Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


news alert: ndege ya shirika la virgin yatekwa nyara indonesia asubuhi hii

Ndege ya shirika la Virgin iliyokuwa inaruka toka Australia inasemekana imetekwa nyara katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Bali nchini Indonesia muda mchache uliopita, wamesema maafisa wa usalama wa nchi hiyo. Tunafuatilia na habari zaidi tutaleta kadri zitavyopatikana.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Ethiopia ''Yatekwa Nyara''

Ndege ya Ethiopia imelazimishwa kutua Geneva

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: NYUMBA YA MKUU WA WILAYA YA KILWA YAUNGUA MOTO ASUBUHI HII

HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE ZINASEMA NYUMBA YA MKUU WA WILAYA YA KILWA MHE ABDALLAH ULEGA IMESHIKA MOTO  ASUBUHI HII NA JUHUDI ZA KUUZIMA ZINAENDELEA HIVI SASA.  CHANZO CHA MOTO HUO NA MADHARA YAKE BADO HAVIJAJULIKANA. TUTAENDELEA KUWAPA TAARIFA  ZAIDI KWA KADRI ZITAVYOWEZA KUPATIKANA.

 

10 years ago

Michuzi

news alert: Moto wateketeza kituo cha kupozea umeme cha mjini Moshi asubuhi hii

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. Transforma zinazosambaza umeme katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi Mkoani Kilimanjaro zilizoko eneo la Bomambuzi zimewaka moto asubuhi hii muda mfupi baada ya kutokea shoti ambayo haijafahamika chanzo chake ni nini.  Moto huo umetokea majira ya saa 1:10 na kusababisha maeneo kadhaa ya mji wa Moshi kukosa umeme hadi sasa.  Globu ya jamii imeshuhudia kikosi cha zimamoto kutoka manispaa ya moshi kikijaribu kuzima moto huo ambao hata...

 

9 years ago

BBCSwahili

Meli ya Iran yatekwa nyara Somalia

Maharamia wa Somalia wameiteka nyara meli moja ya Iran ikiwa na wafanyi kazi 15.

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: NDEGE YA JWTZ YAPATA AJALI JIJINI MWANZA LEO

Ndegevita moja ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ikiteketea kwa moto huku jitihada za kuuzima zikiendelea katika ajali iliyotokea leo Februari 27, 2015 katika uwanja wa ndege wa kijeshi wa MwanzaJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapenda kutoa taarifa ya ajali ya Ndegevita moja (1) iliyotokea leo tarehe 27 Februari 2015 katika uwanja wa ndege wa kijeshi wa Mwanza.
Ndegevita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida ya kivita,  Wakati rubani wa ndegevita...

 

11 years ago

Michuzi

news alert: ankal anunua ndege kuondokana na adha ya foleni jijini dar es salaam

Ankal akijiandaa kuingia ndani ya ndege yake ndogo inayoweza kutua popote aliyoinunua hivi karibuni kutoka katika visiwa vya Ushelisheli (Seychelles Islands) ili kuepukana na adha ya foleni jijini Dar es salaam.  Ankal ameiambia Globu ya Jamii kwamba amekuwa akisomea urubani wa ndege hiyo kwa siri kwa mwaka mmoja na sasa ameshatimiza  masaa 450 hewani na tayari ameshapata leseni ya kupaa katika jiji la Dar (mchana tu, kati ya saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni) na kutua katika viwanja...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: KIVUKO CHA MV. MAGOGONI CHAPATA KWIKWI JIONI HII

 Taarifa ya Uhakika iliyotufikia hivi punde ndani ya Ofisi za Globu ya Jamii,inaeleza kuwa Kivuko cha Mv. Magogoni kinachovusha watu na mali zao kutoka Magogoni - Kigamboni jijini Dar es Salaam,kimepatwa na kwikwi jioni hii baada ya kukatika kwa sehemu ya mkono unaoshika mlango wa upande mmoja wa kuvushia magari na waenda kwa miguu.Utaratibu wa kutengeneza Kivuko hicho unafanywa hivi sasa na Mafundi wa Kivuko huku Abiria wakiwa wamesimama pembeni kusubiria utaratibu mwingine. Sehemu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

11 years ago

Michuzi

News Alert: Helkopta ya Polisi yapiga mweleka wakati wa Kuruka kwenye Uwanja wa Ndege wa J.K. Nyerere jijini Dar leo

Helkopta ya Jeshi la Polisi Tanzania ikiwa imepiga mweleka mapema leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere mara baada ya kupatwa na hitilafu ya kiufundi wakati wa ikitaka kuruka.Taarifa za uhakika kabisa zilizoifikia Globu ya Jamii,zinaeleza kuwa Helkopta hiyo ilishindwa kuruka kwa kwenda mbele na badala yake iiliruka kwa kurudi nyuma,hali iliyopelekea Panga la Helkopta hiyo kujipigiza kwenye moja ya Paa la Karakana la Uwanjani hapo na kupiga mweleka.Hakuna aliedhulika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani