Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.

Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Samatta akubali kubeba lawama

MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amesema wapo tayari kulaumiwa na mashabiki endapo watashindwa kuifunga Malawi leo. Samatta aliyasema hayo jana baada ya mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa kujiandaa na mchezo wa leo dhidi ya Malawi wa kutafuta kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 zitakazofanyika Urusi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal asema wachezaji wake wanajaribu

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amekiri kwamba wachezaji wa timu hiyo wanajitahidi kuelewa mbinu zake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rogders akubali lawama kipigo Liverpool

Brendan Rodgers amesema anapokea lawama zote kufuatia kipigo cha timu yake ya Liverpool ilichokipata kutoka kwa Cyristal Palace.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ndauka Atupiwa Lawama na Mashabiki, Awapa Pole!

Staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Nduka ametupiwa lawama na baadhi ya mashabuki  wake kwa kuweka picha mtandaoni akiwa amalazwa hospital na wao kudhani kweli kumbe yupo ‘ON SET’ ya movie mpya.

Hapo jana Rose ndauka alibandika picha hiyo hapo juu akiwa amelala kwenye kitanda ya hospital na kuandika “AAR Hospital” kitendo ambacho kiliwafanya mashabiki weke wengi kudhani kuwa Rose anamwa na kuanza kumpa pole na kumuombea dua apone haraka.

Baada ya masaa kadhaa kupita, Rose akaweka tena picha...

 

10 years ago

Bongo5

Kwanini lawama kwa promota haziwezi kumwepusha Diamond kupoteza mashabiki

Kutofanyika kwa show ya kimataifa iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wengi wa Diamond jijini Stuttgurt, Ujerumani na kusababisha uharibifu mkubwa, kulichukuliwa na watu wengi kama ajali kazini. Sababu za Diamond kuchelewa kupanda stejini kulikotokana na kudai alipwe fedha yake iliyokuwa imesalia kwa promota, ilikuwa ya msingi kabisa. Na pia kampuni yenyewe iliyoandaa show hiyo […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal: Waacheni wachezaji, nizomeeni mimi

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal amewaambia mashabiki wamzomee na kumkosoa yeye badala ya wachezaji.

 

9 years ago

Mtanzania

Kerr atupia zigo la lawama nyota wake

kerrNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amewatupia lawama nyota wake kuwa ndio chanzo cha mwenendo mbaya wa klabu hiyo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kauli ya Kerr imekuja siku chache baada ya tetesi za kutumuliwa kwake kuzidi kushika kasi, kutokana na matokeo yasiyoridhisha ambayo yamekuwa yakiiandama timu hiyo katika siku za karibuni.

Simba inashika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu, ikiwa na jumla ya pointi 24, hadi sasa imefanikiwa...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond ashindwa kutokea kwenye show London, mashabiki wamngonja hadi saa 10 alfajiri, amtupia lawama promota

Kwa mara nyingine tena, mashabiki wa Diamond Platnumz wameshindwa kumuona akitumbuiza licha ya kumsubiria hadi saa 10 Alfajiri. Awamu hii imetokea jijini London, Uingereza katika show aliyoitangaza kwa kiasi kikubwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Tofauti na Stuttgurt, Ujerumani ambako mashabiki walifanya uharibifu mkubwa, mashabiki wa London waliamua kuwa wapole tu na kurejea […]

 

10 years ago

Bongo5

Faiza amtupia lawama ex wake (Sugu), asema hamjali mwanae

Aliyekuwa mpenzi wake na mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu, Faiza Ally amemtupia mzazi mwenzake kuwa hamjali mwanae baada ya kuachana. Faiza alikuwa akiongea kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV ambapo alikiri kuwa kuachana na Sugu kunaendelea kumuumiza. “Imeniathiri sana hata hailezeki,” alisema. “Naona hata nikieleza siwezi kumaliza. Imeniathiri kiasi kikubwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani