Wapiganaji watekwa nyara, Syria
Baadhi ya askari kutoka katika kikosi cha polisi, kilichoundwa na wapiganaji wa Islamic State, wametekwa nyara.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Wakristu zaidi watekwa nyara Syria
Kuna hofu kuwa raia wakristo kutoka Syria wametekwa nyara na wanamgambo wa Islamic State.
10 years ago
GPL
WASAFIRI RAIA WA CAMEROON WATEKWA NYARA
Wasafiri kadhaa raia wa Cameroon wameripotiwa kutekwa nyara na watu wasiojulikana karibu na mpaka wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Duru za kuaminika zimeripoti kuwa, watu hao 15 wametekwa nyara na watu wenye silaha wa kundi linaloongozwa na mtu mmoja anayetambulika kwa jina la Abdoulaye Miskine, huko kaskazini mashariki mwa Cameroon karibu na mpaka wa pamoja na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Chanzo kimoja cha usalama nchini Cameroon...
11 years ago
BBCSwahili06 May
Wasichana zaidi watekwa nyara Nigeria
Washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria, Boko Haram, wamewateka nyara wasichana wengine 8 Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Wanawake zaidi watekwa nyara Nigeria
Inaripotiwa kuwa wanawake pamoja na wasichana sitini wametekwa nyara Kaskazini Mashariki mwa Nigeria wiki iliyopita.
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Wanafunzi 200 watekwa nyara Nigeria
Polisi nchini Nigeria wanasema kuwa shule ya mabweni ya wasichana imeshambuliwa katika jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Wawindaji kutoka Qatar watekwa nyara Iraq
Watu wenye silaha wamewateka nyara wawindani 27 kutoka Qatar, miongoni mwao watu wa familia ya kifalme.
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Wapiganaji waiteka nyara hoteli Libya
Watu wenye silaha wameshambulia mojawepo ya hoteli maarufu zaidi katika mji mkuu wa Libya-Tripoli.
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Wapiganaji waondolewa Syria
Wapiganaji wa makundi ya waasi Syria wameanza kuondolewa kutoka mji wa Zabadani karibu na mpaka wa Syria na Lebanon.
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Ajuza awatukana wapiganaji wa IS Syria
Zaidi ya watu millioni moja katika mtandao wa facebook wameiona video katika mtandao kuhusu ajuza wa Syria anayewakashifu IS
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania