SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE, UGANDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s1600/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg?width=650)
Captain Sagar Chavda ambaye ndiye Muongozaji wa Ndege Kutoka Dar es salaam kuelekea Entebe…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s72-c/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE , UGANDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s1600/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZdsgMWkHiyc/VCMD8RTO-NI/AAAAAAAAYKI/P0aWT6KdhJU/s1600/JEAN-UKU%2C-COMMERCIAL-MANAGER-AKIONGEA-NA-ABIRIA-WANAOSUBIRI-KUELEKEA-ENTEBBE.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FiE0f8UZY8U/VCMD808rEiI/AAAAAAAAYKU/kNKrNwsTeTY/s1600/KUSHOTO-JEAN-UKU-COMMERCIAL-MANAGER-NA-KULIA-JIMMY-KIBATI-GENERAL-MANAGER-AKIZINDUA-SAFARI-YA-KWANZA-YA-ENTEBBE.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o2tXAXz53io/VCMD9r0faJI/AAAAAAAAYKc/wnwQfTrovbA/s1600/MOREEN-AKIMKARIBISHA-SANJAVAN-SCHALLWILYE.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qaEX0pWicro/VCMD9h7hNxI/AAAAAAAAYKg/vRFzPTw4n7Q/s1600/TEAM-NZIMA-YA-FASTJET-ILIYOFANIKISHA-SHEREHE-FUPI-YA-SAFARI-YA-KWANZA-KUELEKEA-ENTEBBE.jpg)
Ndege kati ya miji hii mikuu miwili zitaruka siku za...
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Shirika la ndege la Fastjet laanzisha safari mpya kati ya Dar es Salaam Tanzania na Entebbe, Uganda
Captain Sagar Chavda ambaye ndiye Muongozaji wa Ndege Kutoka Dar es salaam kuelekea Entebe.
Meneja wa biashara wa Shirika la Ndege la Fastjet, Jean Uku, akiongea na wateja wa Fastjet kabla ya kuzindua rasmi safari hiyo kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere jijini Dar.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet nchini, Jimy Kibati na Meneja wa biashara wa Fastjet, Jean Uku, wakizindua rasmi safari za kwenda Entebe kutokea Dar es salaam.
Mhudumu wa...
10 years ago
Dewji Blog01 Apr
Shirika la Ndege la FASTJET lazindua safari mpya kutoka Kilimanjaro — Mwanza na Kilimanjaro — Entebe Uganda
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akiongea na wandishi wa habari Mkoani Arusha leo wakati wa uzinduzi wa safari mpya ya ndege ya Fastjet kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda, pembeni yake kulia ni Lucy Mbogoro Afisa Mahusiano na Masoko na kushoto ni Neema David Afisa Biashara wote toka shirika hilo.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habari toka Tbc Sechelela...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi
Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.
Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Shirika la ndege la Etihad Airways litaongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku ya mji wa Dar es Salaam
Shirika la ndege la Etihad Airways (http://www.etihad.com) ni shirika la ndege la kitaifa la Umoja wa Falme za Kiarabu, ambalo linatarajia kuongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku Mjini Dar es Salaam, mji mkubwa zaidi Tanzania.
Safari hizi za ndege kati ya Abu Dhabi na Dar es Salaam, zitaanza tarehe 1 mwezi Desemba 2015, zikiendeshwa kwa kutumia ndege ya Airbus A320 yenye viti 16 vya kitengo cha Biashara na 120 vya kitengo cha Uchumi.
Dar es Salaam itakuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XZPrXuW9WoU/VTOcafOpCyI/AAAAAAAHR-Y/_6go0kvWQNk/s72-c/Picture%2B1.jpg)
Fastjet yazindua safari mpya kati ya Kilimanjaro na Entebbe, Uganda
![](http://2.bp.blogspot.com/-XZPrXuW9WoU/VTOcafOpCyI/AAAAAAAHR-Y/_6go0kvWQNk/s1600/Picture%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bShOdSmtZqc/VTOccJhNNiI/AAAAAAAHR-k/z_BEqYLxg1o/s1600/Picture%2B3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Fastjet yazindua safari mpya kati ya Kilimanjaro na Entebbe
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (Kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita. Kushoto ni Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Lawrence Masha.
Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Lawrence Masha (Kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro,...
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Fastjet kuzindua safari kati ya Tanzania na Kenya
*Shirika la ndege la bei nafuu lapanua wigo wa safari zake barani Afrika na kufungua safari ya kimataifa ya moja kwa moja kutoka Nairobi kwenda Dar es Salaam na Kilimanjaro.
fastjet imetangaza safari yake mpya ya kimataifa ya kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi, Kenya kuwa itaanza rasmi mnamo tarehe 11 Januari 2016.
Fastjet imepewa ruhusa na serikali ya Kenya kufanya safari zake nchini humo kufuatia makubaliano ya pamoja na mashirika yanayotoa huduma za usafiri wa anga kati ya nchi hizi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YW11Xad6mLU/VoyPZFRrPoI/AAAAAAAAX3E/giECsUUh4fk/s72-c/fastjet-flights.jpg)
Fastjet kuzindua safari kati ya Tanzania na Kenya mwezi huu
![](http://1.bp.blogspot.com/-YW11Xad6mLU/VoyPZFRrPoI/AAAAAAAAX3E/giECsUUh4fk/s640/fastjet-flights.jpg)
Kampuni ya Fastjet imetangaza safari yake mpya ya kimataifa ya kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi, Kenya kuwa itaanza rasmi mnamo tarehe 11 Januari 2016.Fastjet imepewa ruhusa na serikali ya Kenya kufanya safari zake nchini humo kufuatia makubaliano ya pamoja na mashirika yanayotoa huduma za usafiri wa anga kati ya nchi...