Fastjet kuzindua safari kati ya Tanzania na Kenya mwezi huu
![](http://1.bp.blogspot.com/-YW11Xad6mLU/VoyPZFRrPoI/AAAAAAAAX3E/giECsUUh4fk/s72-c/fastjet-flights.jpg)
Shirika la ndege la bei nafuu lapanua wigo wa safari zake barani Afrika na kufungua safari ya kimataifa ya moja kwa moja kutoka Nairobi kwenda Dar es Salaam na Kilimanjaro.
Kampuni ya Fastjet imetangaza safari yake mpya ya kimataifa ya kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi, Kenya kuwa itaanza rasmi mnamo tarehe 11 Januari 2016.Fastjet imepewa ruhusa na serikali ya Kenya kufanya safari zake nchini humo kufuatia makubaliano ya pamoja na mashirika yanayotoa huduma za usafiri wa anga kati ya nchi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Fastjet kuzindua safari kati ya Tanzania na Kenya
*Shirika la ndege la bei nafuu lapanua wigo wa safari zake barani Afrika na kufungua safari ya kimataifa ya moja kwa moja kutoka Nairobi kwenda Dar es Salaam na Kilimanjaro.
fastjet imetangaza safari yake mpya ya kimataifa ya kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi, Kenya kuwa itaanza rasmi mnamo tarehe 11 Januari 2016.
Fastjet imepewa ruhusa na serikali ya Kenya kufanya safari zake nchini humo kufuatia makubaliano ya pamoja na mashirika yanayotoa huduma za usafiri wa anga kati ya nchi hizi...
10 years ago
Michuzi23 Jul
FASTJET KUZINDUA SAFARI YA LILONGWE-MALAWI JULAI 27 MWAKA HUU
![DSC_0263](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0263.jpg)
Kwa mujibu wa Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet, Lucy...
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Shirika la ndege la Fastjet laanzisha safari mpya kati ya Dar es Salaam Tanzania na Entebbe, Uganda
Captain Sagar Chavda ambaye ndiye Muongozaji wa Ndege Kutoka Dar es salaam kuelekea Entebe.
Meneja wa biashara wa Shirika la Ndege la Fastjet, Jean Uku, akiongea na wateja wa Fastjet kabla ya kuzindua rasmi safari hiyo kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere jijini Dar.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet nchini, Jimy Kibati na Meneja wa biashara wa Fastjet, Jean Uku, wakizindua rasmi safari za kwenda Entebe kutokea Dar es salaam.
Mhudumu wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s72-c/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE , UGANDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s1600/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZdsgMWkHiyc/VCMD8RTO-NI/AAAAAAAAYKI/P0aWT6KdhJU/s1600/JEAN-UKU%2C-COMMERCIAL-MANAGER-AKIONGEA-NA-ABIRIA-WANAOSUBIRI-KUELEKEA-ENTEBBE.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FiE0f8UZY8U/VCMD808rEiI/AAAAAAAAYKU/kNKrNwsTeTY/s1600/KUSHOTO-JEAN-UKU-COMMERCIAL-MANAGER-NA-KULIA-JIMMY-KIBATI-GENERAL-MANAGER-AKIZINDUA-SAFARI-YA-KWANZA-YA-ENTEBBE.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o2tXAXz53io/VCMD9r0faJI/AAAAAAAAYKc/wnwQfTrovbA/s1600/MOREEN-AKIMKARIBISHA-SANJAVAN-SCHALLWILYE.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qaEX0pWicro/VCMD9h7hNxI/AAAAAAAAYKg/vRFzPTw4n7Q/s1600/TEAM-NZIMA-YA-FASTJET-ILIYOFANIKISHA-SHEREHE-FUPI-YA-SAFARI-YA-KWANZA-KUELEKEA-ENTEBBE.jpg)
Ndege kati ya miji hii mikuu miwili zitaruka siku za...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s1600/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg?width=650)
SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE, UGANDA
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Fastjet yazindua safari mpya kati ya Kilimanjaro na Entebbe
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (Kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita. Kushoto ni Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Lawrence Masha.
Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Lawrence Masha (Kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XZPrXuW9WoU/VTOcafOpCyI/AAAAAAAHR-Y/_6go0kvWQNk/s72-c/Picture%2B1.jpg)
Fastjet yazindua safari mpya kati ya Kilimanjaro na Entebbe, Uganda
![](http://2.bp.blogspot.com/-XZPrXuW9WoU/VTOcafOpCyI/AAAAAAAHR-Y/_6go0kvWQNk/s1600/Picture%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bShOdSmtZqc/VTOccJhNNiI/AAAAAAAHR-k/z_BEqYLxg1o/s1600/Picture%2B3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Fastjet waja na ‘route ya 5’ kuanza safari ya Malawi, Julai 27 mwaka huu
Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet Tanzania, Lucy Mbogoro (kulia) akifafanua jambo kwa wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wandishi wa habari akielezea kampuni hiyo ilivyoweza kusaidia sanaa kwa Tanzania na Afrika. Kushoto kwake ni CEO wa ZIFF, Prof. Martin Mhando.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Shirika la ndege la Fastjet limeendelea kupanua wigo wake kwa kuanzisha ‘rout’ zaidi za safari zake ikiwa ni kuunganisha Afrika kuwa moja.
Kwa mujibu wa Afisa Mahusiano na...
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Fastjet waja na ‘rout ya 5’!! kuanza safari ya Malawi, Julai 27 mwaka huu
Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro (kulia) akifafanua jambo kwa wandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wandishi wa habari akielezea kampuni hiyo ilivyoweza kusaidia sanaa kwa Tanzania na Afrika. Kushoto kwake ni CEO wa ZIFF, Prof. Martin Mhando.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Shirika la ndege la Fastjet limeendelea kupanua wigo wake kwa kuanzisha ‘rout’ zaidi za safari zake ikiwa ni kuunganisha Afrika kuwa moja.
Kwa mujibu wa Afisa Mahusiano na Masoko wa...