ZITTO AWAPA POLE WANANCHI WA MASASI NA ABIRIA WALIOPATA AJALI MKONI LINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-0IeuYP386UE/VY1Q0LQSwdI/AAAAAAADVEU/WhC-5fEzvZ8/s72-c/2209.jpg)
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akisaidia kuzima moto ambao uliteketeza Soko Kuu la Masasi Mkoani Mtwara, usiku wa kuamkia jana wafanyabiashara zaidi ya 1000 wamepata hassara.
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akimsikiliza Mwenyekiti wa Soko Kuu wilayani Masasi Mkoani Mtwara, Abdallah Mandoma, lililoteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana, mjini humo ambapo chanzo cha moto huo kimeelezwa ni hitilafu ya umeme.
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MF95hpf9aWY/VIAfy-pbP3I/AAAAAAAG1Io/1cM7LWvAp3U/s72-c/IMG20141126WA0001.jpg)
TATOA YAWAPA POLE WALIOPATA AJALI KASUMBALESA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MF95hpf9aWY/VIAfy-pbP3I/AAAAAAAG1Io/1cM7LWvAp3U/s1600/IMG20141126WA0001.jpg)
‘TATOA inatoa pole kwa familia na waathirika wote wa janga hili la moto kutoka nchi za Tanzania, Zambia, Zimbabwe, Congo na Afrika Kusini,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa4uCBhdMgzwry2zj1JdggsAj1JYEVNBEj7MQJq72nfcAlmRcU50hZ1C-F1T1dCLXBSs2kBIh6lXHsSzydLexpR2/ajali4.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zvwSGnncwAQ/Ve2i3WmZzKI/AAAAAAAH3IE/wY6Wb4YUrRA/s72-c/h1.jpg)
RAIS KIKWETE AWAPA POLE MAJERUHI YA MSONGAMANO WA WANANCHI BAADA YA MKUTANO WA KAMPENI KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI MOROGORO JANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zvwSGnncwAQ/Ve2i3WmZzKI/AAAAAAAH3IE/wY6Wb4YUrRA/s640/h1.jpg)
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-zvwSGnncwAQ/Ve2i3WmZzKI/AAAAAAAH3IE/wY6Wb4YUrRA/s640/h1.jpg)
RAIS KIKWETE AWAPA POLE MAJERUHI YA MSONGAMANO WA WANANCHI BAADA YA MKUTANO WA KAMPENI KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI MOROGORO JANA
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Papa Francis awapa pole wa Kenya
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Dk Magufuli awapa pole Kikwete, Mkapa
10 years ago
Bongo Movies18 May
Ndauka Atupiwa Lawama na Mashabiki, Awapa Pole!
Staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Nduka ametupiwa lawama na baadhi ya mashabuki wake kwa kuweka picha mtandaoni akiwa amalazwa hospital na wao kudhani kweli kumbe yupo ‘ON SET’ ya movie mpya.
Hapo jana Rose ndauka alibandika picha hiyo hapo juu akiwa amelala kwenye kitanda ya hospital na kuandika “AAR Hospital” kitendo ambacho kiliwafanya mashabiki weke wengi kudhani kuwa Rose anamwa na kuanza kumpa pole na kumuombea dua apone haraka.
Baada ya masaa kadhaa kupita, Rose akaweka tena picha...
9 years ago
Habarileo17 Oct
Kikwete amlilia Makaidi, awapa pole NLD
RAIS Jakaya Kikwete amekitumia Chama cha National League for Democracy (NLD) salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Dk Emmanuel Makaidi ambaye ameaga dunia katika Hospitali ya Mkoa wa Lindi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83ueqjzysA06OplHx8N7Cuq2q4Ocn9Z9wXgmtDF9uJfLddoxiuvw5l7xRbGcRPlvllOVEY2L6tLA4yhyfHDpgmpA/HowLookLikeBeyonce.jpg?width=650)
BEYONCE AWAPA POLE WAFIWA MAUAJI KANISANI