SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LATANGAZA KUSAMBAZWA KWA BOEING 787S KWA SAFARI ZAKE MWAKA 2016
![](http://4.bp.blogspot.com/-4vSqhPTrovk/Vnf25LsgaRI/AAAAAAAINqo/F2xEGHdbYQI/s72-c/Etihad%2BAirways%2527%2BBoeing%2B787%2Bset%2Bto%2Bfly%2Bto%2Bfive%2Bfurther%2Bdestinations%2Bin%2B2016%2B%25281%2529.jpg)
SHIRIKA la ndege la Etihad, ndege rasmi ya taifa kwa Falme za kiarabu limetangza kuanzisha mipango ya kurusha ndege aina ya boeing 787s kwa safari za kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kwa mwa mwaka 2016.
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD latangaza kusambazwa kwa Boeing 787s kwa safari zake tofauti mwaka 2016
Shirika la ndege la Etihad, ndege rasmi ya taifa kwa Falme za kiarabu limetangza kuanzisha mipango ya kurusha ndege aina ya boeing 787s kwa safari za kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kwa mwa mwaka 2016.
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Etihad Kusambaza Boeing 787s kwa Safari Zake Tofauti Mwaka 2016â€
Shirika la ndege la Etihad, ndege rasmi ya taifa kwa Falme za kiarabu limetangza kuanzisha mipango ya kurusha ndege aina ya boeing 787s kwa safari za kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kwa mwa mwaka 2016.
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Shirika la ndege la Etihad Airways litaongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku ya mji wa Dar es Salaam
Shirika la ndege la Etihad Airways (http://www.etihad.com) ni shirika la ndege la kitaifa la Umoja wa Falme za Kiarabu, ambalo linatarajia kuongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku Mjini Dar es Salaam, mji mkubwa zaidi Tanzania.
Safari hizi za ndege kati ya Abu Dhabi na Dar es Salaam, zitaanza tarehe 1 mwezi Desemba 2015, zikiendeshwa kwa kutumia ndege ya Airbus A320 yenye viti 16 vya kitengo cha Biashara na 120 vya kitengo cha Uchumi.
Dar es Salaam itakuwa...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi
Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.
Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-B881EVmolDI/VnKdeGAROVI/AAAAAAAINFU/5aGS5TKhzA8/s72-c/Etihad%2BAirways%2B-%2BCognizant%2BAgreement%2BPhoto.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LAUNGANA NA COGNIZANT KUBORESHA HUDUMA KWA WAGENI WAKE DUNIANI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-B881EVmolDI/VnKdeGAROVI/AAAAAAAINFU/5aGS5TKhzA8/s640/Etihad%2BAirways%2B-%2BCognizant%2BAgreement%2BPhoto.jpg)
Chini ya mpango wao wa miaka mitatu wenye thamani ya mamilioni ya madola, Cognizant watawasaidia Etihad kufafanua mkakati wao wakidigitali na kutengeza dhana mpya ambayo itatumika katika...
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD lafungua kituo cha afya chenye hadhi ya kimataifa kwa ajili ya wafanyakazi wake Abu Dhabi
Ukataji wa Utepe mwekundu (Kutoka kushoto kwenda kulia): Naser Al Mazroei, Mkurugenzi mtendaji kitengo cha huduma kwa wateja katika mamlaka ya vitambulisho Emirates; Ray Gammell, Afisa mkuu wa Utendaji na Watu kutoka Shirika la ndege la Etihad; Dk Nadia Bastaki, Makamu rais huduma za matibabu; Dk Mariam Buti Al Mazrouei, Kaimu afisa mtendaji wa Ambulatory Healthcare Services; and Dk. Mubarak Al Darmaki, Kaimu afisa mkuu wa kliniki kutoka Ambulatory Healthcare Services.
Shirika la ndege la...
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Shirika la ndege la Etihad lachangisha Dirham Milioni moja kwa ajili ya “We Care Yemen†na shule mbili nchini Kenya
Dr Khawla Salem Al Saaedi, Mwakilishi wa Rais wa Shirika la Kimataifa la Umoja wa Wanawake na aAya, akiwazawadia timu kutoka Nepal kwa kushinda michuano ya kimataifa ya mavazi.
Kamati ya Michezo na Jamii wakiwa na baadhi ya wachezaji wa soka.
Kamati ya Michezo na Jamii wakiwa na baadhi ya washiriki wa michuano ya kimataifa ya mavazi.
Shirika la ndege likiwatunuku timu ya soka kutoka Serbia kama bingwa wa michuano ya kombe la dunia la mashirika ya ndege upande wa soka.
Abu Dhabi-based...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e73bEwjSCb0/XumxeSbwsTI/AAAAAAALuKg/zqdgUnPLNnkCThR4rQwsR-FI1yos_4LYACLcBGAsYHQ/s72-c/d7493b52-4158-4bd6-aec0-232cd95dcdfe.jpg)
TTB YAFURAHISHWA NA KUREJEA KWA SAFARI ZA SHIRIKA LA NDEGE LA QATAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-e73bEwjSCb0/XumxeSbwsTI/AAAAAAALuKg/zqdgUnPLNnkCThR4rQwsR-FI1yos_4LYACLcBGAsYHQ/s640/d7493b52-4158-4bd6-aec0-232cd95dcdfe.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/93d8694d-6df2-495f-8149-527e6cbec45f.jpg)
Mgeni akipimwa joto la mwili punde aliposhuka kutoka katika ndege
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/825c59ce-8255-4584-82b5-6f580c00321c.jpg)
Wageni wakisimama kwa kusingatia alama zinazowaongoza kusimama umbali wa mita moja zilizowekwa na uongozi wa JNIA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/7255c564-7f94-43e4-83eb-39b9ef6b20d7.jpg)
Mizigo yz wageni ikipuliziwa dawa kabla ya kuruhusiwa kuzunguka katika mashine ya kusambazia mizigo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a6709956-1036-4070-8fce-b2ecacdc384e.jpg)
Wageni wakisubiri mizigo yao kwa kufuata utaratibu wa kusimama umbali wa mita moja....