MUUNGANO DAY SATURDAY APRIL 25TH 2015
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMUUNGANO DAY DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015
SIGNATURE BLUE EVENTS CENTER6500 VIRGINIA MANORBELTSVILLE, MD 20705
9;00 PM-4;00 AM
$10 COVER CHARGE
10 years ago
VijimamboTANZANIA DAY/MUUNGANO BBQ IN NEW YORK CITY SATURDAY MAY 2, 2015 KARIBU WOTE
Jumuiya ya Watanzania wa New York, New Jersey, Connecticut na Pennsylvania ikishirikiana na Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa kwa pamoja na udhamini wa Miss Tanzania USA. Tunapenda kuwataarifu wanajumuiya wote kuwa kutakuwa na BBQ maalum kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Muungano wetu/Tanzania Day ambayo ilikuwa April 26,1964. Shime tujitokeze kwa wingi kusherehekea siku yetu hii adhimu itakayofanyika siku ya Jumamosi tarehe 2 Mei 2015 kuanzia saa Saba mchana Roosevelt Island. Kama...
10 years ago
VijimamboJUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015
Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania wa DMV unapenda kuwajulisha watanzania wote kukaa mkao wa kula , kwa ajili ya sherehe za muungano zitakazofanyika, Jumamosi April 25, 205.
Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.
Wadhamini WanakaribishwaWasiliana na uongozi kupitia
President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...
Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.
Wadhamini WanakaribishwaWasiliana na uongozi kupitia
President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
10 years ago
Vijimambo12 Apr
CELEBRATION OF LIFE MASS ON SATURDAY APRIL 25, 2015 WASHINGTON, DC
Beloved family and dear friends! Please join Bupe Mwangota and family for a Celebration of Life Mass in honor of our beloved mother, Matilda M. Mwangota, who went to be with the Lord on March 16th, 2015.The service will be held on Saturday, April 25th 2015 at 3:00pm. First Trinity Lutheran Church, 309 E street NW Washington DC, (judiciary square metro).Reception to follow after the service.Regrets/Information:Mrs. Tumaini Kaisi-KatulePhone: (301) 433 3411Karibuni sana."All that I am or ever...
10 years ago
Vijimambo16 Apr
Tangazo la Misa - Kuadhimisha Muungano, Capuchin College, April 19, 2015, 2:00 PM
Karibuni Sana Wapendwa Wote
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahiliKusheerekea Sikukuu ya Muungano 2015
Ibada itafanyika katika kigango cha
Capuchin College4121 Harewood Road, NE, Washington, DC, 20017
Jumapili Tarehe 19 Aprili 2015. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).
Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa zako.
Unakaribishwa kujiunga kwa mawasiliano ya barua pepe na Wakatoliki DMV anwani. Tupatie mawasiliano yako kwenda...
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahiliKusheerekea Sikukuu ya Muungano 2015
Ibada itafanyika katika kigango cha
Capuchin College4121 Harewood Road, NE, Washington, DC, 20017
Jumapili Tarehe 19 Aprili 2015. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).
Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa zako.
Unakaribishwa kujiunga kwa mawasiliano ya barua pepe na Wakatoliki DMV anwani. Tupatie mawasiliano yako kwenda...
10 years ago
VijimamboPBZ KUDHAMINI MECHI YA MUUNGANO KATI YA KILIMANJARO NA ZANZIBAR HEROES UGHAIBUNI MTANANGE KUPIGWA APRIL 26, 2015
Viongozi: Wageni rasmi wa sherehe za Muungano Mhe: Mwigulu Nchemba (wapili kulia) akifuatiwa na Balozi Mulamula, pamoja na Balozi wa Waziri wa Nchi Zanzibar, Ofisi ya Rais na MBM Dr. Mwinyihaji Makame, (wakwanza kulia) Balozi Mwinyi (kulia)Viwe Juma,wapili kulia ambae ni Mkurugenzi wa Masoko na Maendeleo ya Biashara ya Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) wakimkabidhi jezi nahodha wa timu ya Zanzibar Heroes Abuu Qullatein katika Sherehe za Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwenye...
10 years ago
Daily News18 Mar
Mufti declares Saturday national prayer day
Mufti declares Saturday national prayer day
Daily News
MUFTI Office of Zanzibar in collaboration with Maulid Council is organizing national prayer day for the country on Saturday. Men from towns and rural areas have been asked to gather at Amani National Stadium for the much-awaited prayer on Saturday ...
9 years ago
TheCitizen24 Dec
First Saturday of every month is cleanliness day, orders govt
 Tanzanians have been ordered to make it a habit that the first Saturday of every month is used for cleaning up the environment, the government said yesterday.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania