Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIMU WA SIKUKUU ROHO MKONONI MABASI YATEKWA, WANAWAKE WABAKWA

Stori  Mwandishi Wetu, Mwanza
Roho mkononi! Jumla ya magari saba yakiwemo mabasi mawili yaliyokuwa yakitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Mwanza, yametekwa na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi usiku wa kuamkia Jumamosi ya wiki iliyopita, saa 6:30 usiku eneo la Ng’ungumalwa mkoani Mwanza. Polisi wakiwa eneo la tukio. Miongoni mwa magari yaliyotekwa, mawili yalikuwa ni mabasi ya abiria, Super Najmnisa na Princess...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ROSE MUHANDO ROHO MKONONI

Stori:   Erick Evarist MY GOD! Mwanamuziki wa Injili daraja la kwanza nchini, Rose Muhando anaishi roho mkononi kufuatia madai kwamba kuna watu wanaomsaka wakisemekana wametumwa kuichukua roho yake, Ijumaa Wikienda lina kisa kizima. Mwanamuziki wa Injili daraja la kwanza nchini, Rose Muhando. Kwa mujibu wa chanzo makini, Rose…

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZARI ROHO MKONONI

MUSA MATEJA NA SIFAEL PAUL TAHADHARI ichukuliwe! Habari zikufikie kuwa, baada ya staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz‘ na mpenzi wake, Zarinah Hassani ‘Zari’, kuhamia kwenye mjengo wake mpya uliopo Madale jijini Dar, imebainika kuwa familia hiyo inaishi roho mkononi kufuatia ulinzi sifuri, jambo linalowafanya kuishi kwa hofu tupu, Ijumaa Wikienda linakuhabarisha. Nyumba mpya ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi Kalenga na roho iliyo mkononi

Demokrasia ni mfumo wa siasa unaotoa fursa ya watu kuwa na haki ya kuchagua, kuchaguliwa na kuiwakilisha jamii katika ngazi za katika uamuzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakimbizi wanavyoishi ‘roho mkononi’ Kigoma

>Licha ya taasisi za kimataifa, Serikali na wadau wengine wa maendeleo kutoa misaada, hali katika kambi za wakimbizi mkoani Kigoma ni mbaya kutokana na mlipuko wa magonjwa, uhaba wa chakula, malazi na mavazi.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukichukua fedha benki sasa ni roho mkononi

Ni roho mkononi. Hayo ndiyo maneno matatu yanayofaa kuelezea hali ilivyo jijini Dar es Salaam na maeneo kadhaa nchini kwa sasa, hasa pale mtu anapobeba fedha nyingi.

 

11 years ago

BBCSwahili

wanawake wabakwa gerezani - DRC

Utafiti mpya umeonesha kuwa ubakaji unatumiwa gerezani kama adhabu kwa wanawake wanaojihusisha na siasa nchini DRC.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake 90;Ujerumani wabakwa mwaka mpya

Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, ameshtushwa na taarifa kuwa wanawake tisini walibakwa wakati wa sherehe za mwaka mpya 2016 .

 

11 years ago

GPL

11 years ago

GPL

MUUNGANO WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YANAYOTETEA HAKI ZA WANAWAKE WASHEREKEA SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI

Kutoka kushoto ni Miss Tanzania 2013 Happy Watimanywa , Dk. Agnes Nyomola kutoka Chuo kikuu cha Dar es salaam ambaye ni Mtaalam wa mambo ya Sayansi, na Specioza Rweyemamu ambaye ni Ispecta katika mambo ya anga katika Mamlaka wa usafiri wa Anga Tanzania, ambao ndio walikuwa wasemaji katika sherehe hizo
  Dk. Agnes Nyomola kutoka Chuo kikuu cha Dar es salaam ambaye ni Mtaalam wa mambo ya Sayansi akizungumza na wanafunzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani