Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndauka Atupiwa Lawama na Mashabiki, Awapa Pole!

Staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Nduka ametupiwa lawama na baadhi ya mashabuki  wake kwa kuweka picha mtandaoni akiwa amalazwa hospital na wao kudhani kweli kumbe yupo ‘ON SET’ ya movie mpya.

Hapo jana Rose ndauka alibandika picha hiyo hapo juu akiwa amelala kwenye kitanda ya hospital na kuandika “AAR Hospital” kitendo ambacho kiliwafanya mashabiki weke wengi kudhani kuwa Rose anamwa na kuanza kumpa pole na kumuombea dua apone haraka.

Baada ya masaa kadhaa kupita, Rose akaweka tena picha...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.

Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa Francis awapa pole wa Kenya

Papa atoa mkono wa pole kwa wanafunzi waliouawa nchini Kenya,na kutaka mateso ya wakristo ulimwenguni yakomeshwe.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli awapa pole Kikwete, Mkapa

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewapa pole Rais Jakaya Kikwete na Rais mstaafu, Benjamin Mkapa kwa kuwateua watu wasiofaa.

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete amlilia Makaidi, awapa pole NLD

RAIS Jakaya Kikwete amekitumia Chama cha National League for Democracy (NLD) salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Dk Emmanuel Makaidi ambaye ameaga dunia katika Hospitali ya Mkoa wa Lindi.

 

10 years ago

GPL

BEYONCE AWAPA POLE WAFIWA MAUAJI KANISANI

Diva wa muziki wa Pop nchini Marekani, Beyonce Knowles. NEW YORK, Marekani DIVA wa muziki wa Pop nchini Marekani, Beyonce Knowles, amewapa pole wafiwa wa tukio la mauaji ya risasi ya watu 9 yaliyofanywa na kijana, Dylann Roof ndani ya Kanisa la Charleston, South Carolina, wiki iliyopita. Kijana aliyesababisha mauaji hayo Dylann Roof akiwa chini ya ulinzi. Kuonesha kuguswa na msiba huo wa kitaifa, juzikati, Beyonce aliweka...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa awapa pole ya Sh2 milioni waliokolewa mgodini

Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa amewatembelea watu wanne waliokuwa wamefunikwa na kifusi katika mgodi wa Nyangalata na kumpa kila mmoja pole ya Sh500,000.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWAPA POLE WAFIWA NA WAATHIRIKA WA MVUA YA MAWE KAHAMA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo toka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe Benson Mpesya juu ya madhara makubwa ya mali na maisha ya watu wakati wa ziara maalum ya kutoa pole kwa wahanga wa mvua iliyoandamana na mawe na kusababisha upotevu wa maisha ya watu na uharibifu mkubwa wa mali katika vijiji vitatu vya Kata ya Mwakata, Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa pole kwa familia zilizoathirika na mvua kali iliyoandamana na mawe na kusababisha upotevu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

ZITTO AWAPA POLE WANANCHI WA MASASI NA ABIRIA WALIOPATA AJALI MKONI LINDI

Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akisaidia kuzima moto ambao uliteketeza Soko Kuu la Masasi Mkoani Mtwara, usiku wa kuamkia jana wafanyabiashara zaidi ya 1000 wamepata hassara.Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akimsikiliza Mwenyekiti wa Soko Kuu wilayani Masasi Mkoani Mtwara, Abdallah Mandoma, lililoteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana, mjini humo ambapo chanzo cha moto huo kimeelezwa ni hitilafu ya umeme.Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe,...

 

9 years ago

GPL

ROSE NDAUKA: SITAKI KUWACHANGANYA MASHABIKI

Gladness Mallya MWANADADA staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka amesema hataki kujihusisha na harakati za siasa kwa sasa kwa vile anaogopa kuwachanganya mashabiki wake. Mwanadada staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka. Akipiga stori na gazeti hili, Rose alisema kwa kuwa yeye ni kioo cha jamii anayeelimisha kupitia kazi yake, alisema kujiweka wazi upande ulipo ni kuwagawa watu wake kitu ambacho asingependa kitokee. “Wasanii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani