Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANROADS Singida yatumia zaidi ya sh 5.1 B kutengeneza barabara zake Julai mwaka jana na februari mwaka huu

DSC07622

Mkuu wa mkoa wa Singida na mwenyekiti wa bodi ya barabara, Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua kikao cha bodi ya barabara cha 36 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa VETA mjini Singida. Kulia (aliyekaa) ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan.

DSC07610

Meneja wa wakala wa barabara mkoa wa Singida (TANROADS), Mhandisi Yustaki Kangole, akitoa ufafanuzi juu ya sheria zinazotawala akiba/hifadhi  ya barabara kwenye kikao cha 36 cha bodi ya barabara mkoa wa Singida.

DSC07617

Mbunge wa jimbo la...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

TANROADS Singida yatumia Shilingi bil 1.2 /- kutengeneza barabara

DSC02592

Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Eng.Leonard Kapongo,akitoa ufafanuzi juu ya matengenezo ya barabara za ngazi ya mkoa,kwenye kikao cha 37 cha bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKALA  wa barabara TANROADS Mkoa wa Sigida imetumia zaidi ya shilingi 1.2 bilioni  kugharamia matengenezo ya kawaida kwa barabara kuu yenye urefu wa kilometa 589.2 kati ya Aprili na Juni mwaka huu.

Hayo  yamesemwa na...

 

11 years ago

GPL

UCHAGUZI MKUU TASWA KUFANYIKA FEBRUARI 16 MWAKA HUU

Katibu Mkuu wa Taswa, Amir Mhando. UCHAGUZI Mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), utafanyika Februari 16 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Uamuzi huo ulifikiwa na kikao cha Kamati ya Utendaji ya TASWA  kilichofanyika Dar es Salaam jana kujadili masuala mbalimbali ya chama na waandishi wa habari za michezo kwa ujumla. Kikao kilikubaliana kuwa uchaguzi ufanyike kwa katiba ya zamani, kwani mchakato wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wiki ya ulinzi na usalama wa mtoto februari 9 — 15 mwaka huu

3

Baadhi ya watoto wanaoishi katika mazingira hatarisha.

PRESS RELEASE WIKI YA ULINZI NA USALAMA WA MTOTO.pdf by moblog

 

10 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA KILIMANJARO AMBASSADOR KUFANYIKA JULAI 24 MWAKA HUU

 Baadhi ya warembo watakawo wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika Julai 24 katika ukumbi wa Kili Home Resort mkoa wa Moshi wakiwakipewa maelekezezo na mwalimu  Omary Bokilo leo katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam. Baadhi ya warembo watakawo wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika Julai 24 katika ukumbi wa Kili Home Resort mkoa wa Moshi wakiwa katika picha ya pamoja leo katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam. Katibu mtendaji wa Rick Plan...

 

10 years ago

Mtanzania

Silaha bandia za watoto marufuku Julai mwaka huu

Na Fredy Azzah, Dodoma
IFIKAPO Julai Mosi mwaka huu endapo mwanao atabainika kuwa na silaha bandia (mwanasesere) atakuwa amefanya kosa la jinai, kwa vile Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi umepiga marufuku uingizwaji na matumizi yake nchini.
Muswada huo uliopitishwa na Bunge jana utaanza kutumika Julai mwaka huu, pamoja na mambo mengine, unalenga kuziba mianya ya kuingiza silaha bandia nchini.
Mbali na hilo, Muswada huo unasema mtu akibainika kuwa ni mlevi...

 

5 years ago

Michuzi

KANYIGO KUPATIWA MAJISAFI NA SALAMA KUFIKIA JULAI MWAKA HUU .


Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.

Serikali kupitia Wizara ya Maji Nchini ipo mbioni kupeleka huduma ya Majisafi katika Vijiji vinne   Katani Kanyigo Wilayani Missenyi, Mkoani Kagera ifikapo Julai Mwaka  huu.

Hayo yamebainika katika Ziara iliyofanywa na Mkuu wa Wilaya Missenyi  wakati akitembelea na kukagua ujenzi wa mradi wa maji safi Kata Kanyigo unaohusisha Vijiji vya Kikukwe, Bugombe, Kigarama na Bweyunge, unaotarajiwa kuhudumia Kaya 2,986 sawa na wakazi 10,986 wenye zaidi ya Shilingi Milioni...

 

10 years ago

Michuzi

FASTJET KUZINDUA SAFARI YA LILONGWE-MALAWI JULAI 27 MWAKA HUU

DSC_0263Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro (kulia) akifafanua jambo kwa wandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wandishi wa habari akielezea kampuni hiyo ilivyoweza kusaidia sanaa kwa Tanzania na Afrika. Kushoto kwake ni CEO wa ZIFF, Prof. Martin Mhando.Na Andrew Chale.Shirika la ndege la Fastjet limeendelea kupanua wigo wake kwa kuanzisha ‘rout’ zaidi za safari zake ikiwa ni kuunganisha Afrika kuwa moja.
Kwa mujibu wa Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet, Lucy...

 

10 years ago

Dewji Blog

Fastjet waja na ‘rout ya 5’!! kuanza safari ya Malawi, Julai 27 mwaka huu

DSC_0263Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro (kulia) akifafanua jambo kwa wandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wandishi wa habari akielezea kampuni hiyo ilivyoweza kusaidia sanaa kwa Tanzania na Afrika. Kushoto kwake ni CEO wa ZIFF, Prof. Martin Mhando. 

Na Andrew Chale, modewjiblog

Shirika la ndege la Fastjet  limeendelea kupanua wigo wake kwa kuanzisha ‘rout’   zaidi za safari zake ikiwa ni kuunganisha Afrika kuwa moja.

Kwa mujibu wa Afisa Mahusiano na Masoko wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Fastjet waja na ‘route ya 5’ kuanza safari ya Malawi, Julai 27 mwaka huu

DSC_0263

Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet Tanzania, Lucy Mbogoro (kulia) akifafanua jambo kwa wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wandishi wa habari akielezea kampuni hiyo ilivyoweza kusaidia sanaa kwa Tanzania na Afrika. Kushoto kwake ni CEO wa ZIFF, Prof. Martin Mhando. 

Na Andrew Chale, modewjiblog

Shirika la ndege la Fastjet  limeendelea kupanua wigo wake kwa kuanzisha ‘rout’   zaidi za safari zake ikiwa ni kuunganisha Afrika kuwa moja.

Kwa mujibu wa Afisa Mahusiano na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani