Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015

Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania wa DMV unapenda kuwajulisha watanzania wote kukaa mkao wa kula , kwa ajili ya sherehe za muungano zitakazofanyika, Jumamosi April 25, 205.
Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.
Wadhamini WanakaribishwaWasiliana na uongozi kupitia
President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MUUNGANO DAY DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015



SIGNATURE BLUE EVENTS CENTER6500 VIRGINIA MANORBELTSVILLE, MD 20705
9;00 PM-4;00 AM
$10 COVER CHARGE


 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA MUUNGANO DMV

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Iddi Sandaly na mweka hazina wake Bi. Jasmine Rubama wakiweka mahesabu sawa siku ya sherehe ya Muungano April 25, jioni iliyofanyika Beltsville, Maryland.Wadau mbalimbali waliohudhuria sherehe hiyo wakipata picha ya pamoja.Wadau wakipata ukodak moment.Wadau waliohudhuria sherehe hiyo wakipata picha ya pamoja.Watanzania wakijumuika pamoja na kupata picha ya kumbukumbu siku ya sherehe ya Muungano DMV iliyofanyika Jumamosi April 25, 2015 Beltsville,...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA MUUNGANO DMV.


JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAWAKARIBISHA KUJUMUIKA NA MHE.MSTAAFU RAIS ALI HASSAN MWINYI, KATIKA KUADHIMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO JUMAMOSI TAREHE 25 Aprili 2015 SHEREHE HIZO ZITAAMBATANA NA BBQ SAA 8:00 MCHANA NA KUFWATIWA NA   MECHI YA MPIRA KATI YA TANZANIA BARA NA VISIWANI SAA 12:30 JIONIANUANI 8001 WALKER MILL RD,DISTRICT HEIGHTS MD,20747SHUKRANI KWA WADHAMINI THE PEOPLE’S BANK OF TANZANIA

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

KAMATI YA MAANDALIZI NA MAPAMBO YA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV


 Kamati ya maandalizi na mapambo ikipata picha ya pamoja baada ya kupamba ukumbi wa Oxford uliopo Lanham, Maryland katika kujiandaa kusherehekea kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2015

 

11 years ago

Michuzi

Sera za Libe Mgombeya wa Jumuiya ya waTanzania DMV

Kutakuwa na Mkutano wa Sera za Mkombea wa Jumuiya ya waTanzania DMV Bwna Liberatus Mwang'ombe Atakachoongea katika mkutano wake ni  Kuhusu Elimun Diversity visa Lotterry/ YOUNG African Leaders Initiatives Jumiaya na Afya, Baraza la ushauri, Darasa la Kiswahili. Ushirikiano na umoja, Jumuiya na wajasiriamali, Jumuia na vyanzo vya mapato, Jumuiya na mrejesho wa ubalozi, "Power of attorney" , Mkutano huo utafanyika Siku ya Jumamosi, June 28, 2014 kuanzia saa 10 Alasiri (4pm)...

 

10 years ago

Vijimambo

2015 DMV MEMORIAL WEEKEND EXTRAVAGANZA THIS SATURDAY MAY 23 NI SHIIIIIDA NDANI YA DC.


2015 DMV MEMORIAL WEEKEND EXTRAVAGANZA
12. THE NUMBER OF HOURS BEFORE THE BEST AFRICAN GROUP NOMINEES(BET) - SAUTI SOL TOUCH DOWN IN DC.
SALE OF ADVANCE TICKET CLOSES AT 6:00PM TODAY. 
http://sautisoldmv.eventbrite.com/

 

11 years ago

Dewji Blog

Sera za Harriet Shangarai mgombeya wa jumuiya ya watanzania DMV

Na Hariet Shangaei Washington DC

Ndugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV.

DSC00335 (2)

Hariet Shangarai, Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV alipikuwa katika kampeni.(Photo Via Swahilivillablog)

Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani