Wanawake wawili (mmoja hayupo pichani) wakiondolewa kwa nguvu kwenye mkutano wa waandishi wa habari ambao ulipangwa kufanyika leo mjini Kuala Lumpur. Wanawake hao ni baadhi ya ndugu ‘waliopotea’ katika ndege aina ya Boeing 777 namba MH370 iliyopotea zaidi ya siku 10 zilizopita ambao wameilaumu serikali ya Malaysia kwa kutowaambia ukweli na kuwazungusha kuhusu juhudi za kweli kuhusiana na ndugu zao.… ...
10 years ago
BBCSwahili30 Jun
Ndege ya kijeshi yaua ''100'' Indonesia
Maafisa wa kijeshi Indonesia, wanasema takriban watu 100 wameuawa katika ajali mbaya ya ndege ya uchukuzi ya kijeshi huko Sumatra
11 years ago
BBCSwahili15 Feb
Viwanja vya ndege vyafunguliwa indonesia
Viwanja kadhaa vya ndege vyafunguliwa katika kisiwa cha Indonesia baada ya kufungwa na wingu kubwa la jivu la volkano.
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Indonesia yafunga viwanja 5 vya ndege
Indonesia imefunga viwanja vitano vya ndege kikiwemo kile cha Bali kufuatia kulipuka kwa volcano katika mlima wa Raung, mashariki mwa mji wa Java.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmP3hn9UepMwsodSEO*NXYcHtB0d4jaMWIvCKGAIDXjIlgeW0D11jLXmA6IPDOp8*TQDoRpoYWxOm3M9ug1zpOfs/NDEGE1.jpg)
37 WAUAWA KWA AJALI YA NDEGE INDONESIA
Umati wa watu wakishuhudia ajali hiyo ilivyotokea. Kikosi cha Usalama wakiondoa taili la ndege hiyo eneo la tukio. Kikosi cha uokoaji wakitathimini namna ambavyo ajali hiyo ilivyotokea na kuharibu majengo. Shughuli…
10 years ago
MichuziWATAALAM KUTOKA WIZARA YA UCHUKUZI WATEMBEMBELEA KAMPUNI YA KUHUDUMIA MIZIGO, NDEGE NA ABIRIA YA SWISSPORT INAYOTOA HUDUMA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania