DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI, ACHAMBUA UBOVU WA WEMA, PENNY NA JOKATE
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na mwanamama anayekimbiza Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady.Mapenzi bhana! Baada ya kutoka kimalavu na kumwagana na mwanadada mwenye mvuto Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kisha kuangukia kwenye ‘utamu’ wa penzi la mwanamama anayekimbiza Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameamua kuanika siri tano za kilichomvutia kwa staa huyo gumzo Afrika Mashariki.Akizungumza katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3Oln00cuAGRCBFMhgHVn4qx4jFH7z6FVXUJSBe3neRc-oG6TU0*J8GzIQ6kgR2QntO5iwwNnRLYzBSJL8fEhFwpB/FRONT.jpg?width=650)
DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LtkxTnXYTeUq3v4iLorQH6Q*itGxT9FX2mLdHSQrRmgFXHYID4pjwQzSLC6-5BqhFEpfVaQUDoJHumixMvWsyxO/FRONT.jpg?width=650)
DIAMOND: WEMA, JOKATE, PENNY WALIGOMA KUNIZALIA
10 years ago
Bongo Movies18 Dec
DIAMOND:Wema, Jokate, Penny Hawakutaka Kuzaa Na Mimi
Akizungumza kwenye kipindi cha Live Chumba cha Habari kinachorushwa na Global TV online, Msanii wa muziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alieleza jinsi wapenzi wake wazamani ambao ni Mwigizaji Wema Sepetu, Jokate Mwegelo na matangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’.
Diamond alifunguka baada ya kuulizwa kwamba amekuwa akitangaza kupenda watoto lakini kwa nini hana hata wa dawa licha ya kuwa na uhusiano na wanawake tofoutitofauti.
Diamond: “Ni kweli napenda watoto lakini siwezi kupata mtoto...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
10 years ago
GPLLADY NAA AANIKA SIRI YA KUMPENDA ZARI
10 years ago
Michuzi22 Dec
10 years ago
Bongo Movies14 Jan
Baada ya kushindwa kuzaa na Wema na Penny. Hatimaye Diamond 'ampa' ujauzito Zari
Baada ya sokosoko kuu la kwanini?? muda wote huu kijana Nassib Abdul – Diamond Platnumz pamoja na list yake ndeeeefu ya mabinti wa bongomovies aliowahi kutembea nao hajawahi kuwa hata na mtoto wa kusingiziwa, HATIMAYE jana kupitia kwenye nyezo za kiteknolojia tumeweza kudokezwa juu ya ujauzito alionao mwanadada ZARI ambao ni fika utakuwa wa kijana huyu anayetamba na wimbo wa “Nitampata wapi” ambao wachunguziwa mambo wanadai ETi ni dedication kwa mpenzi wake maarufu wa zamani.
USHAHIDI WA...
10 years ago
Vijimambo28 Nov
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/057dS8YV7Hw/default.jpg)