Kwanini lawama kwa promota haziwezi kumwepusha Diamond kupoteza mashabiki
Kutofanyika kwa show ya kimataifa iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wengi wa Diamond jijini Stuttgurt, Ujerumani na kusababisha uharibifu mkubwa, kulichukuliwa na watu wengi kama ajali kazini. Sababu za Diamond kuchelewa kupanda stejini kulikotokana na kudai alipwe fedha yake iliyokuwa imesalia kwa promota, ilikuwa ya msingi kabisa. Na pia kampuni yenyewe iliyoandaa show hiyo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo520 Sep
Diamond ashindwa kutokea kwenye show London, mashabiki wamngonja hadi saa 10 alfajiri, amtupia lawama promota
10 years ago
Bongo523 Sep
Kwa Uingereza Alikiba ana mashabiki wengi kuliko Diamond — Promota
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.
Na Rabi Hume
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.
Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...
9 years ago
Bongo523 Oct
Nabii hakubaliki nyumbani: Victoria Kimani awatupia lawama ma-promota wa Kenya
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Promota wa Diamond mbaroni
Na Mwandishi wetu
POLISI nchini Ujerumani wamefanikiwa kumkamata Promota mwenye asili ya nchi ya Nigeria ambaye ndiye aliyesababisha fujo katika onyesho la msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ zilizotokea Agosti 30 mwaka huu kwenye ukumbi wa Stuttgart nchini Ujerumani .
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka nchini Ujerumani kilisema kwamba Jeshi la Polisi nchini humo kilisema hadi kieleweke kwani watamchukulia hatua kali ili iwe fundisho kwa mapromota kama huyo.
Jumamosi...
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Promota wa Diamond mbaroni Ujerumani
POLISI nchini Ujerumani wamefanikiwa kumtia mbaroni promota Awin Williams Akpomie, aliyeratibu shoo ya mwanamuziki wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ iliyokuwa ifanyike Agosti 30, mjini Stuttgart na kushindwa kufanyika. Shoo...
10 years ago
Bongo Movies18 May
Ndauka Atupiwa Lawama na Mashabiki, Awapa Pole!
Staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Nduka ametupiwa lawama na baadhi ya mashabuki wake kwa kuweka picha mtandaoni akiwa amalazwa hospital na wao kudhani kweli kumbe yupo ‘ON SET’ ya movie mpya.
Hapo jana Rose ndauka alibandika picha hiyo hapo juu akiwa amelala kwenye kitanda ya hospital na kuandika “AAR Hospital” kitendo ambacho kiliwafanya mashabiki weke wengi kudhani kuwa Rose anamwa na kuanza kumpa pole na kumuombea dua apone haraka.
Baada ya masaa kadhaa kupita, Rose akaweka tena picha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa6JvLaBnjjOShuO870n-Tla1cgvUZ57LdyVTnbVyOA6GP3MNL8KlpwV1eSe1DOhlOB44TDXoGUiFRPxFoUdTORC/diamond.jpg?width=650)
VURUGU UJERUMANI, KUKAMATWA PROMOTA SIRI 7 ZAFICHUKA SHOO YA DIAMOND
9 years ago
Bongo512 Oct
Diamond aeleza kwanini ‘alidedicate’ tuzo zake za Afrimma kwa Tiffah