Shirika la ndege la Etihad Airways litaongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku ya mji wa Dar es Salaam
Shirika la ndege la Etihad Airways (http://www.etihad.com) ni shirika la ndege la kitaifa la Umoja wa Falme za Kiarabu, ambalo linatarajia kuongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku Mjini Dar es Salaam, mji mkubwa zaidi Tanzania.
Safari hizi za ndege kati ya Abu Dhabi na Dar es Salaam, zitaanza tarehe 1 mwezi Desemba 2015, zikiendeshwa kwa kutumia ndege ya Airbus A320 yenye viti 16 vya kitengo cha Biashara na 120 vya kitengo cha Uchumi.
Dar es Salaam itakuwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi
Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.
Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4vSqhPTrovk/Vnf25LsgaRI/AAAAAAAINqo/F2xEGHdbYQI/s72-c/Etihad%2BAirways%2527%2BBoeing%2B787%2Bset%2Bto%2Bfly%2Bto%2Bfive%2Bfurther%2Bdestinations%2Bin%2B2016%2B%25281%2529.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LATANGAZA KUSAMBAZWA KWA BOEING 787S KWA SAFARI ZAKE MWAKA 2016
![](http://4.bp.blogspot.com/-4vSqhPTrovk/Vnf25LsgaRI/AAAAAAAINqo/F2xEGHdbYQI/s640/Etihad%2BAirways%2527%2BBoeing%2B787%2Bset%2Bto%2Bfly%2Bto%2Bfive%2Bfurther%2Bdestinations%2Bin%2B2016%2B%25281%2529.jpg)
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD latangaza kusambazwa kwa Boeing 787s kwa safari zake tofauti mwaka 2016
Shirika la ndege la Etihad, ndege rasmi ya taifa kwa Falme za kiarabu limetangza kuanzisha mipango ya kurusha ndege aina ya boeing 787s kwa safari za kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kwa mwa mwaka 2016.
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s72-c/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE , UGANDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s1600/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZdsgMWkHiyc/VCMD8RTO-NI/AAAAAAAAYKI/P0aWT6KdhJU/s1600/JEAN-UKU%2C-COMMERCIAL-MANAGER-AKIONGEA-NA-ABIRIA-WANAOSUBIRI-KUELEKEA-ENTEBBE.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FiE0f8UZY8U/VCMD808rEiI/AAAAAAAAYKU/kNKrNwsTeTY/s1600/KUSHOTO-JEAN-UKU-COMMERCIAL-MANAGER-NA-KULIA-JIMMY-KIBATI-GENERAL-MANAGER-AKIZINDUA-SAFARI-YA-KWANZA-YA-ENTEBBE.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o2tXAXz53io/VCMD9r0faJI/AAAAAAAAYKc/wnwQfTrovbA/s1600/MOREEN-AKIMKARIBISHA-SANJAVAN-SCHALLWILYE.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qaEX0pWicro/VCMD9h7hNxI/AAAAAAAAYKg/vRFzPTw4n7Q/s1600/TEAM-NZIMA-YA-FASTJET-ILIYOFANIKISHA-SHEREHE-FUPI-YA-SAFARI-YA-KWANZA-KUELEKEA-ENTEBBE.jpg)
Ndege kati ya miji hii mikuu miwili zitaruka siku za...
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Shirika la ndege la Fastjet laanzisha safari mpya kati ya Dar es Salaam Tanzania na Entebbe, Uganda
Captain Sagar Chavda ambaye ndiye Muongozaji wa Ndege Kutoka Dar es salaam kuelekea Entebe.
Meneja wa biashara wa Shirika la Ndege la Fastjet, Jean Uku, akiongea na wateja wa Fastjet kabla ya kuzindua rasmi safari hiyo kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere jijini Dar.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet nchini, Jimy Kibati na Meneja wa biashara wa Fastjet, Jean Uku, wakizindua rasmi safari za kwenda Entebe kutokea Dar es salaam.
Mhudumu wa...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s1600/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg?width=650)
SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE, UGANDA
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Etihad Airways wazindua safari Dar
SHIRIKA la ndege kutoka Falme za Kiarabu (Etihad Airways), limezindua safari za kila siku kutoka Abu Dhabi hadi Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla ya uzinduzi...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Etihad Kusambaza Boeing 787s kwa Safari Zake Tofauti Mwaka 2016â€
Shirika la ndege la Etihad, ndege rasmi ya taifa kwa Falme za kiarabu limetangza kuanzisha mipango ya kurusha ndege aina ya boeing 787s kwa safari za kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kwa mwa mwaka 2016.
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...