Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BEYONCE AWAPA POLE WAFIWA MAUAJI KANISANI

Diva wa muziki wa Pop nchini Marekani, Beyonce Knowles. NEW YORK, Marekani DIVA wa muziki wa Pop nchini Marekani, Beyonce Knowles, amewapa pole wafiwa wa tukio la mauaji ya risasi ya watu 9 yaliyofanywa na kijana, Dylann Roof ndani ya Kanisa la Charleston, South Carolina, wiki iliyopita. Kijana aliyesababisha mauaji hayo Dylann Roof akiwa chini ya ulinzi. Kuonesha kuguswa na msiba huo wa kitaifa, juzikati, Beyonce aliweka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWAPA POLE WAFIWA NA WAATHIRIKA WA MVUA YA MAWE KAHAMA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo toka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe Benson Mpesya juu ya madhara makubwa ya mali na maisha ya watu wakati wa ziara maalum ya kutoa pole kwa wahanga wa mvua iliyoandamana na mawe na kusababisha upotevu wa maisha ya watu na uharibifu mkubwa wa mali katika vijiji vitatu vya Kata ya Mwakata, Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa pole kwa familia zilizoathirika na mvua kali iliyoandamana na mawe na kusababisha upotevu wa...

 

9 years ago

Habarileo

JK atoa pole kwa wafiwa, majeruhi

RAIS Jakaya Kikwete amezifariji familia mbili zilizofiwa na ndugu zao pamoja na majeruhi 19 waliojeruhiwa kutokana na kusukumana na kukanyagana milangoni wakati wakitoka ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini hapa, baada ya mkutano mkubwa wa kampeni za urais wa mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.

 

11 years ago

GPL

WATANZANIA DMV WATOWA POLE KWA WAFIWA‏

 Watanzania wa DMV wakijumuika na wafiwa nyumbani kwa marehemu.
 Catherine Nyangole mwenye kilemba cheusi pamoja na WanDMV wakimpa pole mdogo wa marehemu Ngalu Buzohera nyumbani kwa marehemu.…

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli awapa pole Kikwete, Mkapa

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewapa pole Rais Jakaya Kikwete na Rais mstaafu, Benjamin Mkapa kwa kuwateua watu wasiofaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa Francis awapa pole wa Kenya

Papa atoa mkono wa pole kwa wanafunzi waliouawa nchini Kenya,na kutaka mateso ya wakristo ulimwenguni yakomeshwe.

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete amlilia Makaidi, awapa pole NLD

RAIS Jakaya Kikwete amekitumia Chama cha National League for Democracy (NLD) salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Dk Emmanuel Makaidi ambaye ameaga dunia katika Hospitali ya Mkoa wa Lindi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ndauka Atupiwa Lawama na Mashabiki, Awapa Pole!

Staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Nduka ametupiwa lawama na baadhi ya mashabuki  wake kwa kuweka picha mtandaoni akiwa amalazwa hospital na wao kudhani kweli kumbe yupo ‘ON SET’ ya movie mpya.

Hapo jana Rose ndauka alibandika picha hiyo hapo juu akiwa amelala kwenye kitanda ya hospital na kuandika “AAR Hospital” kitendo ambacho kiliwafanya mashabiki weke wengi kudhani kuwa Rose anamwa na kuanza kumpa pole na kumuombea dua apone haraka.

Baada ya masaa kadhaa kupita, Rose akaweka tena picha...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa awapa pole ya Sh2 milioni waliokolewa mgodini

Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa amewatembelea watu wanne waliokuwa wamefunikwa na kifusi katika mgodi wa Nyangalata na kumpa kila mmoja pole ya Sh500,000.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani