Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndege ya Ethiopia ''Yatekwa Nyara''

Ndege ya Ethiopia imelazimishwa kutua Geneva

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

news alert: ndege ya shirika la virgin yatekwa nyara indonesia asubuhi hii

Ndege ya shirika la Virgin iliyokuwa inaruka toka Australia inasemekana imetekwa nyara katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Bali nchini Indonesia muda mchache uliopita, wamesema maafisa wa usalama wa nchi hiyo. Tunafuatilia na habari zaidi tutaleta kadri zitavyopatikana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Meli ya Iran yatekwa nyara Somalia

Maharamia wa Somalia wameiteka nyara meli moja ya Iran ikiwa na wafanyi kazi 15.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rubani aliteka ndege ya Ethiopia

Rubani msaidizi ndiye aliyeiteka nyara ndege ya Ethiopia

 

11 years ago

Habarileo

Ndege ya Ethiopia yanasuliwa topeni

HATIMAYE ndege kubwa aina ya Boeing 767 mali ya Shirika la Ndege la Ethiopia, iliyotua kwa dharura juzi, Uwanja wa Ndege wa Arusha ikiwa na abiria 213, imenasuliwa kutoka kwenye tope na kuwekwa kwenye lami.

 

11 years ago

Mwananchi

Ndege ya Ethiopia iliyokwama yapelekwa KIA

>Marubani wa Shirika la  Ethiopia ambayo ilishuka kwa dharura katika uwanja mdogo wa Ndege wa Arusha, jana wamefanikiwa kuiondoa ndege hiyo katika uwanja huo na kwenda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).

 

11 years ago

Habarileo

Ndege ya Ethiopia yazua tafrani Arusha

Ndege ya Shirika la Ethiopian Airline aina ya Boeing 767 ikiwa nje ya njia ya kukimbilia baada ya kutua kwa dharura katika uwanja wa Arusha jana. (Picha na Mtandao wa JamiiForums.com).NDEGE ya Shirika la Ndege la Ethiopia, imetua kwa dharura katika uwanja mdogo wa Arusha baada ya kushindwa kutua katika uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kutokana na ndege nyingine ya TFC kukwama kwenye njia ya kurukia.

 

11 years ago

Mwananchi

Utekaji wa ndege Ethiopia; hivi ndivyo ilivyokuwa

>Msaidizi wa rubani wa ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia, Halimedhin Abera, ndiye aliyebainika kuteka moja ya ndege za shirika hilo hivi karibuni.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yafunga kituo cha ndege Ethiopia

Marekani imefungia kituo cha ndege zisizo na rubani nchini Ethiopia ambacho imekuwa ikitumia kushambulia wanamgambo wa al-Shabab katika taifa jirani la Somalia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani