Wakimbizi wanavyoishi ‘roho mkononi’ Kigoma
>Licha ya taasisi za kimataifa, Serikali na wadau wengine wa maendeleo kutoa misaada, hali katika kambi za wakimbizi mkoani Kigoma ni mbaya kutokana na mlipuko wa magonjwa, uhaba wa chakula, malazi na mavazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAKIMBIZI WA BURUNDI WAONGEZEKA MAKAMBI YA WAKIMBIZI MKOANI KIGOMA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIIdadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04ashx-gBuyueUXLYEiJ3t79o2*96pqYIvPNE4S1HKpTFKeusVe6izq4o*2JihroC44C-oL3hRQICdu8vVpJWq5DD/ros.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO ROHO MKONONI
Stori:  Erick Evarist MY GOD! Mwanamuziki wa Injili daraja la kwanza nchini, Rose Muhando anaishi roho mkononi kufuatia madai kwamba kuna watu wanaomsaka wakisemekana wametumwa kuichukua roho yake, Ijumaa Wikienda lina kisa kizima. Mwanamuziki wa Injili daraja la kwanza nchini, Rose Muhando. Kwa mujibu wa chanzo makini, Rose…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ69-akeUffky*RWygowKA3-2s5dU1fXW6ONK33ESDmfulrwBKq7vgBIoazYYM2YhCwVtjFw14n4GSvLMJXjNzT10/1.jpg?width=650)
DIAMOND, ZARI ROHO MKONONI
MUSA MATEJA NA SIFAEL PAUL TAHADHARI ichukuliwe! Habari zikufikie kuwa, baada ya staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz‘ na mpenzi wake, Zarinah Hassani ‘Zari’, kuhamia kwenye mjengo wake mpya uliopo Madale jijini Dar, imebainika kuwa familia hiyo inaishi roho mkononi kufuatia ulinzi sifuri, jambo linalowafanya kuishi kwa hofu tupu, Ijumaa Wikienda linakuhabarisha. Nyumba mpya ya...
9 years ago
MichuziZOEZI LA KUWAPOKEA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA VIZURI KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU MKOANI KIGOMA
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Uchaguzi Kalenga na roho iliyo mkononi
Demokrasia ni mfumo wa siasa unaotoa fursa ya watu kuwa na haki ya kuchagua, kuchaguliwa na kuiwakilisha jamii katika ngazi za katika uamuzi.
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Ukichukua fedha benki sasa ni roho mkononi
Ni roho mkononi. Hayo ndiyo maneno matatu yanayofaa kuelezea hali ilivyo jijini Dar es Salaam na maeneo kadhaa nchini kwa sasa, hasa pale mtu anapobeba fedha nyingi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCvh4rdTm5Apo*n*MRGq7XyaajJ7D3*XgNZARJVUdJLPR4-8WXBPsGGFyA3bVsSqkZ1G8FgOS9YOGCqbXkhdrWaH/BACKUWAZI.jpg?width=650)
MSIMU WA SIKUKUU ROHO MKONONI MABASI YATEKWA, WANAWAKE WABAKWA
Stori Mwandishi Wetu, Mwanza
Roho mkononi! Jumla ya magari saba yakiwemo mabasi mawili yaliyokuwa yakitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Mwanza, yametekwa na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi usiku wa kuamkia Jumamosi ya wiki iliyopita, saa 6:30 usiku eneo la Ng’ungumalwa mkoani Mwanza. Polisi wakiwa eneo la tukio. Miongoni mwa magari yaliyotekwa, mawili yalikuwa ni mabasi ya abiria, Super Najmnisa na Princess...
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU ILIYOKO WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA NA KUWATAKA WAKIMBIZI HAO WADUMISHE AMANI NA UTULIVU
10 years ago
BBCSwahili18 May
Wakimbizi saba wa Burundi wafa Kigoma
Wakimbizi saba wa Burundi wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa kuhara, Kigoma magharibi mwa Tanzania
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania