Ndege ya Ethiopia yanasuliwa topeni
HATIMAYE ndege kubwa aina ya Boeing 767 mali ya Shirika la Ndege la Ethiopia, iliyotua kwa dharura juzi, Uwanja wa Ndege wa Arusha ikiwa na abiria 213, imenasuliwa kutoka kwenye tope na kuwekwa kwenye lami.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Ndege ya Ethiopia iliyokwama yapelekwa KIA
>Marubani wa Shirika la Ethiopia ambayo ilishuka kwa dharura katika uwanja mdogo wa Ndege wa Arusha, jana wamefanikiwa kuiondoa ndege hiyo katika uwanja huo na kwenda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).
11 years ago
Habarileo19 Dec
Ndege ya Ethiopia yazua tafrani Arusha
NDEGE ya Shirika la Ndege la Ethiopia, imetua kwa dharura katika uwanja mdogo wa Arusha baada ya kushindwa kutua katika uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kutokana na ndege nyingine ya TFC kukwama kwenye njia ya kurukia.
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Marekani yafunga kituo cha ndege Ethiopia
Marekani imefungia kituo cha ndege zisizo na rubani nchini Ethiopia ambacho imekuwa ikitumia kushambulia wanamgambo wa al-Shabab katika taifa jirani la Somalia.
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Utekaji wa ndege Ethiopia; hivi ndivyo ilivyokuwa
>Msaidizi wa rubani wa ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia, Halimedhin Abera, ndiye aliyebainika kuteka moja ya ndege za shirika hilo hivi karibuni.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-H_HCrMAvjmA/XmUheFzpd4I/AAAAAAALh9w/rCg4GGV7p7sLnmX91gHUo8QOzWoPa1D3ACLcBGAsYHQ/s72-c/4bsg95b75e75671e8ns_800C450.jpg)
Ethiopia: Ubovu wa ndege ya Boeing ya US ndiyo sababu ya ajali ya 2019
![](https://1.bp.blogspot.com/-H_HCrMAvjmA/XmUheFzpd4I/AAAAAAALh9w/rCg4GGV7p7sLnmX91gHUo8QOzWoPa1D3ACLcBGAsYHQ/s640/4bsg95b75e75671e8ns_800C450.jpg)
Eric Weiss, msemaji wa Bodi ya Taifa ya Usalama wa Usafiri wa Marekani (NTSB) amethibitisha kuwa taasisi kadhaa za usafiri na usafiri wa anga za Marekani zimepokea rasimu ya ripoti hiyo ya muda, kabla ya ripoti ya mwisho kutolewa.
Hata hivyo taasisi hizo...
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Ajali ya ndege ya Ethiopia: Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza asimulia alichoshuhudia
Ripoti ya awali iliyotolewa na mamlaka nchini Ethiopia imelaumu waundaji wa ndege ya Boeing 737 Max
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-a0uxSEy4sqQ/VCbZdyDuBXI/AAAAAAAGmLg/Las4SuTqkqU/s72-c/230358_225460394137024_154914044524993_1064452_2862734_n.jpeg)
TANAPA, MAMLAKA YA NGORONGORO NA SHIRIKA LA NDEGE LA ETHIOPIA WADHAMINI WAKUU ‘SWAHILI INTERNATIOANL TOURISM EXPO’
![](http://1.bp.blogspot.com/-a0uxSEy4sqQ/VCbZdyDuBXI/AAAAAAAGmLg/Las4SuTqkqU/s1600/230358_225460394137024_154914044524993_1064452_2862734_n.jpeg)
Shirika la hifadhi la taifa (TANAPA) kwa kushirikiana na mamlaka ya hifadhi ya eneo la Ngorongoro pamoja na shirika la ndege la Ethiopia wamedhamini onesho la kimataifa ya utalii lijulikanalo kama ‘Swahili International Tourism Expo’ (S! TE).
Taasisi hizo tatu zinakuwa ndio wadhamini wakuu wa maonesho hayo ya kimataifa ya utalii ya kwanza Tanzania yanayoandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania kwa kushirikiana na kampuni ya Pure Grit Project and Exhibition...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania