Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Etihad launches direct Abu Dhabi-Dar flights

The flag carrier and the second-largest airline of the United Arab Emirates (UAE), Etihad, yesterday introduced direct flights between Dar es Salaam and Abu Dhabi as it seeks to capitalise on the growing business ties between UAE and East Africa.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi

CAMPIX PRODUCTION

Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.

UAE Ambassador to Tanzania Abdullah Ibrahim Al Suwaidi (R) welcomes Etihad Airways’ Senior Vice President - Global Sales, Daniel Barranger (L) upon the arrival of Etihad Airways’ inaugural flight to Tanzania at Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam on Tuesday December 1, 2015. PHOTO | FARAJA JUBE

Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...

 

9 years ago

Global Publishers

Etihad yafungua Kituo cha Afya Hadhi ya Kimataifa kwa Wafanyakazi Wake Abu Dhabi

Etihad Airways - New World-Class Facility for Employees PhotoUkataji wa Utepe mwekundu (Kutoka kushoto kwenda kulia): Naser Al Mazroei, Mkurugenzi mtendaji kitengo cha huduma kwa wateja katika mamlaka ya vitambulisho Emirates; Ray Gammell, Afisa mkuu wa Utendaji na Watu kutoka Shirika la ndege la Etihad; Dk Nadia Bastaki, Makamu rais huduma za matibabu; Dk Mariam Buti Al Mazrouei, Kaimu afisa mtendaji wa Ambulatory Healthcare Services; and Dk. Mubarak Al Darmaki, Kaimu afisa mkuu wa kliniki kutoka Ambulatory Healthcare Services.

Shirika la ndege la...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la ETIHAD lafungua kituo cha afya chenye hadhi ya kimataifa kwa ajili ya wafanyakazi wake Abu Dhabi

Etihad Airways - New World-Class Facility for Employees Photo

Ukataji wa Utepe mwekundu (Kutoka kushoto kwenda kulia): Naser Al Mazroei, Mkurugenzi mtendaji kitengo cha huduma kwa wateja katika mamlaka ya vitambulisho Emirates; Ray Gammell, Afisa mkuu wa Utendaji na Watu kutoka Shirika la ndege la Etihad; Dk Nadia Bastaki, Makamu rais huduma za matibabu; Dk Mariam Buti Al Mazrouei, Kaimu afisa mtendaji wa Ambulatory Healthcare Services; and Dk. Mubarak Al Darmaki, Kaimu afisa mkuu wa kliniki kutoka Ambulatory Healthcare Services.

Shirika la ndege la...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka, akiteta jambo na Balozi wa Nchi za Falme za Kiarabu(United Arab Emirate) nchini Tanzania, Balozi Abdullah Ibrahim Al Suwaidi, kabla ya Uzinduzi wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana. Magari ya Zimamoto yakimwaga maji kuashiria uzinduzi na ukaribisho wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Mwl. Julius Nyerere...

 

10 years ago

TheCitizen

Etihad Airways to launch Dar flights

>Etihad Airways, the national airline of the United Arab Emirates (UAE), will expand its African route network with the launch of a daily service to Dar es Salaam, the largest city in Tanzania.

 

11 years ago

TheCitizen

Dar-Tel Aviv direct flights coming

A local tourism firm and an Israel-based travel firm have signed an air aviation agreement which provides for the kick-starting direct flights between Kilimanjaro and Tel Aviv.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uwanja wa R Madrid kuitwa Abu Dhabi

Uwanja wa Real Madrid wa Santiago Bernabeu huenda ukabilidishwa jina ikiwa ni makubaliano ya ufadhili wa yuro millioni 500.

 

10 years ago

BBCSwahili

Lewis Hamilton atang'ara Abu Dhabi

Nguli wa mbio za magari Nigel Mansell amesema Lewis Hamilton anayo nafasi ya kufanya vyema Abu Dhabi Novemba 23.

 

10 years ago

Vijimambo

Minister Wasira at GFIA 2015 - Abu Dhabi

Minister Wasira exchanging ideas with his counterpart, the Minister of Agriculture and Rural development during the opening of the Forum for Global Innovation in Agriculture (GFIA), that is ongoing in Abu Dhabi. 
GFIA is held under the patronage of HH Sheikh Mansour Bin Zayed Al Nahyan, deputy Prime Minister of the UAE from 9-11 March 2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani