Meli ya Iran yatekwa nyara Somalia
Maharamia wa Somalia wameiteka nyara meli moja ya Iran ikiwa na wafanyi kazi 15.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
11 years ago
Michuzi25 Apr
news alert: ndege ya shirika la virgin yatekwa nyara indonesia asubuhi hii
Ndege ya shirika la Virgin iliyokuwa inaruka toka Australia inasemekana imetekwa nyara katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Bali nchini Indonesia muda mchache uliopita, wamesema maafisa wa usalama wa nchi hiyo. Tunafuatilia na habari zaidi tutaleta kadri zitavyopatikana.
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Maharamia waziteka meli mbili za Iran
Kitengo cha UN kinachoshughulikia mihadarati na Uhalifu kimesema kuwa maharamia wameteka meli mbili za Iran za kuvua samaki
10 years ago
BBCSwahili07 May
Iran yaiachilia huru meli ya mizigo
Iran imeachia meli ya mizigo iliyoikamata katika maeneo ya baharini huko Hormuz
5 years ago
BBCSwahili24 May
Jinsi meli tano za mafuta zilizokuwa zikielekea Venezuela zilivyozua hofu kati ya Marekani na Iran
Hali ya wasiwasi kati ya Marekani na Iran imechukua sura mpya nchini Venezuela.
10 years ago
GPLMSIMU WA SIKUKUU ROHO MKONONI MABASI YATEKWA, WANAWAKE WABAKWA
Stori Mwandishi Wetu, Mwanza
Roho mkononi! Jumla ya magari saba yakiwemo mabasi mawili yaliyokuwa yakitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Mwanza, yametekwa na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi usiku wa kuamkia Jumamosi ya wiki iliyopita, saa 6:30 usiku eneo la Ng’ungumalwa mkoani Mwanza. Polisi wakiwa eneo la tukio. Miongoni mwa magari yaliyotekwa, mawili yalikuwa ni mabasi ya abiria, Super Najmnisa na Princess...
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Makasisi waliotekwa nyara waachiliwa.
Makasisi wawili kutoka nchini Italy pamoja na mwanamke mmoja raia wa Canada waliotekwanyara na kundi la Boko Haram wameachiliwa
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Wapiganaji watekwa nyara, Syria
Baadhi ya askari kutoka katika kikosi cha polisi, kilichoundwa na wapiganaji wa Islamic State, wametekwa nyara.
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Ashikiliwa kwa nyara za Serikali
Polisi Mkoa wa Singida, wanamshikilia Jafari Hamisi (23),Mkazi wa Ukombozi mjini Singida,kwa tuhuma ya kumilki kinyume cha sheria vipande 16 vya meno ya ndovu vyenye thamani ya zaidi ya Sh17milioni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania