SHEREHE YA MUUNGANO DMV
Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Iddi Sandaly na mweka hazina wake Bi. Jasmine Rubama wakiweka mahesabu sawa siku ya sherehe ya Muungano April 25, jioni iliyofanyika Beltsville, Maryland.
Wadau mbalimbali waliohudhuria sherehe hiyo wakipata picha ya pamoja.
Wadau wakipata ukodak moment.
Wadau waliohudhuria sherehe hiyo wakipata picha ya pamoja.
Watanzania wakijumuika pamoja na kupata picha ya kumbukumbu siku ya sherehe ya Muungano DMV iliyofanyika Jumamosi April 25, 2015 Beltsville,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015


Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.

President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...
10 years ago
Vijimambo22 Apr
SHEREHE ZA MUUNGANO DMV.
11 years ago
Michuzi24 Apr
BALOZI AWAASA WANA DMV KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA SHEREHE ZA MUUNGANO




11 years ago
TZToday27 Apr
10 years ago
VijimamboSHEREHE YA EID DMV
11 years ago
Dewji Blog30 Jul
Sherehe za Eid DMV

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiongea na mmoja wa Watanzania wa DMV(kulia) wakati sherehe ya Eid iliyofanyika Wheaton, Maryland nchini Marekani siku ya Jumatatu July 28, 2014 na kuhudhuliwa na Watanzania wa DMV na marafiki zao, katikati ni afisa wa maswala ya uhamiaji Bwn. Abbas Missana.

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watanzania wa DMV na marafiki zao waliohudhuria sherehe ya Eid...
11 years ago
GPL
SHEREHE ZA EID DMV
11 years ago
Michuzi
SHEREHE ZA EID EL FITR DMV


11 years ago
GPLSHEREHE YA KUUKARIBISHA MWAKA DMV