Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BONGO MOVIE WALIA NA MAHARAMIA, FILAMU KUSHUSHWA BEI

Wasanii wa filamu maarufu kama Bongo Movie wakiwa katika mkutano na wanahabari jijini Dar es salaam kulalamika jinsi maharamia wanavyowaibia kazi zao na pia soko la filamu kujaa kazi za nje zinazouzwa bei chee 
Wasanii wa filamu maarufu kama Bongo Movie wakiwa katika mkutano na wanahabari jijini Dar es salaam 

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Sakata la kushushwa kwa bei za filamu.Watayarishaji filamu nao waibuka

Bodi ya Filamu kwa kushirikiana na Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Wizara ya Fedha na Wizara ya Viwanda na Biashara, TRA, TBS, imekuwa ikifanya vikao vya ndani zaidi ya viwili sasa na wasambazaji wa filamu ili kuzungumzia suala ya bei ya filamu. “Tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vyote vinavyoshiriki haya masuala ya filamu, kusifanyike mkutano wa aina yoyote ile kuzungumzia bei ya filamu bila kushirikisha maprodyuza, sisi ndiyo wenye filamu na ndiyo tunaotengeneza sasa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mpishi wa filamu za Bongo Movie aliyeweka kapuni’ shahada ya uhandisi

Mtunzi na mwongozaji wa filamu maarufu za Bongo Movie, Daniel Leonard Manege ametangaza kuachia filamu mpya akilezeza kuwa atatumia mfumo tofauti wa masoko ili kuhakikisha filamu hiyo iitwayo “Safari ya Gwalu” inawafikia wananchi katika ubora unaotakiwa.

 

11 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA FILAMU YA 'I LOVE MWANZA' HAUKUWA WA KISIASA - BONGO MOVIE

 Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere (katikati) akitoa taarifa ya kukanusha uzinduzi wa filamu ya "I Love Mwanza" kujihusisha na masuala ya kisiasa. Kushoto kwa Nyerere ni Sabrina Lupia (Cathy) na kulia kwake n Wastara Juma na Salama "Sandra" Salimin.   Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere (katikati) akitoa tarifa ya kukanusha taarifa za uzinduzi wa filamu ya "I Love Mwanza" kujihusisha na masuala ya kisiasa. Kuanzia kushoto kwa Nyerere ni Sabrina Lupia (Cathy) , Katibu wa TAFF mkoa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani