Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


737 Max: Vifusi vyapatikana kwenye tangi la mafuta ya ndege ya Boeing 737

Ugunduzi huo umezua wasiwasi kuhusiana na usalama wa ndege hizo ambazo zimewahi kufanya ajali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CNBC

Boeing 737 Max cancellations pile up in bleak start to the year

Boeing 737 Max cancellations pile up in bleak start to the year  CNBCBoeing's order book declines as customers cancel and modify new-jet orders  FlightglobalBoeing’s Max Cancellations Worsen on Shrinking Air Canada Deal  BloombergBoeing halts hiring, limits overtime as coronavirus poses 'global economic disruption', shares down 13%  CNBCBoeing scores widebody orders in February, MAX cancellations mount  ReutersView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Business Insider

How Boeing software errors jeopardized its 737 Max and NASA spaceship - Business Insider

How Boeing software errors jeopardized its 737 Max and NASA spaceship - Business Insider  Business InsiderBoeing says thorough testing would have caught Starliner software problems  Spaceflight Now‘We Have Gaps to Fill’: Starliner Manager Admits to Wrongfully Testing Spacecraft During Mission  Sputnik InternationalBoeing provides update, path forward for Starliner  NASASpaceflight.comAfter review of Starliner's orbital flight test, Boeing announces testing changes for future mis...  WKMG...

 

5 years ago

Simple Flying

LOT Polish Airlines Retires Its Last Boeing 737-400

LOT Polish Airlines Retires Its Last Boeing 737-400  Simple FlyingExclusive: Boeing to separate 737 MAX wire bundles before jet's return to service - sources  ReutersAir Canada Cuts Boeing 737 MAX Order  Simple FlyingBoeing's Max Crisis Meets Coronavirus  BloombergAs Its Shares Continue To Plunge, Is Now The Time To Bet On Boeing?  Investing.comView Full coverage on Google News

 

11 years ago

BBCSwahili

Vifusi vya ndege vyaonekana Australia?

Waziri mkuu wa Australia amesema kuwa mitambo ya Satelite ya nchi hiyo imenasa picha za vitu vinavyoonekana kama vifusi ambavyo huenda ni vya ndege ya Malaysia iliyopotea siku 13 zilizopita.

 

5 years ago

Michuzi

Ethiopia: Ubovu wa ndege ya Boeing ya US ndiyo sababu ya ajali ya 2019

Rasimu ya ripoti ya muda ya wachunguzi wa Ethiopia imesema ajali mbaya ya ndege ya Boeing Max 737 iliyotokea tarehe 10 mwezi Machi mwaka jana 2019 na kuua watu 157 ilisababishwa na na matatizo ya kiufundi na ubovu wa ndege hiyo ya Kimarekani.

Eric Weiss, msemaji wa Bodi ya Taifa ya Usalama wa Usafiri wa Marekani (NTSB) amethibitisha kuwa taasisi kadhaa za usafiri na usafiri wa anga za Marekani zimepokea rasimu ya ripoti hiyo ya muda, kabla ya ripoti ya mwisho kutolewa.

Hata hivyo taasisi hizo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashirika ya ndege ya Boeing 747-8 sasa yaja na ‘jumba la kifahari’ angani

 

This Luxury Boeing 747-8 for the Super-Rich is a Palace in the SkyMost of us can’t afford to fly first-class, let alone buy our own jet. And even within that exclusive world, it’s a big step up from your standard private jet to a personalized Boeing 747-8. Greenpoint Technologies, of Kirkland, recently fitted out the industry’s first VIP 747-8 for a private, undisclosed client.Sehemu ya ndani chumbani kama inavyoonekana.

Na Andrew Chale wa Modewji blog, kwa msaada wa Mashirika ya Habari.

Huenda bado ujasikia juu ya baadhi ya ndege ndogo, za kati na zile kubwa zimekuja na mfumo mpya zaidi ndani ya ndege zao ikiwemo kutengeneza chumba cha kifahari ndani ya ndege kiasi cha kujiona kama upo nyumbani kwako kwenye jumba la kifahari.

rawimage-11

Ndege ya Gulfstream G650,  miongoni tu waliokuja na mfumo huo kwenye ndege yao hiyo ya usafiri wa anga kifahari, lakini kuna wachache...

 

9 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LATANGAZA KUSAMBAZWA KWA BOEING 787S KWA SAFARI ZAKE MWAKA 2016

SHIRIKA la ndege la Etihad, ndege rasmi ya taifa kwa Falme za kiarabu limetangza kuanzisha mipango ya kurusha ndege aina ya boeing 787s kwa safari za kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kwa mwa mwaka 2016.
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la ETIHAD latangaza kusambazwa kwa Boeing 787s kwa safari zake tofauti mwaka 2016

Etihad Airways' Boeing 787 set to fly to five further destinations in 2016

Shirika la ndege la Etihad, ndege rasmi ya taifa kwa Falme za kiarabu limetangza kuanzisha mipango ya kurusha ndege aina ya boeing 787s kwa safari za kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kwa mwa mwaka 2016.

Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...

 

9 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LAZINDUA MFUMO MPYA WA KISASA WA USIMAMIZI WA MIZIGO KWENYE VIWANJA VYA NDEGE

SHIRIKA la ndege la Etihad ambalo ndio shirika rasmi la nchi ya Falme za kiarabu, leo hii limetangaza makubaliano na kampuni ya Luggage Logistics kuboresha mfumo mzima wa usimamizi wa mizigo katika viwanja vake vya ndege dunia nzima.

Kupitia mfumo wa kisasa wa Baggage Management System (BMS) unaosimamiwa na kampuni ya Luggage Logistics, shirika la ndege la Etihad litaweza kuboresha usimamizi ikiwemo kusafirisha mizigo ya wasafiri kwa wakati. Mfumo huo pia utawezesha kufuatilia kwa urahisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani