737 Max: Vifusi vyapatikana kwenye tangi la mafuta ya ndege ya Boeing 737
Ugunduzi huo umezua wasiwasi kuhusiana na usalama wa ndege hizo ambazo zimewahi kufanya ajali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CNBC11 Mar
Boeing 737 Max cancellations pile up in bleak start to the year
5 years ago
Business Insider29 Feb
How Boeing software errors jeopardized its 737 Max and NASA spaceship - Business Insider
5 years ago
Simple Flying13 Mar
LOT Polish Airlines Retires Its Last Boeing 737-400
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Vifusi vya ndege vyaonekana Australia?
5 years ago
MichuziEthiopia: Ubovu wa ndege ya Boeing ya US ndiyo sababu ya ajali ya 2019
Eric Weiss, msemaji wa Bodi ya Taifa ya Usalama wa Usafiri wa Marekani (NTSB) amethibitisha kuwa taasisi kadhaa za usafiri na usafiri wa anga za Marekani zimepokea rasimu ya ripoti hiyo ya muda, kabla ya ripoti ya mwisho kutolewa.
Hata hivyo taasisi hizo...
10 years ago
Dewji Blog06 Apr
Mashirika ya ndege ya Boeing 747-8 sasa yaja na ‘jumba la kifahari’ angani
Sehemu ya ndani chumbani kama inavyoonekana.
Na Andrew Chale wa Modewji blog, kwa msaada wa Mashirika ya Habari.
Huenda bado ujasikia juu ya baadhi ya ndege ndogo, za kati na zile kubwa zimekuja na mfumo mpya zaidi ndani ya ndege zao ikiwemo kutengeneza chumba cha kifahari ndani ya ndege kiasi cha kujiona kama upo nyumbani kwako kwenye jumba la kifahari.
Ndege ya Gulfstream G650, miongoni tu waliokuja na mfumo huo kwenye ndege yao hiyo ya usafiri wa anga kifahari, lakini kuna wachache...
9 years ago
MichuziSHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LATANGAZA KUSAMBAZWA KWA BOEING 787S KWA SAFARI ZAKE MWAKA 2016
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD latangaza kusambazwa kwa Boeing 787s kwa safari zake tofauti mwaka 2016
Shirika la ndege la Etihad, ndege rasmi ya taifa kwa Falme za kiarabu limetangza kuanzisha mipango ya kurusha ndege aina ya boeing 787s kwa safari za kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kwa mwa mwaka 2016.
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...
9 years ago
MichuziSHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LAZINDUA MFUMO MPYA WA KISASA WA USIMAMIZI WA MIZIGO KWENYE VIWANJA VYA NDEGE
Kupitia mfumo wa kisasa wa Baggage Management System (BMS) unaosimamiwa na kampuni ya Luggage Logistics, shirika la ndege la Etihad litaweza kuboresha usimamizi ikiwemo kusafirisha mizigo ya wasafiri kwa wakati. Mfumo huo pia utawezesha kufuatilia kwa urahisi...