Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maharamia waziteka meli mbili za Iran

Kitengo cha UN kinachoshughulikia mihadarati na Uhalifu kimesema kuwa maharamia wameteka meli mbili za Iran za kuvua samaki

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Meli ya Iran yatekwa nyara Somalia

Maharamia wa Somalia wameiteka nyara meli moja ya Iran ikiwa na wafanyi kazi 15.

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran yaiachilia huru meli ya mizigo

Iran imeachia meli ya mizigo iliyoikamata katika maeneo ya baharini huko Hormuz

 

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi meli tano za mafuta zilizokuwa zikielekea Venezuela zilivyozua hofu kati ya Marekani na Iran

Hali ya wasiwasi kati ya Marekani na Iran imechukua sura mpya nchini Venezuela.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete apokea meli mbili za kivita kutoka China

 Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amepokea meli mbili za kivita kutoka China kwa ajili ya Jeshi la Wanamaji (Navy), huku akiahidi kuongeza nyingine kabla ya kumaliza muda wake wa uongozi.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AZINDUA MELI VITA MBILI ZA KIKOSI CHA WANAMAJI CHA JWTZ JIJINI DAR ES SALAAM LEO


Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa amri kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mara baada ya kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
Amiri Jeshi...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AZINDUA MELI VITA MBILI ZA KIKOSI CHA WANAMAJI CHA JWTZ JIJINI DAR ES SALAAM LEO‏

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa amri kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mara baada ya kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Nitapambana na maharamia

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema atapambana na maharamia wa kigeni wanaovua samaki katika Bahari ya Hindi, ili kulinda uchumi wa Tanzania.

 

10 years ago

GPL

STEPS ISHU SIYO KUUZA BUKUBUKU, TUTAWAMALIZAJE MAHARAMIA?

KWENU wasambazaji wakongwe wa sinema za Kibongo, Kampuni ya Steps Entertainment. Bila shaka mko poa na mnaendelea na shughuli zenu za kusambaza kazi za wasanii wetu wa Bongo Movies.
Binafsi mimi ni mzima wa afya, naendelea vizuri na majukumu yangu ya kila siku. Kwa heshima ya pekee naomba niutambue uwepo wa Mkurugenzi wa Steps, Diresh Solanki, umechangia kwa kiasi fulani kukuza sanaa nchini. Dhumuni la barua hii ni kutaka...

 

10 years ago

Michuzi

BONGO MOVIE WALIA NA MAHARAMIA, FILAMU KUSHUSHWA BEI

Wasanii wa filamu maarufu kama Bongo Movie wakiwa katika mkutano na wanahabari jijini Dar es salaam kulalamika jinsi maharamia wanavyowaibia kazi zao na pia soko la filamu kujaa kazi za nje zinazouzwa bei chee 
Wasanii wa filamu maarufu kama Bongo Movie wakiwa katika mkutano na wanahabari jijini Dar es salaam 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani