Fastjet waja na ‘route ya 5’ kuanza safari ya Malawi, Julai 27 mwaka huu
Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet Tanzania, Lucy Mbogoro (kulia) akifafanua jambo kwa wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wandishi wa habari akielezea kampuni hiyo ilivyoweza kusaidia sanaa kwa Tanzania na Afrika. Kushoto kwake ni CEO wa ZIFF, Prof. Martin Mhando.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Shirika la ndege la Fastjet limeendelea kupanua wigo wake kwa kuanzisha ‘rout’ zaidi za safari zake ikiwa ni kuunganisha Afrika kuwa moja.
Kwa mujibu wa Afisa Mahusiano na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Fastjet waja na ‘rout ya 5’!! kuanza safari ya Malawi, Julai 27 mwaka huu
Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro (kulia) akifafanua jambo kwa wandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wandishi wa habari akielezea kampuni hiyo ilivyoweza kusaidia sanaa kwa Tanzania na Afrika. Kushoto kwake ni CEO wa ZIFF, Prof. Martin Mhando.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Shirika la ndege la Fastjet limeendelea kupanua wigo wake kwa kuanzisha ‘rout’ zaidi za safari zake ikiwa ni kuunganisha Afrika kuwa moja.
Kwa mujibu wa Afisa Mahusiano na Masoko wa...
10 years ago
Michuzi23 Jul
FASTJET KUZINDUA SAFARI YA LILONGWE-MALAWI JULAI 27 MWAKA HUU
![DSC_0263](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0263.jpg)
Kwa mujibu wa Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet, Lucy...
10 years ago
Dewji Blog27 Jul
Fastjet kuanza ‘route ya 5’ leo ni ya Dar- Lilongwe (Malawi)
Meneja Mkuu wa shirika la Ndege la Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati akifafanua jambo kwa waandishi (hawapo pichani) wakati wa mkutano maalum na wanahabari akielezea namna fastjet inavyotanua safari zake katika nchi za Afrika, mkutano uliofanyika hivi karibuni Unguja-Zanzibar wakati wa tamasha la 18, la filamu za nchi za majahazi maarufu ZIFF, ambapo fastjet pia ni wadhamini kwa miaka miwili mfululizo (Picha na Andrew Chale wa modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Dar Es Salaam)...
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
fastjet announces new route linking Tanzania and Malawi
Low-cost airline expands its pan-African network with a new, direct international route between commercial centres of Dar es Salaam and Lilongwe
fastjet Tanzania has announced that its newest and fifth international route will commence on 27th July 2015 between Dar es Salaam, Tanzania and Lilongwe, Malawi.
Services between Dar es Salaam’s Julius Nyerere International Airport and Malawi’s Lilongwe International Airport will initially operate twice a week on Mondays and Fridays, using...
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
TANROADS Singida yatumia zaidi ya sh 5.1 B kutengeneza barabara zake Julai mwaka jana na februari mwaka huu
Mkuu wa mkoa wa Singida na mwenyekiti wa bodi ya barabara, Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua kikao cha bodi ya barabara cha 36 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa VETA mjini Singida. Kulia (aliyekaa) ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan.
Meneja wa wakala wa barabara mkoa wa Singida (TANROADS), Mhandisi Yustaki Kangole, akitoa ufafanuzi juu ya sheria zinazotawala akiba/hifadhi ya barabara kwenye kikao cha 36 cha bodi ya barabara mkoa wa Singida.
Mbunge wa jimbo la...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YW11Xad6mLU/VoyPZFRrPoI/AAAAAAAAX3E/giECsUUh4fk/s72-c/fastjet-flights.jpg)
Fastjet kuzindua safari kati ya Tanzania na Kenya mwezi huu
![](http://1.bp.blogspot.com/-YW11Xad6mLU/VoyPZFRrPoI/AAAAAAAAX3E/giECsUUh4fk/s640/fastjet-flights.jpg)
Kampuni ya Fastjet imetangaza safari yake mpya ya kimataifa ya kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi, Kenya kuwa itaanza rasmi mnamo tarehe 11 Januari 2016.Fastjet imepewa ruhusa na serikali ya Kenya kufanya safari zake nchini humo kufuatia makubaliano ya pamoja na mashirika yanayotoa huduma za usafiri wa anga kati ya nchi...
10 years ago
Mtanzania20 Mar
Silaha bandia za watoto marufuku Julai mwaka huu
Na Fredy Azzah, Dodoma
IFIKAPO Julai Mosi mwaka huu endapo mwanao atabainika kuwa na silaha bandia (mwanasesere) atakuwa amefanya kosa la jinai, kwa vile Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi umepiga marufuku uingizwaji na matumizi yake nchini.
Muswada huo uliopitishwa na Bunge jana utaanza kutumika Julai mwaka huu, pamoja na mambo mengine, unalenga kuziba mianya ya kuingiza silaha bandia nchini.
Mbali na hilo, Muswada huo unasema mtu akibainika kuwa ni mlevi...
10 years ago
MichuziMASHINDANO YA KILIMANJARO AMBASSADOR KUFANYIKA JULAI 24 MWAKA HUU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xiGmw0ueoCY/XvTSvlMdADI/AAAAAAALveg/F5OUjq0Qd9cyZnCBU1sFjUmG_6dTBdhpgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B7.32.18%2BPM.jpeg)
KANYIGO KUPATIWA MAJISAFI NA SALAMA KUFIKIA JULAI MWAKA HUU .
Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.
Serikali kupitia Wizara ya Maji Nchini ipo mbioni kupeleka huduma ya Majisafi katika Vijiji vinne Katani Kanyigo Wilayani Missenyi, Mkoani Kagera ifikapo Julai Mwaka huu.
Hayo yamebainika katika Ziara iliyofanywa na Mkuu wa Wilaya Missenyi wakati akitembelea na kukagua ujenzi wa mradi wa maji safi Kata Kanyigo unaohusisha Vijiji vya Kikukwe, Bugombe, Kigarama na Bweyunge, unaotarajiwa kuhudumia Kaya 2,986 sawa na wakazi 10,986 wenye zaidi ya Shilingi Milioni...