Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shirika la ndege la ETIHAD lafungua kituo cha afya chenye hadhi ya kimataifa kwa ajili ya wafanyakazi wake Abu Dhabi

Etihad Airways - New World-Class Facility for Employees Photo

Ukataji wa Utepe mwekundu (Kutoka kushoto kwenda kulia): Naser Al Mazroei, Mkurugenzi mtendaji kitengo cha huduma kwa wateja katika mamlaka ya vitambulisho Emirates; Ray Gammell, Afisa mkuu wa Utendaji na Watu kutoka Shirika la ndege la Etihad; Dk Nadia Bastaki, Makamu rais huduma za matibabu; Dk Mariam Buti Al Mazrouei, Kaimu afisa mtendaji wa Ambulatory Healthcare Services; and Dk. Mubarak Al Darmaki, Kaimu afisa mkuu wa kliniki kutoka Ambulatory Healthcare Services.

Shirika la ndege la...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LAFUNGUA KITUO CHA AFYA CHENYE HADHI YA KIMATAIFA KWAAJILI YA WAFANYAKAZI WAKE ABUDHABI

Ukataji wa Utepe mwekundu (Kutoka kushoto kwenda kulia): Naser Al Mazroei, Mkurugenzi mtendaji kitengo cha huduma kwa wateja katika mamlaka ya vitambulisho Emirates; Ray Gammell, Afisa mkuu wa Utendaji na Watu kutoka Shirika la ndege la Etihad; Dk Nadia Bastaki, Makamu rais huduma za matibabu; Dk Mariam Buti Al Mazrouei, Kaimu afisa mtendaji wa Ambulatory Healthcare Services; and Dk. Mubarak Al Darmaki, Kaimu afisa mkuu wa kliniki kutoka Ambulatory Healthcare Services.
SSHIRIKA la ndege la...

 

9 years ago

Global Publishers

Etihad yafungua Kituo cha Afya Hadhi ya Kimataifa kwa Wafanyakazi Wake Abu Dhabi

Etihad Airways - New World-Class Facility for Employees PhotoUkataji wa Utepe mwekundu (Kutoka kushoto kwenda kulia): Naser Al Mazroei, Mkurugenzi mtendaji kitengo cha huduma kwa wateja katika mamlaka ya vitambulisho Emirates; Ray Gammell, Afisa mkuu wa Utendaji na Watu kutoka Shirika la ndege la Etihad; Dk Nadia Bastaki, Makamu rais huduma za matibabu; Dk Mariam Buti Al Mazrouei, Kaimu afisa mtendaji wa Ambulatory Healthcare Services; and Dk. Mubarak Al Darmaki, Kaimu afisa mkuu wa kliniki kutoka Ambulatory Healthcare Services.

Shirika la ndege la...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka, akiteta jambo na Balozi wa Nchi za Falme za Kiarabu(United Arab Emirate) nchini Tanzania, Balozi Abdullah Ibrahim Al Suwaidi, kabla ya Uzinduzi wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana. Magari ya Zimamoto yakimwaga maji kuashiria uzinduzi na ukaribisho wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Mwl. Julius Nyerere...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi

CAMPIX PRODUCTION

Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.

UAE Ambassador to Tanzania Abdullah Ibrahim Al Suwaidi (R) welcomes Etihad Airways’ Senior Vice President - Global Sales, Daniel Barranger (L) upon the arrival of Etihad Airways’ inaugural flight to Tanzania at Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam on Tuesday December 1, 2015. PHOTO | FARAJA JUBE

Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...

 

9 years ago

TheCitizen

Etihad launches direct Abu Dhabi-Dar flights

The flag carrier and the second-largest airline of the United Arab Emirates (UAE), Etihad, yesterday introduced direct flights between Dar es Salaam and Abu Dhabi as it seeks to capitalise on the growing business ties between UAE and East Africa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la Etihad lachangisha Dirham Milioni moja kwa ajili ya “We Care Yemen” na shule mbili nchini Kenya

4 Nepal Team

 Dr Khawla Salem Al Saaedi, Mwakilishi wa Rais wa Shirika la Kimataifa la Umoja wa Wanawake na aAya, akiwazawadia timu kutoka Nepal kwa kushinda michuano ya kimataifa ya mavazi.

6 football teams

Kamati ya Michezo na Jamii wakiwa na baadhi ya wachezaji wa soka.

5 Costume team

Kamati ya Michezo na Jamii wakiwa na baadhi ya washiriki wa michuano ya kimataifa ya mavazi.

1 Soccer team

Shirika la ndege likiwatunuku timu ya soka kutoka Serbia kama bingwa wa michuano ya kombe la dunia la mashirika ya ndege  upande wa soka.

7 Fusion Art Ballet

Abu Dhabi-based...

 

9 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LAUNGANA NA COGNIZANT KUBORESHA HUDUMA KWA WAGENI WAKE DUNIANI.

SHIRIKA la ndege la Etihad, ndege rasmi ya taifa za Falme za kiarabu na Cognizant (NSADAQ: CTSH), shirika linaloongoza kwa huduma za teknolojia ya habari, ushauri na biashara, leo wametangaza makubaliano ya kimkakati yatakayoendesha mabadiliko ya kidijitali pande zote za shirika hilo pamoja na washirika wake.
Chini ya mpango wao wa miaka mitatu wenye thamani ya mamilioni ya madola, Cognizant watawasaidia Etihad kufafanua mkakati wao wakidigitali na kutengeza dhana mpya ambayo itatumika katika...

 

9 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LAPOKEA TUZO YA KIMATAIFA BAADA YA KUJIUNGA NA MPANGO WA KUPATA FEDHA.



MAKATABA wenya thamani ya dola za kimarekani milioni $700m uliosainiwa na washirika wa ndege ya Etihad kwa ajili ya upanuzi wa shirika hilo umetambuliwa na shirika lenye sifa duniani katika nyanja ya masuala ya kifedha na uchumi la “International Financing Review (IFR)” na hivyo kuitunuku shirika la ndege la Etihad na tuzo maalum. 
Mkataba huo wa miaka mitano ulitambulika kama dhamana kubwa kabisa ya mwaka iliyosainiwa kutoka barana ulaya, mashariki ya kati na Afrika, katika hafla...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la ETIHAD lapokea tuzo ya kimataifa baada ya kujiunga na mpango wa kupata mikopo ya kifedha

Etihad_Airways_-_Airbus_A380-861

Mkataba wenya thamani ya dola za kimarekani milioni $700m uliosainiwa na washirika wa ndege ya Etihad kwa ajili ya upanuzi wa shirika hilo umetambuliwa na shirika lenye sifa duniani katika nyanja ya masuala ya kifedha na uchumi la “International Financing Review (IFR)” na hivyo kuitunuku shirika la ndege la Etihad na tuzo maalum. 

Mkataba huo wa miaka mitano ulitambulika kama dhamana kubwa kabisa ya mwaka iliyosainiwa kutoka barana ulaya, mashariki ya kati na Afrika, katika hafla...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani