Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hoja ya wapiganaji wa kiisilamu Syria

Maafisa wa ujasusi kutoka nchi za Magharibi wamezuru Damascus kwa mazungumzo kuhusu kupambana na makundi ya wapiganaji wa kiisilamu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji waondolewa Syria

Wapiganaji wa makundi ya waasi Syria wameanza kuondolewa kutoka mji wa Zabadani karibu na mpaka wa Syria na Lebanon.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji watekwa nyara, Syria

Baadhi ya askari kutoka katika kikosi cha polisi, kilichoundwa na wapiganaji wa Islamic State, wametekwa nyara.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ufaransa yawaua wapiganaji 33 Syria

Mashambulio ya Ufaransa na mataifa mengine dhidi ya ngome ya Islamic State huko Raqqa nchini Syria siku ya jumapili yamewauwa takriban wapiganaji 33

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajuza awatukana wapiganaji wa IS Syria

Zaidi ya watu millioni moja katika mtandao wa facebook wameiona video katika mtandao kuhusu ajuza wa Syria anayewakashifu IS

 

11 years ago

BBCSwahili

Waandishi waachiliwa Syria na wapiganaji

Mwandishi wa habari na mpiga picha wanaofanya kazi na gazeti la Times wameachiliwa Syria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Benki za kiisilamu Tanzania

Ushindani wa biashara katika huduma za benki nchini Tanzania, umeshuhudia kuanzishwa kwa huduma za benki ya Kiislam, kuvutia wateja zaidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mhubiri wa kiisilamu auawa Mombasa

Abubakar Shariff anayejulikana kwa jina lengine kama Makaburi, amekuwa akituhumiwa kwa kusajili vijana kuenda kupigania kundi la Al Shabaab nchini Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Jarida la kiisilamu lililochapisha kibonzo

Jarida la Cumhuriyet nchini Uturuki, ndilo pekee katika mataifa ya kiisilamu lililochapisha picha ya kibonzo cha kumkejeli mtume Muhammad iliyochapishwa kwenye jarida la Charlie Hebdo Jumatano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Lawama kwa viongozi wa kiisilamu Kenya

Baraza makanisa nchini Kenya(NCCK) limewalaumu vongozi wa kiislamu na serikali kushindwa kuzuia mashambulizi dhidi ya wakristu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani