Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANZANIA DMV WATOWA POLE KWA WAFIWA‏

 Watanzania wa DMV wakijumuika na wafiwa nyumbani kwa marehemu.
 Catherine Nyangole mwenye kilemba cheusi pamoja na WanDMV wakimpa pole mdogo wa marehemu Ngalu Buzohera nyumbani kwa marehemu.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

JK atoa pole kwa wafiwa, majeruhi

RAIS Jakaya Kikwete amezifariji familia mbili zilizofiwa na ndugu zao pamoja na majeruhi 19 waliojeruhiwa kutokana na kusukumana na kukanyagana milangoni wakati wakitoka ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini hapa, baada ya mkutano mkubwa wa kampeni za urais wa mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.

 

10 years ago

GPL

BEYONCE AWAPA POLE WAFIWA MAUAJI KANISANI

Diva wa muziki wa Pop nchini Marekani, Beyonce Knowles. NEW YORK, Marekani DIVA wa muziki wa Pop nchini Marekani, Beyonce Knowles, amewapa pole wafiwa wa tukio la mauaji ya risasi ya watu 9 yaliyofanywa na kijana, Dylann Roof ndani ya Kanisa la Charleston, South Carolina, wiki iliyopita. Kijana aliyesababisha mauaji hayo Dylann Roof akiwa chini ya ulinzi. Kuonesha kuguswa na msiba huo wa kitaifa, juzikati, Beyonce aliweka...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWAPA POLE WAFIWA NA WAATHIRIKA WA MVUA YA MAWE KAHAMA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo toka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe Benson Mpesya juu ya madhara makubwa ya mali na maisha ya watu wakati wa ziara maalum ya kutoa pole kwa wahanga wa mvua iliyoandamana na mawe na kusababisha upotevu wa maisha ya watu na uharibifu mkubwa wa mali katika vijiji vitatu vya Kata ya Mwakata, Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa pole kwa familia zilizoathirika na mvua kali iliyoandamana na mawe na kusababisha upotevu wa...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE ALIPOKUTANA NA WANAJUMUIYA YA WATANZANIA WA DMV KATIKA MKUTANO WA DIASPORA JIJINI WASHINGTON‏

Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC
Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC…

 

9 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WAJITOKEZA NYUMBANI KWA NY EBRA BROOKLYN. NEW YORK KUMPA POLE KWA KUFIWA NA DADA YAKE HUKO TANZANIA


Jumuiya ya Watanzania New York New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inasikitika kuungana na Ebra Nyagaly wa Vijimambo New York kutangaza msiba wa dada yake Mpenzi Asha Nyagaly kilichotokea Dar es Salaam, Tanzania. Dada amekutwa na mauti nyumbani baada ya kuzidiwa  ghafla akitokea hospitali alipokwenda kupata matibabuKwa sasa unaweza kumpigia simu Ebra NY na kumpa pole simu 347 475 4313
Msiba utakuwa nyumbani kwaEbra702 E 37th St,Brooklyn, NY
Mwenye Enzi Mungu amsameh Marehemu makosa yake na...

 

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015

Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania wa DMV unapenda kuwajulisha watanzania wote kukaa mkao wa kula , kwa ajili ya sherehe za muungano zitakazofanyika, Jumamosi April 25, 205.
Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.
Wadhamini WanakaribishwaWasiliana na uongozi kupitia
President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...

 

10 years ago

Vijimambo

WANA DMV WAJITOKEZA KUMPA POLE STEVE MSUNGU.

IMG_0482Kushoto Bw.Tumaini Katule akiwa kwenye kumfariji mfiwa Bw.Stephen Msungu nyumbani kwake Savern Md.Ijumaa Februari 20,2015. Steve amefiwa na baba yake mzazi Mzee Peter Msungu aliyefariki Ijumaa February 20 jijini Daressalaam Tanzania. IMG_0470Baadhi ya wakazi wa DMV Kie, Edda, Mametha na Melissa waliojitokeza msibani kuwafariji wafiwa. IMG_0477Hidaya Mahita. IMG_0481Kenny na Neema . IMG_0484Melissa. IMG_0487Stephen,Vitalis na Vincent. IMG_0478Elinita. IMG_0479Kie na Edda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani