Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapiganaji waondolewa Syria

Wapiganaji wa makundi ya waasi Syria wameanza kuondolewa kutoka mji wa Zabadani karibu na mpaka wa Syria na Lebanon.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji watekwa nyara, Syria

Baadhi ya askari kutoka katika kikosi cha polisi, kilichoundwa na wapiganaji wa Islamic State, wametekwa nyara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajuza awatukana wapiganaji wa IS Syria

Zaidi ya watu millioni moja katika mtandao wa facebook wameiona video katika mtandao kuhusu ajuza wa Syria anayewakashifu IS

 

11 years ago

BBCSwahili

Waandishi waachiliwa Syria na wapiganaji

Mwandishi wa habari na mpiga picha wanaofanya kazi na gazeti la Times wameachiliwa Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ufaransa yawaua wapiganaji 33 Syria

Mashambulio ya Ufaransa na mataifa mengine dhidi ya ngome ya Islamic State huko Raqqa nchini Syria siku ya jumapili yamewauwa takriban wapiganaji 33

 

11 years ago

BBCSwahili

Hoja ya wapiganaji wa kiisilamu Syria

Maafisa wa ujasusi kutoka nchi za Magharibi wamezuru Damascus kwa mazungumzo kuhusu kupambana na makundi ya wapiganaji wa kiisilamu

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

11 years ago

Tanzania Daima

Waislamu nchini waondolewa hofu

JAMII ya Kiislamu nchini imetolewa hofu ya upatikanaji wa mikopo kutokana na kuanzishiwa benki pamoja na vicoba vitakavyowawezesha kupata fursa hiyo bila kikwazo cha riba. Akizungumza katika kongamano la masheikh...

 

10 years ago

Mtanzania

Muswada wa habari waondolewa bungeni

agNa Fredy Azzah, Dodoma

HATIMAYE Serikali imekubali kuuondoa muswada wa habari na ule wa vyombo vya habari iliyopangwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura na badala yake itasomwa kwa mara ya kwanza kisha wadau watapata nafasi ya kuijadili.

Ratiba ya awali ilionyesha kuwa Machi 31, mwaka huu Serikali ilitarajiwa kuwasilisha muswada wa Sheria ya kupata Habari wa mwaka 2015 na ule wa Vyombo vya Habari wa mwaka 2015 yote kwa hati ya dharura.

Ratiba iliyotolewa jana ilikuwa haina miswada hiyo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani