Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meli ya Iran yatekwa nyara Somalia

Maharamia wa Somalia wameiteka nyara meli moja ya Iran ikiwa na wafanyi kazi 15.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Ethiopia ''Yatekwa Nyara''

Ndege ya Ethiopia imelazimishwa kutua Geneva

 

11 years ago

Michuzi

news alert: ndege ya shirika la virgin yatekwa nyara indonesia asubuhi hii

Ndege ya shirika la Virgin iliyokuwa inaruka toka Australia inasemekana imetekwa nyara katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Bali nchini Indonesia muda mchache uliopita, wamesema maafisa wa usalama wa nchi hiyo. Tunafuatilia na habari zaidi tutaleta kadri zitavyopatikana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maharamia waziteka meli mbili za Iran

Kitengo cha UN kinachoshughulikia mihadarati na Uhalifu kimesema kuwa maharamia wameteka meli mbili za Iran za kuvua samaki

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran yaiachilia huru meli ya mizigo

Iran imeachia meli ya mizigo iliyoikamata katika maeneo ya baharini huko Hormuz

 

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi meli tano za mafuta zilizokuwa zikielekea Venezuela zilivyozua hofu kati ya Marekani na Iran

Hali ya wasiwasi kati ya Marekani na Iran imechukua sura mpya nchini Venezuela.

 

10 years ago

GPL

MSIMU WA SIKUKUU ROHO MKONONI MABASI YATEKWA, WANAWAKE WABAKWA

Stori  Mwandishi Wetu, Mwanza
Roho mkononi! Jumla ya magari saba yakiwemo mabasi mawili yaliyokuwa yakitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Mwanza, yametekwa na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi usiku wa kuamkia Jumamosi ya wiki iliyopita, saa 6:30 usiku eneo la Ng’ungumalwa mkoani Mwanza. Polisi wakiwa eneo la tukio. Miongoni mwa magari yaliyotekwa, mawili yalikuwa ni mabasi ya abiria, Super Najmnisa na Princess...

 

11 years ago

BBCSwahili

Makasisi waliotekwa nyara waachiliwa.

Makasisi wawili kutoka nchini Italy pamoja na mwanamke mmoja raia wa Canada waliotekwanyara na kundi la Boko Haram wameachiliwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji watekwa nyara, Syria

Baadhi ya askari kutoka katika kikosi cha polisi, kilichoundwa na wapiganaji wa Islamic State, wametekwa nyara.

 

11 years ago

Mwananchi

Ashikiliwa kwa nyara za Serikali

Polisi Mkoa wa Singida, wanamshikilia Jafari Hamisi (23),Mkazi wa Ukombozi mjini Singida,kwa tuhuma ya kumilki kinyume cha sheria vipande 16 vya meno ya ndovu vyenye thamani ya zaidi ya Sh17milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani