Ethiopia: Ubovu wa ndege ya Boeing ya US ndiyo sababu ya ajali ya 2019
![](https://1.bp.blogspot.com/-H_HCrMAvjmA/XmUheFzpd4I/AAAAAAALh9w/rCg4GGV7p7sLnmX91gHUo8QOzWoPa1D3ACLcBGAsYHQ/s72-c/4bsg95b75e75671e8ns_800C450.jpg)
Rasimu ya ripoti ya muda ya wachunguzi wa Ethiopia imesema ajali mbaya ya ndege ya Boeing Max 737 iliyotokea tarehe 10 mwezi Machi mwaka jana 2019 na kuua watu 157 ilisababishwa na na matatizo ya kiufundi na ubovu wa ndege hiyo ya Kimarekani.
Eric Weiss, msemaji wa Bodi ya Taifa ya Usalama wa Usafiri wa Marekani (NTSB) amethibitisha kuwa taasisi kadhaa za usafiri na usafiri wa anga za Marekani zimepokea rasimu ya ripoti hiyo ya muda, kabla ya ripoti ya mwisho kutolewa.
Hata hivyo taasisi hizo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Ajali ya ndege ya Ethiopia: Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza asimulia alichoshuhudia
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
10 years ago
Vijimambo24 Dec
DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI, ACHAMBUA UBOVU WA WEMA, PENNY NA JOKATE
![](http://api.ning.com/files/BybgAqvu3OnnTpxUvjp2wQpPb9wrnW0FkthLue3yshTOidJli16V4T5N7Kf0h69qzGS4dpJLITqItRlnYOJCkca9i3FYLzYH/diamondzari.jpg?width=650)
10 years ago
Dewji Blog06 Apr
Mashirika ya ndege ya Boeing 747-8 sasa yaja na ‘jumba la kifahari’ angani
Sehemu ya ndani chumbani kama inavyoonekana.
Na Andrew Chale wa Modewji blog, kwa msaada wa Mashirika ya Habari.
Huenda bado ujasikia juu ya baadhi ya ndege ndogo, za kati na zile kubwa zimekuja na mfumo mpya zaidi ndani ya ndege zao ikiwemo kutengeneza chumba cha kifahari ndani ya ndege kiasi cha kujiona kama upo nyumbani kwako kwenye jumba la kifahari.
Ndege ya Gulfstream G650, miongoni tu waliokuja na mfumo huo kwenye ndege yao hiyo ya usafiri wa anga kifahari, lakini kuna wachache...
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
737 Max: Vifusi vyapatikana kwenye tangi la mafuta ya ndege ya Boeing 737
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4vSqhPTrovk/Vnf25LsgaRI/AAAAAAAINqo/F2xEGHdbYQI/s72-c/Etihad%2BAirways%2527%2BBoeing%2B787%2Bset%2Bto%2Bfly%2Bto%2Bfive%2Bfurther%2Bdestinations%2Bin%2B2016%2B%25281%2529.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LATANGAZA KUSAMBAZWA KWA BOEING 787S KWA SAFARI ZAKE MWAKA 2016
![](http://4.bp.blogspot.com/-4vSqhPTrovk/Vnf25LsgaRI/AAAAAAAINqo/F2xEGHdbYQI/s640/Etihad%2BAirways%2527%2BBoeing%2B787%2Bset%2Bto%2Bfly%2Bto%2Bfive%2Bfurther%2Bdestinations%2Bin%2B2016%2B%25281%2529.jpg)
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD latangaza kusambazwa kwa Boeing 787s kwa safari zake tofauti mwaka 2016
Shirika la ndege la Etihad, ndege rasmi ya taifa kwa Falme za kiarabu limetangza kuanzisha mipango ya kurusha ndege aina ya boeing 787s kwa safari za kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kwa mwa mwaka 2016.
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...
10 years ago
Mwananchi27 Nov
‘Hii ndiyo sababu ya kufunguliwa escrow’
11 years ago
BBCSwahili17 Feb