Lawama kwa viongozi wa kiisilamu Kenya
Baraza makanisa nchini Kenya(NCCK) limewalaumu vongozi wa kiislamu na serikali kushindwa kuzuia mashambulizi dhidi ya wakristu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Lawama kwa viongozi wa Sudan Kusini
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Ofisi ya Takwimu yawatupia lawama viongozi nchini
9 years ago
StarTV21 Dec
Viongozi Simanjiro watupiwa lawama kutokana na rasilimali kutowanufaisha wananchi
Wakazi wa vijiji vilivyopo katika wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wameelezea kutoridhishwa na hali duni ya maisha wanayoishi ukilinganisha na rasilimali kubwa ya mifugo pamoja na madini ya Tanzanite yanayopatikana wilayani humo.
Wengi wao wanawashutumu viongozi wanaopewa dhamana ya kuongoza eneo hilo kushindwa kusimamia rasilimali zilizopo ili ziwanufaishe wananchi wote.
Kundi kubwa la wakazi wa eneo hilo la simanjiro ni watu wa jamii ya kifugaji ambao kwa asilimia kubwa hutegemea mifugo...
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.
Na Rabi Hume
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.
Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...
9 years ago
Bongo523 Oct
Nabii hakubaliki nyumbani: Victoria Kimani awatupia lawama ma-promota wa Kenya
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Mechi ya lawama kwa Nooij, Stars
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Lawama haitoshi kwa ndoa za utotoni
KWA miaka nenda miaka rudi sasa imekuwa ni kawaida panapokaribia mwezi mtukufu wa Ramadhani kuona sherehe za harusi zimetanda karibu kila pembe ya Zanzibar. Watu hufurahi na kula mapochopocho na...
11 years ago
BBCSwahili14 Jul
Benki za kiisilamu Tanzania
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Hoja ya wapiganaji wa kiisilamu Syria