BEYONCE AWAPA POLE WAFIWA MAUAJI KANISANI
![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83ueqjzysA06OplHx8N7Cuq2q4Ocn9Z9wXgmtDF9uJfLddoxiuvw5l7xRbGcRPlvllOVEY2L6tLA4yhyfHDpgmpA/HowLookLikeBeyonce.jpg?width=650)
Diva wa muziki wa Pop nchini Marekani, Beyonce Knowles. NEW YORK, Marekani DIVA wa muziki wa Pop nchini Marekani, Beyonce Knowles, amewapa pole wafiwa wa tukio la mauaji ya risasi ya watu 9 yaliyofanywa na kijana, Dylann Roof ndani ya Kanisa la Charleston, South Carolina, wiki iliyopita. Kijana aliyesababisha mauaji hayo Dylann Roof akiwa chini ya ulinzi. Kuonesha kuguswa na msiba huo wa kitaifa, juzikati, Beyonce aliweka...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hIBB5Bp5Jk8/VQMR6FEz24I/AAAAAAAHKI4/bEpNleVA9q8/s72-c/k1.jpg)
RAIS KIKWETE AWAPA POLE WAFIWA NA WAATHIRIKA WA MVUA YA MAWE KAHAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hIBB5Bp5Jk8/VQMR6FEz24I/AAAAAAAHKI4/bEpNleVA9q8/s1600/k1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HgSy7DNV8_M/VQMR6fNugWI/AAAAAAAHKJA/aBEVzmoYwD8/s1600/k2.jpg)
9 years ago
Habarileo08 Sep
JK atoa pole kwa wafiwa, majeruhi
RAIS Jakaya Kikwete amezifariji familia mbili zilizofiwa na ndugu zao pamoja na majeruhi 19 waliojeruhiwa kutokana na kusukumana na kukanyagana milangoni wakati wakitoka ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini hapa, baada ya mkutano mkubwa wa kampeni za urais wa mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.
11 years ago
GPLWATANZANIA DMV WATOWA POLE KWA WAFIWA
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Dk Magufuli awapa pole Kikwete, Mkapa
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Papa Francis awapa pole wa Kenya
9 years ago
Habarileo17 Oct
Kikwete amlilia Makaidi, awapa pole NLD
RAIS Jakaya Kikwete amekitumia Chama cha National League for Democracy (NLD) salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Dk Emmanuel Makaidi ambaye ameaga dunia katika Hospitali ya Mkoa wa Lindi.
10 years ago
Bongo Movies18 May
Ndauka Atupiwa Lawama na Mashabiki, Awapa Pole!
Staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Nduka ametupiwa lawama na baadhi ya mashabuki wake kwa kuweka picha mtandaoni akiwa amalazwa hospital na wao kudhani kweli kumbe yupo ‘ON SET’ ya movie mpya.
Hapo jana Rose ndauka alibandika picha hiyo hapo juu akiwa amelala kwenye kitanda ya hospital na kuandika “AAR Hospital” kitendo ambacho kiliwafanya mashabiki weke wengi kudhani kuwa Rose anamwa na kuanza kumpa pole na kumuombea dua apone haraka.
Baada ya masaa kadhaa kupita, Rose akaweka tena picha...
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Lowassa awapa pole ya Sh2 milioni waliokolewa mgodini